Makundi ya watu walio katika hatari ya kupata Ugonjwa wa Ukimwi


image


Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,ni kutokana na kazi zao pamoja na mazingira yao kwa hiyo wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa wa ukimwi.


Makundi ya watu ambao wako hatarini kupata Ugonjwa wa Ukimwi.

1.Wanaofanya biashara ya ngono.

Kuna baadhi ya wasichana ambao wanafanya biashara ya kuuza miili yao wako hatarini kwa sababu wanakutana na watu mbalimbali na kwa wakati mbalimbali na pengine wana bei za kuuza ngono ,kuna bei kama hauna kondomu na bei kama una kondomu kwa hiyo walio wengi wanapenda bei kama hakuna kondomu na kwa hiyo haiwawezi kujua nani ni mwadhirika na nina sio mwadhirika kwa hiyo ni rahisi kusambaa kwa ukimwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

 

2.Wanaofanya ngono za jinsia moja yaani wanawake kwa wanawake na wanaume kwa wanaume kwa hiyo hawa mara nyingi hawatumii kinga na pia ubadilisha wachumba kutokana na kusafiri au kuhama ambapo mtu akihama anatafuta mchumba mwingine ambaye anafanya kazi hiyo hali inayosababisha kusambaa kwa ugonjwa wa ukimwi.

 

3.Watoto yatima na watoto wa mitaani.

Kwa kawaida hawa watoto uishi kwa kutegemea watu wengine kwa hiyo kuna wakati ambapo wanaitwa na watu kwa lengo la kupata msaada na hatimaye kurawitiwa kama ni wavulana au kubakwa kama ni wasichana hali ambayo Usababisha kuenea kwa magonjwa ya zinaa na Ukimwi.

 

4.Wanaofanya kazi migodini na ziwani .

Kwa kawaida hawa ni watu ambao wanapata Ela za kila siku kwa sababu ya biashara zao kwa hiyo utumia pesa hizo kwa ajili ya kuonga na kusababisha kuongezeka kwa Maambukizi ya virus vya ukimwi kwa hiyo kila siku huwa wanabadilisha wanawake au wanaume kwa kigezo cha kupata pesa na mahitaji mbalimbali.

 

5.Wanaume ambao hawajatahiriwa.

Kwa kawaida wanaume ambao hawajatahiriwa wana asilimia sitini ya kutopata Maambukizi kwa sababu ya kutokuwepo kwa ngozi ya juu ya uume ambayo utunza wadudu, lakini wanaume ambao hawajatahiriwa wana uwezekano wa kupata ukimwi kwa sababu ya ngozi iliyo kwenye sehemu zao za siri kuwa na wadudu wanaosambaza Maambukizi.

 

6. Kwa hiyo tunajua wazi kwamba ukimwi unaua tuendelee kutoa elimu kwa makundi haya ili kuweza kupunguza kiwango cha maambukizo na vifo vinavyotokea kila siku na kila wakati.

.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Jifunze kuhusu msukumo wa damu kwa kitaalamu huitwa pressure
Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili Soma Zaidi...

image ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?
Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini. Soma Zaidi...

image Dalili za kuaribika kwa mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi Dalili zinazoweza kujitokeza baada ya sehemu ya kupeleka taarifa kwenye ubongo imearibika, kwa hiyo mambo yafuatayo yakijitokeza utajua wazi kuwa kuna matatizo kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo. Soma Zaidi...

image Namna ya kuepuka Ugonjwa wa ngiri.
Posti hii inahusu zaidi namna au njia za kuepuka na Ugonjwa huu wa ngiri ambao uleta madhara kwa watoto, vijana na watu wazima, kwa hiyo ili tuweze janga hili ni lazima tufanye yafuatayo. Soma Zaidi...

image Dalili za minyoo ya tumbo
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria. Soma Zaidi...

image Je, utamsaidia vipi mtu aliyeumwa na nyuki?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya. Soma Zaidi...

image Yajue malengo ya kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda. Soma Zaidi...

image Ni Nini husababisha kukosa choo? (Constipation)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazopelekea kukosa choo ,yaani kinyesi kuwa kigumu au kukosa kabisa choo. Soma Zaidi...

image Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa Soma Zaidi...

image Malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo. Soma Zaidi...