Ana za vyakula somo la 37: Faida za kula njegere

Katika somo hili utakwend akujifunza faidaza kiafya za kula njegere

AIDA ZA KIAFYA ZA KULA NJEGERE

Njegere ni mboga jamii ya kunde. Njegere ni mboga tamu, kama hujawahi kuila, tafuta siku ujaribu. Mboga hii, mbali na utamu wake, imekuwa ikitajwa sana katika nyanja za afya. Hivi unazijua faida za kula njegere? Hakika, faida zake ni nyingi sana kiafya, kimwili, na hata kwa utamu. Makala hii inakuletea faida za kiafya za kula njegere.

Faida za Kula Njegere

  1. Virutubisho Vingi Njegere zina virutubisho vingi sana ukilinganisha na mboga nyingi. Njegere zina vitamini A, K, B, na C. Pia, njegere zina madini ya chuma, manganese, phosphorus, na folate. Njegere pia zina protini na nyuzinyuzi. Katika mboga, njegere ni mojawapo ya mboga zinazokusanya protini kwa wingi sana.

  2. Kudhibiti Kiwango cha Sukari Mwilini Njegere husaidia kudhibiti matumizi ya sukari mwilini. Hii husaidia kuwapa nafuu watu wenye kisukari aina ya pili (type 2 diabetes). Hali hii pia husaidia kuboresha afya ya moyo.

  3. Kuboresha Afya ya Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula Kama unasumbuliwa na kukosa haja kubwa, njegere ndio mtatuzi wako. Njegere husaidia kuondoa vimbe zilizopo kwenye njia ya chakula na kufanya choo kiwe kizito na kupita kwa urahisi. Pia, njegere husaidia kuzuia saratani ya utumbo mpana na kusaidia kuondoa chakula chote kupitia haja.

  4. Kulinda Mwili Dhidi ya Maradhi Hatari Njegere husaidia kulinda mwili dhidi ya maradhi hatari kama saratani, maradhi ya moyo, na kisukari. Kwa sifa hii, njegere ni mboga pekee ambayo unatakiwa uile mara nyingi kwa lengo la kujikinga na maradhi haya. Hata hivyo, kwa ambaye ni mgonjwa tayari, mboga hii itamsaidia kupunguza uzito wa tatizo.

    A. Kuzuia Maradhi ya Moyo: Njegere zina madini ya magnesium, potassium, na calcium. Ulaji wa chakula chenye madini haya kwa wingi husaidia kuzuia shinikizo la juu la damu (presha ya kupanda) ambalo ndio chanzo kikuu cha maradhi ya moyo. Pia, ndani ya njegere kuna flavonols, carotenoids, na vitamini C. Pamoja, husaidia kupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya moyo kwa sababu huzuia uharibifu wa seli.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Aina za vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 651

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Aina za vyakula somo la 3: Vyakula vya fati, mafuta na lipid

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhus vyakula vya fati, kazi zake na vyanzo vyake.

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 22: Faida za kula karanga

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 35: Faida za kula mbaazi

Katika somo hili utakwend akujifunza faida za kiafya za kula mbaazi

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo 21: Faida za kula kabichi

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 77: Fida za kiafya za supu ya pweza

Katika somo hili utakwedna kujifunz afaida z akiafya zinzopatikana kwneye supu ya pweza.

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 48: Faida za kula nyama

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula nyama

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 41: Faida za kunywa maziwa

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kutumia maziwa kama kunywa ama kula bidhaa zake.

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 60: Faida za kula tende

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula tende

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 27: Faida za kula komamanga

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za kiafya za kula komamanga

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 4: Vyakla vya wanga yaani carbohydrates

Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya wanga, kazi zake, faida zake na upungufu wake.

Soma Zaidi...