Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,ni kutokana na kazi zao pamoja na mazingira yao kwa hiyo wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa wa ukimwi.
1.Wanaofanya biashara ya ngono.
Kuna baadhi ya wasichana ambao wanafanya biashara ya kuuza miili yao wako hatarini kwa sababu wanakutana na watu mbalimbali na kwa wakati mbalimbali na pengine wana bei za kuuza ngono ,kuna bei kama hauna kondomu na bei kama una kondomu kwa hiyo walio wengi wanapenda bei kama hakuna kondomu na kwa hiyo haiwawezi kujua nani ni mwadhirika na nina sio mwadhirika kwa hiyo ni rahisi kusambaa kwa ukimwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
2.Wanaofanya ngono za jinsia moja yaani wanawake kwa wanawake na wanaume kwa wanaume kwa hiyo hawa mara nyingi hawatumii kinga na pia ubadilisha wachumba kutokana na kusafiri au kuhama ambapo mtu akihama anatafuta mchumba mwingine ambaye anafanya kazi hiyo hali inayosababisha kusambaa kwa ugonjwa wa ukimwi.
3.Watoto yatima na watoto wa mitaani.
Kwa kawaida hawa watoto uishi kwa kutegemea watu wengine kwa hiyo kuna wakati ambapo wanaitwa na watu kwa lengo la kupata msaada na hatimaye kurawitiwa kama ni wavulana au kubakwa kama ni wasichana hali ambayo Usababisha kuenea kwa magonjwa ya zinaa na Ukimwi.
4.Wanaofanya kazi migodini na ziwani .
Kwa kawaida hawa ni watu ambao wanapata Ela za kila siku kwa sababu ya biashara zao kwa hiyo utumia pesa hizo kwa ajili ya kuonga na kusababisha kuongezeka kwa Maambukizi ya virus vya ukimwi kwa hiyo kila siku huwa wanabadilisha wanawake au wanaume kwa kigezo cha kupata pesa na mahitaji mbalimbali.
5.Wanaume ambao hawajatahiriwa.
Kwa kawaida wanaume ambao hawajatahiriwa wana asilimia sitini ya kutopata Maambukizi kwa sababu ya kutokuwepo kwa ngozi ya juu ya uume ambayo utunza wadudu, lakini wanaume ambao hawajatahiriwa wana uwezekano wa kupata ukimwi kwa sababu ya ngozi iliyo kwenye sehemu zao za siri kuwa na wadudu wanaosambaza Maambukizi.
6. Kwa hiyo tunajua wazi kwamba ukimwi unaua tuendelee kutoa elimu kwa makundi haya ili kuweza kupunguza kiwango cha maambukizo na vifo vinavyotokea kila siku na kila wakati.
.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?
Soma Zaidi...KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.
Soma Zaidi...Dalili za HIV zina utofauti na dalili za UKIMWI. Kwani HIV huwezakuonyesha dalili wiki ya pili hadi ya sita baada ya kuathirika kisha zinapotea, lakini dalili za UKIMWI huwezakutokea baada ya miaka 5 hadi 10.
Soma Zaidi...Uchovu wa joto ni hali ambayo dalili zake zinaweza kujumuisha kutokwa na jasho kubwa na mapigo ya haraka, ambayo ni matokeo ya joto la mwili wako. Ni mojawapo ya magonjwa matatu yanayohusiana na joto, huku tumbo la joto likiwa kali zaidi na Kihar
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa kuziba kwa Njia ya machozi yaani kukosa machozi ambayo husababishwa na maambukizi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Bawasili, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mgonjwa ambaye ana ugonjwa wa Bawasili.
Soma Zaidi...post hii inaelezea kuhusiana na dalili au ishara na madhara ya Kiungulia ni maumivu ya moto kwenye kifua chako, nyuma ya mfupa wako wa kifua. Maumivu huwa mabaya zaidi wakati wa kulala au kuinama
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo dalili zake na namna ya kumsaidia mgonjwa mwenye tatizo hilo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa
Soma Zaidi...