Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?



Namba ya swali 045

Yes boga husaidia kwa mgonjwa wa kisukari Soma makala hii kujuwa zaidi https://bongoclass.com/matunda/bong.html



Namba ya swali 045

Ugari wa mhogo ulio lowekwa in unafaa kwa mgonjwa wa sukari.



Namba ya swali 045

Ndio unafaha



Namba ya swali 045

Je mahindi yaliyo kobolewa nakulowekwa kwenyemaji kwasiku tatu ugari wake unafaa kwa mngojwa wasukari.



Namba ya swali 045

Hakuna shida



Namba ya swali 045

Mtu mwenye sukari anashauriwa kula chakula kidogo km ugari ,Michele,ndizi Je? na maboga ale kidogo?



Namba ya swali 045

Yes unaweza kula maboga,



Namba ya swali 045

Tikti maji kwa mtu mwenye sukari anashauriwa ale.kiasigani?



Namba ya swali 045

Ni ngumu sana kukueleza kiasi ila anatakiwa ale kwa kiasi kidogi



Namba ya swali 045

Mtu mwenye sukari yakushuka anaweza kutumia alovera ama shubiri



Namba ya swali 045

Swala la alovera bado lina utata ila kuna tafiti ilifanyika inaonyeshabkuwa Alovera inaweza kushusha sukari



Namba ya swali 045

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1675

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

vyakula vya kuongeza damu, dalili zake na sababu za upungufu wa damu

Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu

Soma Zaidi...
Athari za kula vitamin C kupitiliza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza

Soma Zaidi...
Faida za kungumanga/nutmeg

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga

Soma Zaidi...
Dawa ya kiungulia na njia za kuzuia kiungulia

utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.

Soma Zaidi...
darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...
Zaituni (Olive)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive

Soma Zaidi...
Faida za kunywa maziwa

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kunywa maziwa kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula fenesi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi

Soma Zaidi...
Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)

Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.

Soma Zaidi...