picha

HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

Somo hili linakufundisha maana ya HTML, kwa nini inatumika, na jinsi ya kuandaa simu au kompyuta yako kwa ajili ya kuanza kutengeneza tovuti. Pia tutatengeneza ukurasa wetu wa kwanza wa HTML hatua kwa hatua.

Utangulizi

HTML ni lugha ya msingi inayotumika kutengenezea kurasa za tovuti na blogu. Bila HTML hakuna website inayoonekana duniani. Unaweza kutengeneza tovuti kwa kutumia HTML pekee, kisha ukaboresha baadaye kwa kutumia CSS na JavaScript.

Katika somo hili, tunaanza kwa kukuweka tayari ili uweze kuandika code zako bila shida—iwe unatumia simu au kompyuta.


Sasa tuingie kwenye somo letu…


1. HTML ni nini?

HTML ni ufupisho wa:

Ni lugha ya kimataifa inayotumiwa kutengeneza kurasa za tovuti (website pages). HTML haihitaji umiliki wa vifaa ghali; unaweza kuanza hata kwa kutumia simu yako ya mkononi.

Ikiwa una ndoto za kuanzisha blog, tovuti ya biashara au portfolio, basi uko mahali sahihi. Mafunzo haya yatakufundisha kuanzia hatua ya mwanzo kabisa hadi kutengeneza tovuti inayoweza kwenda live.


2. Vigezo vya kuanza kujifunza

Ili uweze kufanikiwa kwenye kozi hii, unahitaji:

Kozi ya msingi (Basics) itachukua wiki moja, kisha tutaendelea na hatua ya pili.


3. Namna ya kuandaa kifaa chako (Simu)

Kwa watumiaji wa simu, utatumia app inayoitwa Acode (badala ya TrebEdit kwa sababu Acode ni nyepesi na ya kisasa).

Hatua za kuandaa Acode

  1. Pakua app ya Acode kwenye Play Store:
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.foxdebug.acodefree

  2. Fungua Acode

  3. Bofya icon ya “folder” kisha tengeneza folder jipya

  4. Lipe jina mfano: html-project

  5. Ndani ya hilo folder, tengeneza folder lingine liitwe images

  6. Rudi kwenye folder la html-project

  7. Bonyeza alama ya “+” kutenge">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    help_outlineZoezi la Maswali

    info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
    1 HTML ni kifupisho cha maneno __________
    2 Kurasa za wavuti tunaweza kuziona kwenye ____
    3 HTML hasa inatumika katika kutengenezea ______

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-16 Topic: HTML Main: ICT File: Download PDF Views 1894

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 web hosting    👉5 ai web app    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

    Post zinazofanana:

    Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML

    Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML

    Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 7: Vitu vya kuzingatia unapoandika HTML

    Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element

    Soma Zaidi...
    HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.

    Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML

    Soma Zaidi...
    Njia za kupambana na saratani

    Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na saratani

    Soma Zaidi...
    HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html

    Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui

    Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

    Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

    Soma Zaidi...