Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, ni madhara ambayo yanaweza kutokea iwapo maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa kwa wakati.
Athari za kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
1.Kuvuja kwa damu kwenye tumbo na utumbo mdogo, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ambayo usababisha kuvuja damu sehemu ambazo zimeathirika kwa hiyo tunapaswa kutibu Magonjwa haya Mara moja.
2.kupoteza maji mwilini .
Kama Magonjwa ya Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa yatasababisha mgonjwa kuendelea kutapika na kuharisha hatimaye kuishiwa maji mwilini na tunajua umuhimu wa maji mwilini na hali hii ikitokea kwa mgonjwa inaweza kuleta madhara makubwa zaidi.
3. Kutokuwepo kwa madini yanayohitajika mwilini kwa sababu ya kuharisha na kutapika kwa mfano sodium itaongezeka na potassium itapungua hali huu haipaswi juwa hivyo bali kiwango cha sodium linapaswa juwa sawa na kiwango cha potassium kinapaswa kuwa kwenye kawaida yake.
4. Mgonjwa pia anaweza kuzimia.
Kwa sababu ya kuwepo hali ya kuharisha na kutapika maji yanaisha mwilini kwa hiyo Mgonjwa anaweza kuzimia kwa sababu ya kuishiwa na maji mwilini.
5. Kwa hiyo tunajua kabisa Maambukizi ya kwenye tumbo Usababishwa na bakteria au pengine na virusi ambao usababisha kuharisha na kutapika pamoja na maumivu ya tumbo kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka wagonjwa wetu hospitali ili waweze kupata huduma kwa sababu kuharisha na kutapika umaliza maji mwilini.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1331
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5 Kitabu cha Afya
👉6 Simulizi za Hadithi Audio
WAJUE FANGASI, AINA ZAKE, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE
Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili. Soma Zaidi...
Namna ya kujikinga na VVU/UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza namna mbalimbali za kujikinga na VVU/UKIMWI Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa unaohusiana na kuzidi kwa joto mwilini (anhidrosis) ama heatshock
posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa na Ugonjwa unaohusiana na joto ambao hujulikana Kama Anhidrosis ni kutoweza jasho kawaida. Usipotoa jasho mwili wako hauwezi kujipoza, jambo ambalo linaweza kusababisha joto kupita. wakati mwingine inaweza k Soma Zaidi...
Kuona damu kwenye mkojo
Kuona damu kwenye mkojo kunaweza kusababisha wasiwasi. Ingawa katika hali nyingi kuna sababu zisizofaa, Damu kwenye mkojo (hematuria) pia inaweza kuonyesha ugonjwa mbaya. Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa misuli kuwa dhaifu.
hali ambayo misuli unayotumia kwa hotuba ni dhaifu au unapata shida kuidhibiti mara nyingi inaonyeshwa na usemi wa kufifia au polepole ambao unaweza kuwa mgumu kuelewa. Sababu za kawaida za Ugonjwa huu ni pamoja na matatizo ya mfumo wa neva (neurolojia Soma Zaidi...
Sababu za Uvimbe wa tishu za Matiti kwa wavulana au wanaume
posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wa tishu za matiti kwa wavulana au wanaume, unaosababishwa na kutofautiana kwa homoni za estrojeni na testosterone. Pia unaweza kuathiri matiti moja au zote mbili, wakati mwingine bila usawa. Watoto wachanga, Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi ya sikio kwa watu wazima
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi ya sikio mara nyingi ni maambukizi ya bakteria au virusi ambayo huathiri sikio la kati, nafasi iliyojaa hewa nyuma ya ngoma ya sikio ambayo ina mifupa midogo ya sikio inayotetemeka.
Maambukizi ya si Soma Zaidi...
Inakuwaje unafanya ngono na aliyeathirika na usipate UKIMWI?
Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzing Soma Zaidi...
Dalili za gonorrhea
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya dalili za gonorrhea Soma Zaidi...
Njia za kupunguza makali ya pressure au shinikizo la damu
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kupunguza ugonjwa wa pressure au shinikizo la damu kwa waliokwisha kupata wanaweza kupunguza na kwa wake ambao hawajapata ni nzuri inawasaidia kuepuka hatari ya kupata ppresha. Soma Zaidi...
Je pumu inaweza kusababishwa na virusi ama bakteria?
Hapa utakwenda kujifunza jinsi ambavyo pumu inaweza kuwa na mahusiano kwa kuwepo kwa aina flani ya bakteria ama virusi. Soma Zaidi...
Fahamu Magonjwa yanayowapata watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa mbalimbali ambayo watoto chini ya miaka wanaweza kuyapata kiurahi. Soma Zaidi...