picha

Njia za kujilinda na malware

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na malware

Njia za kujilinda na malware

1. Weka antivirus kwenye kifaa chako.

2. Hakikisha unascan kifaa chako mara kwa mara

3. Scan waya wa USB

4. Kuwa makini unapotuckuwa mafaili kwa kutumia bluetooth ama njia nyingine. Vi vyema ukascan mafaili hayo

5. Kuwa makini na kudownload kitu usichokijua, ama kufungua mafaili ama email usisozijua.

6. Kuwa makini na matangazo yanayotaka uclick eitha upate zawadi ama bonasi

7. Scan mafaili yote ulioyadownload.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021-11-09 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 1136

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 ai web app    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Kujaa kwa memory au hard disc

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vitu vya kufanya endapo memory au hard disk itajaa

Soma Zaidi...
Kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao

Soma Zaidi...
Yanayoathiri betri yako

Somo hili linakwenda kukuletea mambo yanayo athiri betri lako

Soma Zaidi...
Chanzo cha matatiza ya simu/kompyuta

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Kama simu a computer yako inastack

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kufanya endapo simu yako au computer itastack

Soma Zaidi...
Kurudisha data zilizo potea

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Jinsi ya kufanya simu yako iwe fasta

Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufanya simu yako iwe fasta

Soma Zaidi...
Je nitumie simu yangu wakati inachaji?

Somo hili linakwenda kujibu swali la je nitumie simu yangu wakati inachaji

Soma Zaidi...
Kutuma sms ndefu

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...