Ugonjwa wa degedege ni ugonjwa unaowapata sana watoto chini ya miaka mitano ingawa na watu wazima wanapatwa na ugonjwa huo
Sababu zinazopelekea kupata ugonjwa wa degedege
1.Malaria kali
2.kushindwa kwa kulegea kwa misuli
3.pengine sababu ya magonjwa ya kuurithi
4.homa kali
Madhara ya ugonjwa wa degedege ni pamoja na
1.kupata ulemavu wa kudumu
2.kulemaaa kwa ulimi kwa sababu mgonjwa huwa anaungata
3.kuua seli za ubongo
Namna ya kuepuka degedege
1. Kwenda hospital mara moja pindi unapoona dalili.
2. Kuhudhulia kliniki hasa watoto chini ya miaka mitano
3. Kutibiwa malaria mara usikiapo dalili
4. Kupunguza Homa
Pamoja na kuwepo kwa ugonjwa huu tujue kuwa unatibika Kuna madawa yanayotibu ugonjwa huu, kwa hiyo tusiwafiche ndani wagonjwa wetu tuwapeleke hospitalini watibiwe
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu presha ya kushuka na matibabu yake
Soma Zaidi...Post hii inahusu sababu za mtu kuwa na mfadhaiko na wasiwasi, mfadhaiko ni nguvu fulani anayoisikia ndani mwake kwa sababu ya tukio la kushutushwa linalomfanya afikilie sana,
Soma Zaidi...Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa
Soma Zaidi...HOMA YA MANJANO (yellow fever)Homa ya manjano ni maradhi yanayosababishwa na virusi na husambazwa na mbu.
Soma Zaidi...Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
Soma Zaidi...Homa ya ini yenye sumuรย ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumuรย inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe.
Soma Zaidi...