picha

HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

Somo hili linakufundisha maana ya HTML, kwa nini inatumika, na jinsi ya kuandaa simu au kompyuta yako kwa ajili ya kuanza kutengeneza tovuti. Pia tutatengeneza ukurasa wetu wa kwanza wa HTML hatua kwa hatua.

Utangulizi

HTML ni lugha ya msingi inayotumika kutengenezea kurasa za tovuti na blogu. Bila HTML hakuna website inayoonekana duniani. Unaweza kutengeneza tovuti kwa kutumia HTML pekee, kisha ukaboresha baadaye kwa kutumia CSS na JavaScript.

Katika somo hili, tunaanza kwa kukuweka tayari ili uweze kuandika code zako bila shida—iwe unatumia simu au kompyuta.


Sasa tuingie kwenye somo letu…


1. HTML ni nini?

HTML ni ufupisho wa:

Ni lugha ya kimataifa inayotumiwa kutengeneza kurasa za tovuti (website pages). HTML haihitaji umiliki wa vifaa ghali; unaweza kuanza hata kwa kutumia simu yako ya mkononi.

Ikiwa una ndoto za kuanzisha blog, tovuti ya biashara au portfolio, basi uko mahali sahihi. Mafunzo haya yatakufundisha kuanzia hatua ya mwanzo kabisa hadi kutengeneza tovuti inayoweza kwenda live.


2. Vigezo vya kuanza kujifunza

Ili uweze kufanikiwa kwenye kozi hii, unahitaji:

Kozi ya msingi (Basics) itachukua wiki moja, kisha tutaendelea na hatua ya pili.


3. Namna ya kuandaa kifaa chako (Simu)

Kwa watumiaji wa simu, utatumia app inayoitwa Acode (badala ya TrebEdit kwa sababu Acode ni nyepesi na ya kisasa).

Hatua za kuandaa Acode

  1. Pakua app ya Acode kwenye Play Store:
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.foxdebug.acodefree

  2. Fungua Acode

  3. Bofya icon ya “folder” kisha tengeneza folder jipya

  4. Lipe jina mfano: html-project

  5. Ndani ya hilo folder, tengeneza folder lingine liitwe images

  6. Rudi kwenye folder la html-project

  7. Bonyeza alama ya “+” kutengeneza faili jipya

  8. Lipe jina: index.html

  9. Lifungue faili hilo

  10. Andika au kopia code zifuatazo:

<!DOCTYPE html>
<...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 HTML hasa inatumika katika kutengenezea ______
2 Kurasa za wavuti tunaweza kuziona kwenye ____
3 HTML ni kifupisho cha maneno __________

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Masomo File: Download PDF Views 2293

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Jinsi ya Kutatua Tatizo la Mtandao wa Simu

Posti hii inatoa mwongozo rahisi na wa hatua kwa hatua kuhusu jinsi ya kurekebisha matatizo ya mtandao kwenye simu yako ya mkononi. Umejifunza njia za haraka kama kuwasha ‘Upepo’ (Flight Mode), kuwasha upya simu, na kuangalia kadi ya SIM ili kurudisha mawasiliano haraka bila kuhitaji fundi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutatua Tatizo la Mikrofoni

Je, unajaribu kupiga simu, kurekodi sauti, au kuingia kwenye mkutano wa mtandaoni lakini mikrofoni yako haifanyi kazi? Huu ni mwongozo rahisi na wa hatua kwa hatua unaoelezea jinsi ya kutatua matatizo yote ya mikrofoni kwenye simu au kompyuta yako. Tumeandika mwongozo huu kwa lugha rahisi ya Kiswahili ili kila mtu, hata asiye na ujuzi wa teknolojia, aweze kuelewa na kurekebisha kifaa chake mara moja bila kuhitaji fundi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutuma Faili Bila Intaneti

Kutuma faili bila kutumia intaneti ni njia rahisi ya kuhamisha picha, video, nyaraka, programu au aina nyingine za taarifa kutoka kifaa kimoja kwenda kingine bila kutumia data ya simu au Wi-Fi. Watu wengi wanafikiri kuwa lazima uwe na intaneti ili kutuma faili, lakini ukweli ni kwamba kuna njia mbalimbali zinazokuwezesha kufanya hivyo kwa kutumia teknolojia zilizopo kwenye simu, kompyuta au vifaa vingine. Njia hizi zinaweza kusaidia sana pale ambapo hakuna mtandao, data imeisha, au unataka kutuma faili kwa haraka bila kusubiri kupakua kupitia huduma za mtandaoni. Katika makala hii tutajifunza njia mbalimbali za kutuma faili bila intaneti, jinsi zinavyofanya kazi, faida zake, changamoto zake, na mambo muhimu ya kuzingatia ili kuhakikisha faili zako zinatumwa salama.

Soma Zaidi...
HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.

Soma Zaidi...
HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html

Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutumia Face Unlock kwa Usalama

Teknolojia ya Face Unlock imekuwa sehemu muhimu katika simu nyingi za kisasa. Kipengele hiki humwezesha mtumiaji kufungua simu yake kwa kutumia uso badala ya kutumia nenosiri, mchoro wa kufungua simu au alama ya kidole. Ingawa Face Unlock hurahisisha matumizi ya simu na kuongeza kasi ya kufungua kifaa, ni muhimu kujua namna ya kuitumia kwa usalama ili kulinda taarifa binafsi. Katika dunia ya sasa ambapo simu huhifadhi taarifa nyingi kama picha, ujumbe, akaunti za mitandao ya kijamii, taarifa za benki na nyaraka muhimu, usalama wa simu ni jambo la msingi. Kutumia Face Unlock bila kuelewa mipangilio yake kunaweza kuweka taarifa zako katika hatari. Makala hii inaelezea maana ya Face Unlock, jinsi inavyofanya kazi, faida zake, changamoto zake na hatua muhimu za kuitumia kwa usalama zaidi.

Soma Zaidi...