picha
FAIDA ZA KULA ZABIBU

Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya
picha
JE MINYOO INAWEZA KUSABABISHA MMENG'ENYO WA CHAKULA KUWA DHAIFU?

Mfumo wa chakula unaweza kuwa dhaifu kwa sababu nyingi ikiwepo vyakula vyenyewe, vinywaji ama maradhi. Vipi kuhusu minyoo? Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
picha
HALOW SAMAHAN DOKTA NMEKUWA NIKIUMWA TUMBO MUDA MWINGI TAKRIBAN WIKI YA 3 HALIPON NAHARISHA KUNA MUDA NIKILA CHAKULA HATA KAMA KDOGO TU MAUMIVU MAKALI,JE NIFANYAJE MSAADA

Mvurugiko katika mfumo wa chakula mwilinivunaweza kusababisha maumivu ya tumbo, kuharisha, kutapika na kuchoka pia. Lakini zipo sababu nyingine kama kuwana ujauzito. Nini ufanye endapo unasumbuliwana hali hii
picha
NNA MIMBA YA MIEZ MIEZI MITANO 5 NARUHUSIWA KULA PAPAI KWA WING

Miongoni mwa matunda yenye virutubisho vingi ni pamoja na papai, nanasi, tikiti, palachichi, pera, karoti, hindi na boga. Lakini katika matunda haya yapo ambayo kwa mimba changa anatakiwa awe makini, kama papai na nanasi. Sasa vipi kuhusu mimba ya
picha
JE VIDONDA VYA TUMBO HUSABABISHA MAUMIVU MPKA UPANDE MMOJA WA MGONGONI !?

Ni ngumu kujuwa vidonda vya tumbo uhakika wake bila ya kupata vipimo. Unajuwa ni kwa nini, ni kwa sababu maumivu ya tumbo ni dalili ya shida nyingi za kiafya kama ujauzito, mimba, typhod, na shida kwenye unfumo wa chakula.
picha
MIE NI MWANAMKE NINAMAUMIVU CHINI YA KITOVU UPANDE WA KUSHOTO, NA NIKISHIKA TUMBO NAHISI KITU KIGUMU UPANDE HUO HUO WA KUSHOTO... HII ITAKUA NI NINI?

Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye.
picha
NIMETOKA KUFANYA TENDO LA NDOA GHAFLA TUMBO LIKAANZA KUKAZA UPANDE WA KUSHOTO NA KUTOKA MAJI YENYE UZITO WA KAWAIDA KAMA UTE MENGI JE HII ITAKUWA NI NINI

Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza.
picha
FAIDA ZA MATUNDA

Somo hili linakwenda kukuletea faida za MATUNDA mbalimbali na mboga, upatikanaji wake na faida zake kiafya. Pia utakwenda kuona MATUNDA na mboga ambayo Ni kinga dhidi ya maradhi hatari Kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo na mfumo wa fahamu pamoja na
picha
JE ?KIPIMO KIKIONYESHA MISITAR MIWILI MMOJA HAFIFU MWINGINE UMEKOLEA NI MIMBA AU SIO

Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti ✍️ hadi mwisho
picha
NJIA HUANZA KUFUNGUKA MDA GANI KABLA YA KUJIFUNGUA

Mtoto huweza kuzaliwa ndani ya miezi 6 na unaweza kupona. Na huyu mdoe mtoto njiti. Na anaweza kuzliwa kwa njia ya kawaida. Hakuna ushahidi unaiinyesha kuwa njiti hukabiliwanamatatizo ya kitalima kwenye ukubwa wako.
picha
JE UTE WA UZAZI UANZA KUONEKANA SIKU YA 14 TU AU KABLA ? NA JE MIMBA YA SIKU TATU INAWEZA KUCHEZA?

Miongoni mwa dalili zamwanzo za ujauzito ni maumivu ya tumbo ama kupatwa na damu kidogo. Mabadiliko ya ute ute sehemu za siri ni katika baadhi ya dalili. Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
picha
MIMI MARA YA MWISHO KUBLEED ILIKUWA TAREH 3/9 NILISEX TAREHE 4 JE NI KWEL NNA MIMBA MAANA HADI SASA SIJABLEED AU NI KAWAIDA TU

Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.
picha
DAWA YA KUTIBU INFECTION KWENYE KIZAZI NISAIDIE DOCTOR

Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.
picha
YAJUE MARADHI YA KISUKARI

Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari
picha
JE INAKUAJE KAMA UMEMPIGA DENDA MTU MWENY UKIMWI AMBAYE ANATUMIA DAW ZA ARVS NA UNA MICHUBUKO MIDOGO MDOMON YA KUUNGUA NA CHAI

Bila shaka umeshawahi kujiuliza kuwa je mate yanaambukiza HIV ama laa. Na kama hayaambukizi ni kwa sababu gani. Sio mate tu pia kuhusu jasho kama pia linaweza kuambukiza ukimwi ama HIV. Wapo pia wanajiuliza kuhusu mkojo kama unaweza kuambukizwa HIV. Kar
picha
JE DALILI YA KUUMA TUMBO HUANZA BAADA YA WIKI NGAPI TOKA MWANAMKE APATE UJAUZITO?

Maumivu ya tumbo ni moja katika dalili za ujauzito. Maumivu wanawake wengi hushindwa kujuwa kuwa ni ujauzito ama laa. Na hii ni kwa sababu kwa wanawake wengi maumivu ya tumbo ama changu ni jalivya kawaida kwao.
picha
JE CHUCHU ZIKIWA NYEUSI NINI KINASABABISHA,, KANDO YA KUWA MJAMZITO? NA KAMA SIO MJAMZITO SABABU YA CHUCHU KUA NYEUSI NI NINI

Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya.
picha
MIUNGURUMO HAIISHI TUMBONI NIKISHIKA UPANDE WA KUSHOTO WA TUMBO KUNA MAUMIVU KWA MBALI JE MM NITUMIE DAWA GAN KUONDOA TATIZO HILO

Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.
picha
MKE WANG ANA TATIZO LA TUMBO KUUMA CHINI UPANDE WA KUSHOTO AKISHIKA NI PAGUMU ,ANAPATWA NA KICHEFUCHEF TUMBO KUJAA GES NA KUJIISI KUSIBA HE MTANISAIDIJE ILI KUONDOA TATIZO HILO ILA ANAUJAUZITO WA WIKI MBILI

Miongoni mwa changamoto za ujauzito ni maumivu ya tumbo. Maumivu haya yanawezakuwaya kawaida ama makali zaidi. Vyema kufika Kituo cha Afya endapoyatakuwa makali.
picha
MIMBA HUONEKANA KATKA MKOJO BAADA YA MUDA GAN TANGU ITUNGWE

Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi.
picha
JE ENDAPO MAMA ATAFANYA TENDO LA NDOA WIKI MOJA KABLA YA KUINGIA HEDHI ANAWEZA KUPATA UJAUZITO?

Zipo siku maalumu ambazo mwanamke hupata mimba. Siku hizi huzoeleka kwa jina la siku hatari. Je ungependa kufahamu mengi kuhusu siku hatari, endelea na makala hii.
picha
HABARI NASUMBULIWA NA TUMBO UPANDE WAKILIA ADI NIKIKOJOA MKOJO WA MWISHO UWA WA KAHAWIA TIBA TAKE NINI?

Maumivu ya tumbo yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo typhod, vidonda vya tumbo na shida nyingine kwenye mfumo wa chakula.
picha
MAUMIVU YA TUMBO KABLA YA KUPATA HEDHI

Je unasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Unadhani ni dalili za mimba na ukapima hakuna mimba.
picha
PAPAI LILILO IVA NI SALAMA KWA MAMA MJAMZITO AU HALIFAI

Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.



Page 202 of 205

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.