Post hii itakwenda kukufundisha sura katika Quran ambazo ni kinga dhidi ya Wachawi, uchawi na Masheitwani.
Mtume s.a.w amefundisha tusome sura hizikwa ajili ya kujikinga na mashetani, wachawi na husda.
1. Qul audhu birabi n nas. Hii ni surat an-Nas. Ni sura ya 114 katika mpangilio wa Quran kutokea al Baqarah.
2. Qul audhu birabil falaq. Hii ni surat al Falaq. Ni sura ya 113 katika mpangilio wa msahafu kutoka sura ya kwanza kiuandishi.
Sura mbili hizi kwa pamoja hujulikana kama almu'awidhatayn. Mtune s.a.w alizisoma sura hizi aliporogwa na akapona hapohapo. Na hii ni baada ya kuamrishwa na Allah azisome. Sura hizi utazisomamara tatu.
3. Qul huwa Llahu Ahad. Hii ni surat al Ikhlas. Ni sura ya 112 katikamangilio wa Quran kiuandishi. Sura hii pamoja na zikizotajwa hapo juu utasoma mara tatu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Wajibu wa Wazazi kwa Watoto Wazazi wanawajibu kwa watoto wao.
Soma Zaidi...Hizi ni Dua ambazo unatakiwa uziombe wakati wa shida na taabu
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَنَّ رَجُلًا قَالَ لِلنَّبِيِّ صلى الله عليه و سلم أَوْصِنِي.
Soma Zaidi...Anapotajwa Mwenyezi Mungu au wanapokumbushwa juu ya maamrisho na makatazo ya Mwenyezi Mungu, nyoyo zao hunyenyekea na kufuata kama walivyokumbushwa.
Soma Zaidi...HAdithi hii itakufundisha namna ambavyo mwanadamu anapitia hatuwa mbalumbali tumboni mwa mama yake
Soma Zaidi...