image

HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

Katika somo hili utajifunza maana ya HTML na jinsi inavyofanya kazi

HTML ni ufupisho wa maneno yanayosomeka kama:-

Hypertext

Markup

Language

 

Ni lugha ya komputa inayotumika katika kutengenezea kurasa za tovuti (website) ama blog.Inaungana na lugha nyingine katika kuboresha kurrasa za tovuti ama blog na kuzifanya ziweze kufanya kazi iliyokusudiwa vyema. Unaweza kutumia HTML tu ukatengeneza website yako bila ya lugha nyingine. Hata hivyo muonekano wake hautakuwa vyema sana kama hutatumia nyinggine.

 

Je na wewe una ndoto za kuwa na blog ama website uliyoitengeneza wewe mwenyewe. Mafunzo haya ni kwa ajili yako. Katika mafunzo haya utajifunza namna ya kutengeneza website yako kupitia kiganja chako yaani simu yako ya mkononi. Kama utakuwa na kompyuta hatutakuacha pia.

 

Somo hili la kwanza utajifunza namna ya kuandaa simu yako kwa ajili ya kutengeneza website, ama kwa ajili ya kutumia HTML. Kama tutaenda vyema na mafunzo haya hadi mwisho nakuhakikishia kama Mwenyezi Mungu akitujaalia nguvu, uwezo na uhai, utaweza kutengeneza website yako na kuiweka live.

 

Muda wa masomo haya kwa hatuwa za Awali (Basics) itakuwa na wiki moja. Kisha baada ya hapo hatuwa ya pili ya mafunzo itaendelea. Tafadhali kuwa tayari kujifunza, kuwa muulizaji na mchangiaji:

 

VIGEZO VYA KUJIFUNZA:

  1. Kuwa na simu ya smartphone
  2. Uwe unajuwa kusoma na kuandika
  3. Kuwa tayari kujifunza
  4. Kuwa mjanja
  5. Uwe mwenye kufanyi akazi (fanya mazoezi)

 

NAMNA YA KUANDAA KIFAA CHAKO

KWA WANAOTUMIA SIMU:

  1. Download App inayoitwa TrebEdit. Tumia link hii https://play.google.com/store/apps/details?id=com.teejay.trebedit
  2. Funguwa App yako kisha bofya  Menu
  3. Bofya palipoandikwa Workplace 
  4. Bofya kitufe chenye alama ya kujumlisha chini
  5. Kisha bofya palipandikwa New Project
  6. Andika jina la Project (mimi natumia HTML) kisha bofya save.
  7. Ingia kwenye project uliotengeneza kwa kubofya jina lake, ukurasa mpya utafunguka
  8. Bofya tena kitufe cha alama ya kujumlisha
  9. Bofya palipoandikwa new folder (hapa tunatengeneza folda la kuweka picha tutakazokuja kuzitumia kwenye tovutu tutakayotengeneza)
  10. Andika jina la folda tumia image kisha bofya save.
  11. Baada ya hapo rudi nyuma hatuwa moja kwenye project yako.
  12. Bofya tena jina la project yako
  13. Bofya kitufe cha alama ya kujumlisha
  14. Bofya palipandika New file (hapa ndipo tutakapoanzia kuweka code za kutengeneza tovuti yetu)">...



               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

    Mwandhishi Tarehe 2023-10-16 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 492


    Download our Apps
    👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

    Post zifazofanana:-

    HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi
    Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi. Soma Zaidi...

    HTML - somo la 7: Vitu vya kuzingatia unapoandika HTML
    Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element Soma Zaidi...

    Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
    Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css. Soma Zaidi...

    HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column Soma Zaidi...

    HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.
    Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML Soma Zaidi...

    HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html
    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html Soma Zaidi...

    HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html
    Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui Soma Zaidi...

    HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa Soma Zaidi...

    HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui
    Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html Soma Zaidi...

    HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake
    Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML Soma Zaidi...

    HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo Soma Zaidi...

    HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
    Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment Soma Zaidi...