Kufungua program nyingi kwa wakati mmoja

Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufungua program nyingi kwa wakati mmoja

KUFUNGUWA PROGRAM NYINGI KWA WAKATI MMOJASababu ya pili inayofanya kompyuta yako au simu yako iwe slow yaan haina speed katika kufanya kazi ni kufunguwa program nyingi kwa wakati mmoja.Hutokea wakati fulani mtumiaji wa kompyuta huwa anafunguwa program nyingi kwa wakatimmoja. Hii hali huweza kuifanya kompyuta yako iwe slow hasa ikiwa RAM na processor ni ndogo.pia zipo software abazo kikawaida zenyewe ni mzito sana kufanyakazi katika kompyuta iliyo na RAM ndogo kwa mfano bluestacks appl player hii software yenyewe inahitaji kompyuta yenye uwezo mkubwa hivyo ukiifunguwa na software zingine kuna uwezo mkubwa kompyuta yako kuwa slow.kulitatuwa tatizo

1.Funga program zote ambazo hauzitumii wakati huu. Unaweza kuzifunga kwa kuenda kwenye setting kisha task maneger, hapa utakuta orodha ya App ambazo zinafanya kazi. Chagua moja moja kisha uifunde (ende process).

2.Zuia background activities kwa program ambazo zinaran background. Ukienda setting kisha App maneger utakuta orodha ya App ambazo zinafanya kazi muda wowote. Chagua na uzifunge.

3.Hakikisha unapofungua program nzito kama bluestack au android studio na zinazofanana na hizi, usifungue pamoja na program zingine nzito kwa muda huohuo. Tahadhari hii ni muhimu kwa wale wanaotumia kompyuta zenye RAM ndogo.

5.Kwa wale wanaotumia simu pia hakikisha simu yako ina uwezo mkubwa kama unataka kufungua App nzito kama games. Pia hakikisha memori ya simu yako haijajaa mpaka mwisho na hakikisha simu yako ina nafasi ya kutosha kwenye RAM.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 871

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Utajuaje Kama simu au kompyuta yako Ina virus

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kujua Kama simu yako ina virus

Soma Zaidi...
teknolojia

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Kama simu a computer yako inastack

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kufanya endapo simu yako au computer itastack

Soma Zaidi...
Chanzo cha matatiza ya simu/kompyuta

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Nini chanzo cha tatizo la computer au simu yako

Posti hii inakwenda kukupa elimu kuhusu chanzo cha tatizo la computer au simu yako

Soma Zaidi...
Sababu za simu kusumbua mtandao

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sabau za simu kusumbua mtandao

Soma Zaidi...
Nini Chanzo

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
SIRI

Hii ni game ya maandishi bila ya kutumia vioneshi (graphics).

Soma Zaidi...
Utunzaji wa betri la kifaa chako

Posti hii inakwenda kukupa elimu kuhusu utunzaji wa betri la kifaa chako

Soma Zaidi...
Chanzo

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...