picha

Muda wa kuchaji simu yako

Posti hii itakwenda kukujuza juu ya kuda mzuri wa kuchaji simu yako

MUDA WA KUCHAJI SIMU YAKO

Wwatu wengi wamekuwa wakijiuliza ni muda gani hasa inapasa kuchaji simu, je nisubiri mpaka chaji iishe kabisa, ama nichaji ikiwa na asilimia ngap?. maswali kama haya na yanayofanana nitakwenda kuyajibu katika makala hii.

 

Kikawaida betri inaweza kudumu kuwa hai kati ya miaka 5 mpaka 10. lakini uwezo wa betri hupungua kadri siku sinavyoendelea. Unaweza kudhibiti hali hii kwa kuwa makini na baadhi ya mambo kadhaa. Miongoni mwa mabo hayo ni kuwa makini na muda wa kuchaji.

 

Wataalamu wa teknolojia wanatueleza kuwa muda mzuri wa kuichaji betri ni pale itakapobakiwa na asilimia kati ya asilimia 50% na 90%. na hakikisha kuwa huichaji mpaka ifikapo 100%. ni vyema kama unataka ifike 100 basi angalau ufanye hivyo mara chache.

 

Sio vyema sana kuilaza kwenye chaja japo jambo hili halina madhara kwa simu za kisasa kwani zenyewe zina kifaa cha kuifanya isimame kuchaji pindi ikifapo asilimia 100% ya chaji.

 

Hakikisha betri yako haivi chini ya asilimia 40% na mbaya zaidi isifike asilimia 2% ama 0%. na kama unahitaji kuihifadhi betri yako basi ichaji angalau asilimia 40% kisha uihifadhi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Teknolojia Main: Post File: Download PDF Views 1552

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 web hosting     👉4 ai web app     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

NINI HATMA YA FACEBOOK BAADA YA KUFA KWAKO? nini kitatokea kwenye akaunti yako ya fesibuku (facebook)

Facebook hawana mpango wa kufunga akaunti ambazo hazijatumiwa kwa muda mrefu, haijalishi akaunti ni ya marehemu ama yupo hai.

Soma Zaidi...
UTUNZAJI WA BETRY YA KIFAA CHAKO

Namna ya kutunza betri yako iweze kudumu kwa muda mrefu

Soma Zaidi...
Nini chanzo cha tatizo la computer au simu yako

Posti hii inakwenda kukupa elimu kuhusu chanzo cha tatizo la computer au simu yako

Soma Zaidi...
Matatizo katika hard disk

Posti hii inakwenda kukupa baadhi ya matatizo katika hard disk

Soma Zaidi...
Epuka malware (virus,work)ukiwa mtandaoni

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuepuka malware ukiwa mtandaoni

Soma Zaidi...