HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

Katika somo hili utajifunza maana ya HTML na jinsi inavyofanya kazi

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

HTML ni ufupisho wa maneno yanayosomeka kama:-

Hypertext

Markup

Language

 

Ni lugha ya komputa inayotumika katika kutengenezea kurasa za tovuti (website) ama blog.Inaungana na lugha nyingine katika kuboresha kurrasa za tovuti ama blog na kuzifanya ziweze kufanya kazi iliyokusudiwa vyema. Unaweza kutumia HTML tu ukatengeneza website yako bila ya lugha nyingine. Hata hivyo muonekano wake hautakuwa vyema sana kama hutatumia nyinggine.

 

Je na wewe una ndoto za kuwa na blog ama website uliyoitengeneza wewe mwenyewe. Mafunzo haya ni kwa ajili yako. Katika mafunzo haya utajifunza namna ya kutengeneza website yako kupitia kiganja chako yaani simu yako ya mkononi. Kama utakuwa na kompyuta hatutakuacha pia.

 

Somo hili la kwanza utajifunza namna ya kuandaa simu yako kwa ajili ya kutengeneza website, ama kwa ajili ya kutumia HTML. Kama tutaenda vyema na mafunzo haya hadi mwisho nakuhakikishia kama Mwenyezi Mungu akitujaalia nguvu, uwezo na uhai, utaweza kutengeneza website yako na kuiweka live.

 

Muda wa masomo haya kwa hatuwa za Awali (Basics) itakuwa na wiki moja. Kisha baada ya hapo hatuwa ya pili ya mafunzo itaendelea. Tafadhali kuwa tayari kujifunza, kuwa muulizaji na mchangiaji:

 

VIGEZO VYA KUJIFUNZA:

  1. Kuwa na simu ya smartphone
  2. Uwe unajuwa kusoma na kuandika
  3. Kuwa tayari kujifunza
  4. Kuwa mjanja
  5. Uwe mwenye kufanyi akazi (fanya mazoezi)

 

NAMNA YA KUANDAA KIFAA CHAKO

KWA WANAOTUMIA SIMU:

  1. Download App inayoitwa TrebEdit. Tumia link hii https://play.google.com/store/apps/details?id=com.teejay.trebedit
  2. Funguwa App yako kisha bofya  Menu
  3. Bofya palipoandikwa Workplace 
  4. Bofya kitufe chenye alama ya kujumlisha chini
  5. Kisha bofya palipandikwa New Project
  6. Andika jina la Project (mimi natumia HTML) kisha bofya save.
  7. Ingia kwenye project uliotengeneza kwa kubofya jina lake, ukurasa mpya utafunguka
  8. Bofya tena kitufe cha alama ya kujumlisha
  9. Bofya palipoandikwa new folder (hapa tunatengeneza folda la kuweka picha tutakazokuja kuzitumia kwenye tovutu tutakayotengeneza)
  10. Andika jina la folda tumia image kisha bofya save.
  11. Baada ya hapo rudi nyuma hatuwa moja kwenye project yako.
  12. Bofya tena jina la project yako
  13. Bofya kitufe cha alama ya kujumlisha
  14. Bofya palipandika New file (hapa ndipo tutakapoanzia kuweka code za kutengeneza tovuti yetu)
  15. Utatkiwa kuandika jina la file hapo andika index.html (hili ndio faili letu la kwanza la tovuti yetu.
  16. <">...

    Download Post hii hapa

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    help_outlineZoezi la Maswali

    info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
    1 HTML hasa inatumika katika kutengenezea ______
    2 Kurasa za wavuti tunaweza kuziona kwenye ____
    3 HTML ni kifupisho cha maneno __________

    Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: HTML Main: ICT File: Download PDF Views 1299

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

    Post zinazofanana:

    HTML - somo la 7: Vitu vya kuzingatia unapoandika HTML
    HTML - somo la 7: Vitu vya kuzingatia unapoandika HTML

    Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element

    Soma Zaidi...
    HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html
    HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html

    Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website
    HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html
    HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi
    HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

    Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
    HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML

    Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho

    Soma Zaidi...
    Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
    Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML

    Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML
    HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.

    Soma Zaidi...
    HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
    HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

    Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML
    HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

    Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML

    Soma Zaidi...