dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.
Swali:
Endapo nina dalili za mimba na nikipima sina mimba, je, tatizo ni nini?
Jibu:
Endapo una dalili za mimba lakini ukipima hakuna kitu huwenda utakuwa unasumbuliwa na moja kati ya yafuatayo:-
1. Endapo mimba ni changa sana huwenda isionekane kwenye kipimo cha mkojo
2. Endapo una maradhi ya PID unaweza kupata dalili za mimba
3. Kukosa hedhi pekee sio dalili ya mimba inaweza kuwa umekosa kwa sababu nyingine
4. kama una shida kwenye homoni unaweza kupata dalili za mimba lakini usiwe na mimba
5. endapo una uvimbe kwenye kizazi ama shida nyingine za kwenye kizazi unaweza upate dalili za mimba lakini isiwe mimba.
Nini ufanye:
1. Subiri baada ya wiki angalau moja baada ya kupita kwa tarehe zako za hedhi kisha pima tena
2. Fika kituo cha afya kupata vipimo huwenda unasumbuliwa na shida nyingine za kiafya.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu
Soma Zaidi...Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Soma Zaidi...Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume
Soma Zaidi...Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuepuka fangasi za ukeni, ni njia ambazo usaidia kuepuka madhara ya fangasi za ukeni.
Soma Zaidi...Miongoni mwa changamoto za ujauzito ni maumivu ya tumbo. Maumivu haya yanawezakuwaya kawaida ama makali zaidi. Vyema kufika Kituo cha Afya endapoyatakuwa makali.
Soma Zaidi...Wajawazito wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiungulia, makala hii itakujulisha njia za kukabiliana na kiungulia, dalili zake na dawa zake
Soma Zaidi...