picha

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?



Namba ya swali 045

Yes boga husaidia kwa mgonjwa wa kisukari Soma makala hii kujuwa zaidi https://bongoclass.com/matunda/bong.html



Namba ya swali 045

Ugari wa mhogo ulio lowekwa in unafaa kwa mgonjwa wa sukari.



Namba ya swali 045

Ndio unafaha



Namba ya swali 045

Je mahindi yaliyo kobolewa nakulowekwa kwenyemaji kwasiku tatu ugari wake unafaa kwa mngojwa wasukari.



Namba ya swali 045

Hakuna shida



Namba ya swali 045

Mtu mwenye sukari anashauriwa kula chakula kidogo km ugari ,Michele,ndizi Je? na maboga ale kidogo?



Namba ya swali 045

Yes unaweza kula maboga,



Namba ya swali 045

Tikti maji kwa mtu mwenye sukari anashauriwa ale.kiasigani?



Namba ya swali 045

Ni ngumu sana kukueleza kiasi ila anatakiwa ale kwa kiasi kidogi



Namba ya swali 045

Mtu mwenye sukari yakushuka anaweza kutumia alovera ama shubiri



Namba ya swali 045

Swala la alovera bado lina utata ila kuna tafiti ilifanyika inaonyeshabkuwa Alovera inaweza kushusha sukari



Namba ya swali 045

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3690

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 ai web app    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Nini maana ya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya protini

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula samaki

Posti hii itakwenda kukupa faida za kula samaki kwenye mwili wako.

Soma Zaidi...
Dalili za ukosefu wa madini ya iodini (goiter)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za upungufu wa iodini ambapo kitaalamu hujulikana Kama goiter. Goiter Ni Sababu ya kawaida ya goiter duniani kote ni ukosefu wa iodini katika chakula. Nchini Marekani, ambako utumiaji wa chumvi yenye iodini ni j

Soma Zaidi...
Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.

Soma Zaidi...
Fahamu Fati na kazi zake, vyakula vya fati na athari za upungufu wake

Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C

Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa

Soma Zaidi...
Tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi

Soma Zaidi...
Faida za nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...