Faida za kula magimbi (taro roots)

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi

Faida za kiafya za magimbi (taro root)

1. magimbi yana virutubisho kama vitamini C, E na B6. pia madini ya potassium, phosphorus, shaba, magnessium na manganese. Pia magimbi yana protini na fati

2. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari hufanya isipande

3. Hupunguza kasi ya mmeng’enyo wa chakula

4. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo na mishipa ya dmau

5. Magimbi yana chembeche,mbe ambazo hulinda mwili dhidi ya saratani kwa kuuwa seli za saratani

6. Husaidia katika kupunguza uzito

7. Huboresha afya ya utumbo

8. Hulinda mwili dhidi ya mashambulizi

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 5235

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kisamvu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin K

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K

Soma Zaidi...
Karanga (groundnuts)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye madini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula bamia/okra

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia

Soma Zaidi...
Kazi za madini ya Shaba mwilini.

Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo

Soma Zaidi...
Faida kuu 10 za kula matunda na mboga mwilini - kwa nini ni muhumu kula matunda?

Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara?

Soma Zaidi...