Post hii itakwenda kukufundisha sura katika Quran ambazo ni kinga dhidi ya Wachawi, uchawi na Masheitwani.
Mtume s.a.w amefundisha tusome sura hizikwa ajili ya kujikinga na mashetani, wachawi na husda.
1. Qul audhu birabi n nas. Hii ni surat an-Nas. Ni sura ya 114 katika mpangilio wa Quran kutokea al Baqarah.
2. Qul audhu birabil falaq. Hii ni surat al Falaq. Ni sura ya 113 katika mpangilio wa msahafu kutoka sura ya kwanza kiuandishi.
Sura mbili hizi kwa pamoja hujulikana kama almu'awidhatayn. Mtune s.a.w alizisoma sura hizi aliporogwa na akapona hapohapo. Na hii ni baada ya kuamrishwa na Allah azisome. Sura hizi utazisomamara tatu.
3. Qul huwa Llahu Ahad. Hii ni surat al Ikhlas. Ni sura ya 112 katikamangilio wa Quran kiuandishi. Sura hii pamoja na zikizotajwa hapo juu utasoma mara tatu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Zijue fadhila za kuomba dua, tambua umuhimu na mahimizo juu ya kuomba dua?
Soma Zaidi...Hizi ni Dua ambazo unatakiwa uziombe wakati wa shida na taabu
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukugundisha adabu zinazotakikana kwa mwenye kuomba dua.
Soma Zaidi...عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: "كُنْت خَلْفَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم يَوْمًا، فَقَالَ: ي...
Soma Zaidi...