Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, ni madhara ambayo yanaweza kutokea iwapo maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa kwa wakati.
Athari za kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
1.Kuvuja kwa damu kwenye tumbo na utumbo mdogo, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ambayo usababisha kuvuja damu sehemu ambazo zimeathirika kwa hiyo tunapaswa kutibu Magonjwa haya Mara moja.
2.kupoteza maji mwilini .
Kama Magonjwa ya Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa yatasababisha mgonjwa kuendelea kutapika na kuharisha hatimaye kuishiwa maji mwilini na tunajua umuhimu wa maji mwilini na hali hii ikitokea kwa mgonjwa inaweza kuleta madhara makubwa zaidi.
3. Kutokuwepo kwa madini yanayohitajika mwilini kwa sababu ya kuharisha na kutapika kwa mfano sodium itaongezeka na potassium itapungua hali huu haipaswi juwa hivyo bali kiwango cha sodium linapaswa juwa sawa na kiwango cha potassium kinapaswa kuwa kwenye kawaida yake.
4. Mgonjwa pia anaweza kuzimia.
Kwa sababu ya kuwepo hali ya kuharisha na kutapika maji yanaisha mwilini kwa hiyo Mgonjwa anaweza kuzimia kwa sababu ya kuishiwa na maji mwilini.
5. Kwa hiyo tunajua kabisa Maambukizi ya kwenye tumbo Usababishwa na bakteria au pengine na virusi ambao usababisha kuharisha na kutapika pamoja na maumivu ya tumbo kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka wagonjwa wetu hospitali ili waweze kupata huduma kwa sababu kuharisha na kutapika umaliza maji mwilini.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye epididimisi, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye epididimisi na kusababisha matatizo mengi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuishi na vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...postii hii inshusiana na dalili na matatizo ya pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu ya tetanospasmin inayozalishwa katika majeraha yaliyoambukizwa na kizuizi cha bacillus clostridia. Bakteria ya pepopunda hu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanawake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa ukoma ni Ugonjwa unaosababishwa na bacteria anayejulika kama mycobacterium leprae.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo Uweza kujitokeza na kuona kwamba ni Dalili za miguu kufa ganzi, pengine utokea kwa watu wote na pengine huwa ni kwa ghafla
Soma Zaidi...Madhara ya ugonjwa wa akili yanaweza kuwa ya muda au ya kudumu. Unaweza pia kuwa na zaidi ya ugonjwa mmoja wa afya ya akili kwa wakati mmoja. Kwa mfano, unaweza kuwa na ulegevu na ugonjwa wa matumizi ya madawa ya kulevya.
Soma Zaidi...