picha
SIKU ZA HATARI

Hizi ni siku za hatari kupata ujauzito.Siku hizi ndio siku za kupata mimba kwa urahisi

picha
JE SIKU SAHIHI YAKUFANYA TENDO LA NDOA NIIPI UKIPATA SIKU ZAKE ZA HATARI?

Swali langu ni hili doktaJe siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?

picha
JE KITUNGUU SAUMU KINA MADHARA KWA MGONJWA WA FIGO?

Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?

picha
JE..! NAWEZA KUAMBUKIZWA FANGASI KWA KUJAMIIANA NA MTU MWENYE FANGASI?

Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.

picha
MAUMIVU MAKALI SANA JUU YA TUMBO YN KAMA KUNA MOTO HIVI NA MGONGON KAMA UNADUNGWA SINDANO HIVI JE HIZO NI DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO?

Dr huwa nasikia maumivu makali sana juu ya tumbo yn kama kuna moto hivi na mgongon kama unadungwa sindano hivi...

picha
JE MTU ANAWEZA KUSHIRIKI MAPENZI NA MTU MWENYE MAAMBUKIZI YA UKIMWI PASIPO KUAMBUKIZWA?

Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?

picha
ANAWASHWA SANA SEHEMU YA SIRI MPAKA ANATOKA VIPELE VINGI KWENYE MAPAJA KORODANI ZAKE ZIMEBADILIKA KUWA NYEKUNDU

Abali mkuu Nina mdogo wangu anawashwa Sana sehemu ya Siri mpaka anatoka vipele vingi kwenye mapaja korodani zake zimebadilika kuwa...

picha
MAPIGO YA MOYO KWENDA MBIO, MWILI KUCHOKA,KICHEFUCHEFU, KIZUNGUNGU, JOTO KIASI.

Je, mtu mwenye dalili zifuatazo Kama, Mapigo ya moyo kwenda mbio, mwili kuchoka,kichefuchefu, kizungungu, joto kiasi.

picha
NINA MAAMBUKIZI YA ZINAHA MAUMIVU WAKATI WA KUKOJOA NA USAHA

Mimi nilifanya ngono isiyo salama Tar 14/07 mwaka huu, nilikutana tu na mwanamke ambae sikuwa hata na background yake yoyote...

picha
JE MIWA INA MADHARA YOYOTE?

Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?

picha
NAHIS MIGUU PAMOJA NA MIKONO KUISHIWA NGUVU NI MGONGO KUUMA NI DALILI ZA UGONJWA GAN ?

mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?

picha
FANGASI WANAOJULIKANA KAMA BLASTOMYCES

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.

picha
FANGASI WANAOJULIKANA KAMA BLASTOMYCES

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.

picha
JE ULAJI WA BOGA UNAFAA KWA MGONJWA WA KISUKARI?

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

picha
ZOEZI

Zoezi la 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.

Page 69 of 230

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.