picha

HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

Somo hili linakufundisha maana ya HTML, kwa nini inatumika, na jinsi ya kuandaa simu au kompyuta yako kwa ajili ya kuanza kutengeneza tovuti. Pia tutatengeneza ukurasa wetu wa kwanza wa HTML hatua kwa hatua.

Utangulizi

HTML ni lugha ya msingi inayotumika kutengenezea kurasa za tovuti na blogu. Bila HTML hakuna website inayoonekana duniani. Unaweza kutengeneza tovuti kwa kutumia HTML pekee, kisha ukaboresha baadaye kwa kutumia CSS na JavaScript.

Katika somo hili, tunaanza kwa kukuweka tayari ili uweze kuandika code zako bila shida—iwe unatumia simu au kompyuta.


Sasa tuingie kwenye somo letu…


1. HTML ni nini?

HTML ni ufupisho wa:

Ni lugha ya kimataifa inayotumiwa kutengeneza kurasa za tovuti (website pages). HTML haihitaji umiliki wa vifaa ghali; unaweza kuanza hata kwa kutumia simu yako ya mkononi.

Ikiwa una ndoto za kuanzisha blog, tovuti ya biashara au portfolio, basi uko mahali sahihi. Mafunzo haya yatakufundisha kuanzia hatua ya mwanzo kabisa hadi kutengeneza tovuti inayoweza kwenda live.


2. Vigezo vya kuanza kujifunza

Ili uweze kufanikiwa kwenye kozi hii, unahitaji:

Kozi ya msingi (Basics) itachukua wiki moja, kisha tutaendelea na hatua ya pili.


3. Namna ya kuandaa kifaa chako (Simu)

Kwa watumiaji wa simu, utatumia app inayoitwa Acode (badala ya TrebEdit kwa sababu Acode ni nyepesi na ya kisasa).

Hatua za kuandaa Acode

  1. Pakua app ya Acode kwenye Play Store:
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.foxdebug.acodefree

  2. Fungua Acode

  3. Bofya icon ya “folder” kisha tengeneza folder jipya

  4. Lipe jina mfano: html-project

  5. Ndani ya hilo folder, tengeneza folder lingine liitwe images

  6. Rudi kwenye folder la html-project

  7. Bonyeza alama ya “+” kutenge">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    help_outlineZoezi la Maswali

    info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
    1 HTML hasa inatumika katika kutengenezea ______
    2 Kurasa za wavuti tunaweza kuziona kwenye ____
    3 HTML ni kifupisho cha maneno __________

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-16 Topic: HTML Main: ICT File: Download PDF Views 1819

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 web hosting    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

    Post zinazofanana:

    HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake

    Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html

    Soma Zaidi...
    Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML

    Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.

    Soma Zaidi...
    HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.

    Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML

    Soma Zaidi...
    Njia za kupambana na saratani

    Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na saratani

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

    Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.

    Soma Zaidi...
    HTML somo la 17: Jinsi ya kuunganisha HTML na CSS au JavaScript

    Katika somo hili utakwend akujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya Kuunganisha HTML na CSS au JavaScript

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 7: Vitu vya kuzingatia unapoandika HTML

    Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

    Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML

    Soma Zaidi...