Menu



Ana za vyakula somo la 37: Faida za kula njegere

Katika somo hili utakwend akujifunza faidaza kiafya za kula njegere

AIDA ZA KIAFYA ZA KULA NJEGERE

Njegere ni mboga jamii ya kunde. Njegere ni mboga tamu, kama hujawahi kuila, tafuta siku ujaribu. Mboga hii, mbali na utamu wake, imekuwa ikitajwa sana katika nyanja za afya. Hivi unazijua faida za kula njegere? Hakika, faida zake ni nyingi sana kiafya, kimwili, na hata kwa utamu. Makala hii inakuletea faida za kiafya za kula njegere.

Faida za Kula Njegere

  1. Virutubisho Vingi Njegere zina virutubisho vingi sana ukilinganisha na mboga nyingi. Njegere zina vitamini A, K, B, na C. Pia, njegere zina madini ya chuma, manganese, phosphorus, na folate. Njegere pia zina protini na nyuzinyuzi. Katika mboga, njegere ni mojawapo ya mboga zinazokusanya protini kwa wingi sana.

  2. Kudhibiti Kiwango cha Sukari Mwilini Njegere husaidia kudhibiti matumizi ya sukari mwilini. Hii husaidia kuwapa nafuu watu wenye kisukari aina ya pili (type 2 diabetes). Hali hii pia husaidia kuboresha afya ya moyo.

  3. Kuboresha Afya ya Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula Kama unasumbuliwa na kukosa haja kubwa, njegere ndio mtatuzi wako. Njegere husaidia kuondoa vimbe zilizopo kwenye njia ya chakula na kufanya choo kiwe kizito na kupita kwa urahisi. Pia, njegere husaidia kuzuia saratani ya utumbo mpana na kusaidia kuondoa chakula chote kupitia haja.

  4. Kulinda Mwili Dhidi ya Maradhi Hatari Njegere husaidia kulinda mwili dhidi ya maradhi hatari kama saratani, maradhi ya moyo, na kisukari. Kwa sifa hii, njegere ni mboga pekee ambayo unatakiwa uile mara nyingi kwa lengo la kujikinga na maradhi haya. Hata hivyo, kwa ambaye ni mgonjwa tayari, mboga hii itamsaidia kupunguza uzito wa tatizo.

    A. Kuzuia Maradhi ya Moyo: Njegere zina madini ya magnesium, potassium, na calcium. Ulaji wa chakula chenye madini haya kwa wingi husaidia kuzuia shinikizo la juu la damu (presha ya kupanda) ambalo ndio chanzo kikuu cha maradhi ya moyo. Pia, ndani ya njegere kuna flavonols, carotenoids, na vitamini C. Pamoja, husaidia kupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya moyo kwa sababu huzuia uharibifu wa seli.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Aina za vyakula Main: Masomo File: Download PDF Views 312

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Aina za vyakula somo la 27: Faida za kula komamanga

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za kiafya za kula komamanga

Soma Zaidi...
Aina za vyaula somo la 23: Faida za kula karoti

Katika somo hiliutakwenda kujifunza faida za kiafya za kula karoti

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 26: Faida za kula kitunguu saumu - garlic

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula kitunguu ssaumu - garlic

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mbegu za maboga mwilini

Katika somo hili utakwenda kujufunza faida za kiafya za kula mbegu za maboga katika mwili wako

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 5: vyakula vyenye maji mengi, faida zake na kazi zake

Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhusu maji, faida zake na upungufu wake. Pia utajifunza vyakula vyenye maji kwa wingi

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 57: Faida za kula stafeli

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula stafeli

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 34: Faida za kula kunde

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula kunde

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 47: Faida za kula ndizi

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 14: Faida za kula Maboga

Katika somo ili utakwenda kujifunza kuhusu faida za kiafya zakula maboga. Utajifunza virutubisho vinavyopatikana kwenye maboga.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mbegu za mafenesi

Katia post hii utakwend akujifunza namna ambavyo tunaweza kufaidika kwa kula mbegu za mafenesi mwilini. Fenesi ama jackfruit ni moja katika matunda yanayopatikana katika maeneo ya kitropic.

Soma Zaidi...