Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na malware
Njia za kujilinda na malware
1. Weka antivirus kwenye kifaa chako.
2. Hakikisha unascan kifaa chako mara kwa mara
3. Scan waya wa USB
4. Kuwa makini unapotuckuwa mafaili kwa kutumia bluetooth ama njia nyingine. Vi vyema ukascan mafaili hayo
5. Kuwa makini na kudownload kitu usichokijua, ama kufungua mafaili ama email usisozijua.
6. Kuwa makini na matangazo yanayotaka uclick eitha upate zawadi ama bonasi
7. Scan mafaili yote ulioyadownload.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Wwatu wengi wamekuwa wakijiuliza ni muda gani hasa inapasa kuchaji simu, je nisubiri mpaka chaji iishe kabisa, ama nichaji ikiwa na asilimia ngap?
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukupa elimu kuhusu chanzo cha tatizo la computer au simu yako
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukuelekeza kuhusu njia rahisi ya kudownload video YouTube
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kufanya endapo simu yako au computer itastack
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuepuka malware ukiwa mtandaoni
Soma Zaidi...