Je miwa ina madhara yoyote?

Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?

Je miwa ina madhara yoyote?

Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa
Je miwa ina madhara yoyote?



Namba ya swali 049

Mmmh moja katika madhara ya miwa ni kuongeza uzito wa mwili endapo mtu ataila sana kupitiliza



Namba ya swali 049

Sukari inayopatikana kwenye matunda ina madhara gani?



Namba ya swali 049

Sukari ya kwenye matunda ya asili kama vile muwa, ndizi, inamadhara gani mwilini?



Namba ya swali 049

Haina madhara



Namba ya swali 049

Sukari ilyoko kwenye matunda inaweza kupelekea mapigo ya moyo kwenda kasi



Namba ya swali 049

Inawwza kama itakuwa nyingi sana



Namba ya swali 049

Kitaalamu mtu anatakiwa kula muwa kiasi gani? Kwa siku



Namba ya swali 049

Je unasumbuliwa na maradhi



Namba ya swali 049

Maana kitaalamu hakuna madhara ya kiafya kwa kuka muwa



Namba ya swali 049

Mapigo ya moyo huenda kasi hivyo nahofia kula sukari ya muwa na ndizi (nadhani inaweza kuongezatatizo hilo ) kwa hilo unaonaje au niendelee tu kula miwa na ndizi?



Namba ya swali 049

Punguza



Namba ya swali 049

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3966

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 web hosting    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.

Soma Zaidi...
Faida za pilipili

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za pilipili

Soma Zaidi...
Asili ya Madini ya shaba

Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama

Soma Zaidi...
utaratibu wa lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...
Vyakula gani ambavyo sitakiwi kula kama nina pressure ya kupanda

Post hii itakufundisha kwa ufupi vyakula vya kuviepuka kama una presha ya kupanda.

Soma Zaidi...
Asili ya vyakula vya madini ya zinki

Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C

Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa

Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti

Soma Zaidi...
Kazi za virutubisho vya protini mwilini

Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini

Soma Zaidi...