picha

Makundi ya watu walio katika hatari ya kupata Ugonjwa wa Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,ni kutokana na kazi zao pamoja na mazingira yao kwa hiyo wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa wa ukimwi.

Makundi ya watu ambao wako hatarini kupata Ugonjwa wa Ukimwi.

1.Wanaofanya biashara ya ngono.

Kuna baadhi ya wasichana ambao wanafanya biashara ya kuuza miili yao wako hatarini kwa sababu wanakutana na watu mbalimbali na kwa wakati mbalimbali na pengine wana bei za kuuza ngono ,kuna bei kama hauna kondomu na bei kama una kondomu kwa hiyo walio wengi wanapenda bei kama hakuna kondomu na kwa hiyo haiwawezi kujua nani ni mwadhirika na nina sio mwadhirika kwa hiyo ni rahisi kusambaa kwa ukimwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

 

2.Wanaofanya ngono za jinsia moja yaani wanawake kwa wanawake na wanaume kwa wanaume kwa hiyo hawa mara nyingi hawatumii kinga na pia ubadilisha wachumba kutokana na kusafiri au kuhama ambapo mtu akihama anatafuta mchumba mwingine ambaye anafanya kazi hiyo hali inayosababisha kusambaa kwa ugonjwa wa ukimwi.

 

3.Watoto yatima na watoto wa mitaani.

Kwa kawaida hawa watoto uishi kwa kutegemea watu wengine kwa hiyo kuna wakati ambapo wanaitwa na watu kwa lengo la kupata msaada na hatimaye kurawitiwa kama ni wavulana au kubakwa kama ni wasichana hali ambayo Usababisha kuenea kwa magonjwa ya zinaa na Ukimwi.

 

4.Wanaofanya kazi migodini na ziwani .

Kwa kawaida hawa ni watu ambao wanapata Ela za kila siku kwa sababu ya biashara zao kwa hiyo utumia pesa hizo kwa ajili ya kuonga na kusababisha kuongezeka kwa Maambukizi ya virus vya ukimwi kwa hiyo kila siku huwa wanabadilisha wanawake au wanaume kwa kigezo cha kupata pesa na mahitaji mbalimbali.

 

5.Wanaume ambao hawajatahiriwa.

Kwa kawaida wanaume ambao hawajatahiriwa wana asilimia sitini ya kutopata Maambukizi kwa sababu ya kutokuwepo kwa ngozi ya juu ya uume ambayo utunza wadudu, lakini wanaume ambao hawajatahiriwa wana uwezekano wa kupata ukimwi kwa sababu ya ngozi iliyo kwenye sehemu zao za siri kuwa na wadudu wanaosambaza Maambukizi.

 

6. Kwa hiyo tunajua wazi kwamba ukimwi unaua tuendelee kutoa elimu kwa makundi haya ili kuweza kupunguza kiwango cha maambukizo na vifo vinavyotokea kila siku na kila wakati.

.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2270

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 ai web app     👉4 web hosting     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Matibabu ya maumivu chini ya kitovu

Post hii inahusu zaidi matibabu ya kutibu ugonjwa wa maumivu chini ya kitovu.

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza ugonjwa wa zinaa

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa

Soma Zaidi...
Dalili ya pressure ya kupanda

Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya

Soma Zaidi...
Typhoid husabisha mwili kuchoka na maumivu ya kichwa pamoja na joint za miguu kuchoka

Dalili za typhid zinapasa kuangaliwa kwa umakini. Bila vipimo mtu asitumie dawa za tyohod, kwanu dalili za tyohid hufanana na daliki za maradhi mengi.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa Ugumu wa kumeza (dysphagia)

Ugumu wa kumeza (dysphagia) inamaanisha inachukua muda na bidii zaidi kuhamisha chakula kutoka kwa mdomo wako hadi kwenye tumbo lako. Ugumu wa kumeza unaweza pia kuhusishwa na maumivu. Katika baadhi ya matukio, kumeza inaweza kuwa haiwezekani. Ugumu w

Soma Zaidi...
Dalili zinazoonyesha joto la kupungua mwilini (hypothermia)

joto la mwili wako linapungua, moyo wako, mfumo wa neva na viungo vingine haviwezi kufanya kazi kwa kawaida. Isipopotibiwa, Hypothermia hatimaye inaweza kusababisha moyo wako na mfumo wa upumuaji kushindwa kabisa na hata kifo.

Soma Zaidi...