Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Faida za kiafya za magimbi (taro root)
1. magimbi yana virutubisho kama vitamini C, E na B6. pia madini ya potassium, phosphorus, shaba, magnessium na manganese. Pia magimbi yana protini na fati
2. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari hufanya isipande
3. Hupunguza kasi ya mmeng’enyo wa chakula
4. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo na mishipa ya dmau
5. Magimbi yana chembeche,mbe ambazo hulinda mwili dhidi ya saratani kwa kuuwa seli za saratani
6. Husaidia katika kupunguza uzito
7. Huboresha afya ya utumbo
8. Hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...