Sura za kujikinga na Uchawi na mashetani

Sura za kujikinga na Uchawi na mashetani

Post hii itakwenda kukufundisha sura katika Quran ambazo ni kinga dhidi ya Wachawi, uchawi na Masheitwani.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Mtume s.a.w amefundisha tusome sura hizikwa ajili ya kujikinga na mashetani,  wachawi na husda. 

1. Qul audhu birabi n nas.  Hii ni surat an-Nas.  Ni sura ya 114 katika mpangilio wa Quran kutokea al Baqarah. 

 

2. Qul audhu birabil falaq.  Hii ni surat al Falaq.  Ni sura ya 113 katika mpangilio wa msahafu kutoka sura ya kwanza kiuandishi. 

 

Sura mbili hizi kwa pamoja hujulikana kama almu'awidhatayn.  Mtune s.a.w alizisoma sura hizi aliporogwa na akapona hapohapo. Na hii ni baada ya kuamrishwa na Allah azisome.  Sura hizi utazisomamara tatu. 

 

3. Qul huwa Llahu Ahad.  Hii ni surat al Ikhlas.  Ni sura ya 112 katikamangilio wa Quran kiuandishi.  Sura hii pamoja na zikizotajwa hapo juu utasoma mara tatu. 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 4168

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana: