Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, ni madhara ambayo yanaweza kutokea iwapo maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa kwa wakati.
Athari za kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
1.Kuvuja kwa damu kwenye tumbo na utumbo mdogo, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ambayo usababisha kuvuja damu sehemu ambazo zimeathirika kwa hiyo tunapaswa kutibu Magonjwa haya Mara moja.
2.kupoteza maji mwilini .
Kama Magonjwa ya Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa yatasababisha mgonjwa kuendelea kutapika na kuharisha hatimaye kuishiwa maji mwilini na tunajua umuhimu wa maji mwilini na hali hii ikitokea kwa mgonjwa inaweza kuleta madhara makubwa zaidi.
3. Kutokuwepo kwa madini yanayohitajika mwilini kwa sababu ya kuharisha na kutapika kwa mfano sodium itaongezeka na potassium itapungua hali huu haipaswi juwa hivyo bali kiwango cha sodium linapaswa juwa sawa na kiwango cha potassium kinapaswa kuwa kwenye kawaida yake.
4. Mgonjwa pia anaweza kuzimia.
Kwa sababu ya kuwepo hali ya kuharisha na kutapika maji yanaisha mwilini kwa hiyo Mgonjwa anaweza kuzimia kwa sababu ya kuishiwa na maji mwilini.
5. Kwa hiyo tunajua kabisa Maambukizi ya kwenye tumbo Usababishwa na bakteria au pengine na virusi ambao usababisha kuharisha na kutapika pamoja na maumivu ya tumbo kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka wagonjwa wetu hospitali ili waweze kupata huduma kwa sababu kuharisha na kutapika umaliza maji mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya moyo, kwa kawaida watu wakisikia habari za magonjwa ya moyo huwa hawaelewi yanakuwaje kuwaje, Leo nataka niwafahamishe kuhusu magonjwa ya moyo na sehemu mbalimbali zinazoathirika.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyanzo m ali mbali vinavyohisiwa kuwa chanzo cha UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili la jeraha la kawaida kwenye ubongo, jeraha la kawaida utokea kwa sababu mbalimbali kama vile kupata ajali na kugongwa na kitu chochote kichwani,
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa kitaalamu hali hii ya kuwa na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo huitwa cystitis.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.
Soma Zaidi...Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwend akujifunza kuhusu tatizo la kuwa na vijiwe kwenye ini vijiwe hivi hufahamika kama intrahepatic stones.
Soma Zaidi...Minyoo ni katika parasite, yaani ni viumbe wanaokaa kwenye mwili na kujipatia chakula chake humo. Katika miili yetu minyoo huishi na kula kuzaliana na kukuwa. Kama unahitaji kujuwa wapi hasa wanakaa mwilini mwetu, endelea na makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na kujikinga au kuzuia virusi vya ukimwi.
Soma Zaidi...