picha

HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

Somo hili linakufundisha maana ya HTML, kwa nini inatumika, na jinsi ya kuandaa simu au kompyuta yako kwa ajili ya kuanza kutengeneza tovuti. Pia tutatengeneza ukurasa wetu wa kwanza wa HTML hatua kwa hatua.

Utangulizi

HTML ni lugha ya msingi inayotumika kutengenezea kurasa za tovuti na blogu. Bila HTML hakuna website inayoonekana duniani. Unaweza kutengeneza tovuti kwa kutumia HTML pekee, kisha ukaboresha baadaye kwa kutumia CSS na JavaScript.

Katika somo hili, tunaanza kwa kukuweka tayari ili uweze kuandika code zako bila shida—iwe unatumia simu au kompyuta.


Sasa tuingie kwenye somo letu…


1. HTML ni nini?

HTML ni ufupisho wa:

Ni lugha ya kimataifa inayotumiwa kutengeneza kurasa za tovuti (website pages). HTML haihitaji umiliki wa vifaa ghali; unaweza kuanza hata kwa kutumia simu yako ya mkononi.

Ikiwa una ndoto za kuanzisha blog, tovuti ya biashara au portfolio, basi uko mahali sahihi. Mafunzo haya yatakufundisha kuanzia hatua ya mwanzo kabisa hadi kutengeneza tovuti inayoweza kwenda live.


2. Vigezo vya kuanza kujifunza

Ili uweze kufanikiwa kwenye kozi hii, unahitaji:

Kozi ya msingi (Basics) itachukua wiki moja, kisha tutaendelea na hatua ya pili.


3. Namna ya kuandaa kifaa chako (Simu)

Kwa watumiaji wa simu, utatumia app inayoitwa Acode (badala ya TrebEdit kwa sababu Acode ni nyepesi na ya kisasa).

Hatua za kuandaa Acode

  1. Pakua app ya Acode kwenye Play Store:
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.foxdebug.acodefree

  2. Fungua Acode

  3. Bofya icon ya “folder” kisha tengeneza folder jipya

  4. Lipe jina mfano: html-project

  5. Ndani ya hilo folder, tengeneza folder lingine liitwe images

  6. Rudi kwenye folder la html-project

  7. Bonyeza alama ya “+” kutengeneza faili jipya

  8. Lipe jina: index.html

  9. Lifungue faili hilo

  10. Andika au kopia code zifuatazo:

<!DOCTYPE html>
<...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 HTML hasa inatumika katika kutengenezea ______
2 Kurasa za wavuti tunaweza kuziona kwenye ____
3 HTML ni kifupisho cha maneno __________

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Masomo File: Download PDF Views 2267

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML

Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutatua Tatizo la Kamera Kutofanya Kazi

Kamera ya simu au kompyuta yako imegoma kufanya kazi? Usipaniki. Tatizo hili hutokea mara kwa mara na mara nyingi halihitaji ufundi mkubwa. Makala hii inakupa suluhisho la haraka na rahisi kuanzia kusafisha lenzi, kuwasha upya vifaa, hadi kuangalia mipangilio ya ndani (permissions). Utafanya kamera yako ianze kazi tena ndani ya dakika chache bila kutumia gharama yoyote.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutatua Tatizo la Speaker

Spika ni kifaa kinachobadilisha mawimbi ya umeme kuwa sauti tunayosikia. Ndani ya spika kuna sumaku na utando laini unaotikisika ili kutoa sauti. Spika inapogoma kufanya kazi, vyanzo vikuu huwa ni vitatu: matatizo ya kiufundi (waya/uchafu), matatizo ya mipangilio (settings), au hitilafu za mfumo wa kompyuta/simu.Uzuri ni kwamba, matatizo mengi yanayotokea kila siku unaweza kuyatatua mwenyewe kwa kufuata hatua rahisi tulizokuandalia hapa chini

Soma Zaidi...
HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML

Soma Zaidi...
HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui

Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html

Soma Zaidi...