Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Faida za kiafya za magimbi (taro root)
1. magimbi yana virutubisho kama vitamini C, E na B6. pia madini ya potassium, phosphorus, shaba, magnessium na manganese. Pia magimbi yana protini na fati
2. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari hufanya isipande
3. Hupunguza kasi ya mmeng’enyo wa chakula
4. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo na mishipa ya dmau
5. Magimbi yana chembeche,mbe ambazo hulinda mwili dhidi ya saratani kwa kuuwa seli za saratani
6. Husaidia katika kupunguza uzito
7. Huboresha afya ya utumbo
8. Hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kutumia tangawizi
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...