Dalili za Ugonjwa wa ini

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.

Dalili za ugonjwa wa inni

1. Macho na ngozi ya viganja,  na nyayo za miguuni kubadilika rangi na kuwa ya njano. 

Kwa mtu Mwenye maambukizi kwenda ini rangi ya viganja na nyayo za miguuni kubadilika na kuwa na rangi ya njano hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ini maambukizi haya uenea sana kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha baadhi ya sehemu ya mwili kuwa ya njano, kwa hiyo baada ya mtu kuona dalili kama hizi zinatokea anapaswa kwenda mapema hospitalini kwa ajili ya kuchukua vipimo kwa hiyo jamii inapaswa kujua Dalili za mtu Mwenye Homa ya inni kwa kuangalia dalili ya Aina hii.

 

2. Mara nyingine na rangi ya mkojo ubadilika na kuwa na rangi ya njano.

Kwa watu walio wengi ambao wamashambuliwa na ugonjwa huu rangi ya mkojo nayo ubadilika na kuwa na rangi ya njano, hali hii ni kwa sababu ya maambukizi hasa kama yameingia sana kwenye mwili usambaa mpaka kwenye mfumo wa mkojo na kusababisha rangi ya mkojo kubadilika kuwa na rangi ya njano, kwa hiyo kitu ambacho tunapaswa kufanya ni kwamba baada ya kuona dalili kama hii tunapaswa kwenda hospitalini kupima Ili kujua uhakika kama ni maambukizi kwenye ini au ni magonjwa mengine na kwa wale ambao hawanywi maji  pengine wanaweza kupata na tatizo hili la rangi ya mkojo kuwa ya njano kwa hiyo tunapaswa kupima Ili kujua afya zetu mara kwa mara.

 

3. Kwa watu wenye maambukizi kwenye inni kinyesi Chao uwa na utando mweupe mweupe ambao ufanana na Ute , kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hizi zinaambatana mtu anapaswa kumpelekwa hospitalini kwa ajili ya kupima na kuhakikisha kuwa kama ni maambukizi ya ugonjwa wa inni, kwa hiyo vipimo ni vya lazima kwa sababu kwa vipimo tunaweza kujua maambukizi ya gonjwa hili la inni na kuchukua tahadhari Ili kuepuka kuwaambukiza wengine.

 

4. Dalili nyingine ni kama vile kupoteza hamu ya chakula kwa sababu maambukizi yanakuwa yameenea sehemu mbalimbali za mwili ambapo mtu upoteza na Ile hamu ya Kawaida ya kupata chakula hali hii ya kupoteza hamu ya kula usababisha na mgonjwa wa Homa ya inni kuishiwa nguvu mara kwa Mara na pengine anapotaka kula chakula uhisi kichefuchefu na kutapika  hai hii usababishwa na kitendo Cha kuongezeka kwa maambukizi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2700

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Saratani (cancer)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa upele

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa upele, ni dalili au mwonekano wa mgonjwa wa upele.

Soma Zaidi...
Vitu vinavyochochea kuwepo kwa Ugonjwa wa ukimwi.

Posti hii inahusu zaidi vitu ambavyo vinasababisha kuongezeka kwa Ukimwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na baada ya watu kujua Ugonjwa huu na matokeo ila bado ugonjwa unazidi kuongezeka.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisonono, sababu zake nanjia za kujilinda.

Kisonono husababishwa na bakteria. Bakteria ya kisonono mara nyingi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine wakati wa kujamiiana, ikiwa ni pamoja na kujamiiana kwa mdomo, mkundu au uke.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kuzuia kiungulia

Soma Zaidi...
Sababu za Maambukizi kwenye mifupa.

Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Inakuwaje unafanya ngono na aliyeathirika na usipate UKIMWI?

Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzing

Soma Zaidi...
Msaada kwa wenye Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwahudumia wenye Maambukizi kwenye mifupa, ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuwasaidia wenye Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisukari

Ugonjwa wa kisukari hurejelea kundi la magonjwa yanayoathiri jinsi mwili wako unavyotumia sukari kwenye damu (glucose). Glucose ni muhimu kwa afya yako kwa sababu ni chanzo muhimu cha nishati kwa seli zinazounda misuli na tishu zako. Pia ndio chanzo ki

Soma Zaidi...
Dalili za uvumilivu wa pombe

Uvumilivu wa pombe unaweza kusababisha athari za haraka, zisizofurahi baada ya kunywa pombe. Ishara na dalili za kawaida za kutovumilia kwa pombe ni pua iliyojaa na Kuvuta ngozi. Uvumilivu wa pombe husababishwa na hali ya maumbile ambayo mwili hauwezi k

Soma Zaidi...