Post hii itakwenda kukufundisha sura katika Quran ambazo ni kinga dhidi ya Wachawi, uchawi na Masheitwani.
Mtume s.a.w amefundisha tusome sura hizikwa ajili ya kujikinga na mashetani, wachawi na husda.
1. Qul audhu birabi n nas. Hii ni surat an-Nas. Ni sura ya 114 katika mpangilio wa Quran kutokea al Baqarah.
2. Qul audhu birabil falaq. Hii ni surat al Falaq. Ni sura ya 113 katika mpangilio wa msahafu kutoka sura ya kwanza kiuandishi.
Sura mbili hizi kwa pamoja hujulikana kama almu'awidhatayn. Mtune s.a.w alizisoma sura hizi aliporogwa na akapona hapohapo. Na hii ni baada ya kuamrishwa na Allah azisome. Sura hizi utazisomamara tatu.
3. Qul huwa Llahu Ahad. Hii ni surat al Ikhlas. Ni sura ya 112 katikamangilio wa Quran kiuandishi. Sura hii pamoja na zikizotajwa hapo juu utasoma mara tatu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hii ni hadithi ya pili katika kitabu cha Arbain Nawawiy
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي رُقَيَّةَ تَمِيمِ بْنِ أَوْسٍ الدَّارِيِّ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم قَالَ: "الدِّينُ النَّصِ?...
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha jinsi ya kumswalia mtume, pamoja na kuzijuwa fadhila unazopata kwa kumswalia Mtume
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Katika hadithi hii utakwenda kujifunza hekma ya kuangalia watu walio chini yako na sio walio juu yako
Soma Zaidi...