Je miwa ina madhara yoyote?

Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?

Je miwa ina madhara yoyote?

Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa
Je miwa ina madhara yoyote?



Namba ya swali 049

Mmmh moja katika madhara ya miwa ni kuongeza uzito wa mwili endapo mtu ataila sana kupitiliza



Namba ya swali 049

Sukari inayopatikana kwenye matunda ina madhara gani?



Namba ya swali 049

Sukari ya kwenye matunda ya asili kama vile muwa, ndizi, inamadhara gani mwilini?



Namba ya swali 049

Haina madhara



Namba ya swali 049

Sukari ilyoko kwenye matunda inaweza kupelekea mapigo ya moyo kwenda kasi



Namba ya swali 049

Inawwza kama itakuwa nyingi sana



Namba ya swali 049

Kitaalamu mtu anatakiwa kula muwa kiasi gani? Kwa siku



Namba ya swali 049

Je unasumbuliwa na maradhi



Namba ya swali 049

Maana kitaalamu hakuna madhara ya kiafya kwa kuka muwa



Namba ya swali 049

Mapigo ya moyo huenda kasi hivyo nahofia kula sukari ya muwa na ndizi (nadhani inaweza kuongezatatizo hilo ) kwa hilo unaonaje au niendelee tu kula miwa na ndizi?



Namba ya swali 049

Punguza



Namba ya swali 049
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2943

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Soma Zaidi...
Faida za kula bamia

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo baada ya kula

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula

Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti

Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti

Soma Zaidi...
Aina 20 za Vitamini, kazi zake, vyanzo vyeke na madhara ya upungufu wake

Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.

Soma Zaidi...
Faida za kula apple (tufaha)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha

Soma Zaidi...
Zijuwe kazi na faida za Vitamini C mwilini

Vitamini C ni moja kati ya vitamini muhimu sana katika kuboresha ufanyaji kazi wa mfumowa kinga mwilini yaani immune system. Katika post hii utakwenda kujifunza kazi za vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Faida za biringanya/ eggplant

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant

Soma Zaidi...
Faida za kula Papai

Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...