Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na malware
Njia za kujilinda na malware
1. Weka antivirus kwenye kifaa chako.
2. Hakikisha unascan kifaa chako mara kwa mara
3. Scan waya wa USB
4. Kuwa makini unapotuckuwa mafaili kwa kutumia bluetooth ama njia nyingine. Vi vyema ukascan mafaili hayo
5. Kuwa makini na kudownload kitu usichokijua, ama kufungua mafaili ama email usisozijua.
6. Kuwa makini na matangazo yanayotaka uclick eitha upate zawadi ama bonasi
7. Scan mafaili yote ulioyadownload.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inakwenda kukupa baadhi ya matatizo katika hard disk
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya legacy contact katika facebook
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vitu vya kufanya endapo memory au hard disk itajaa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kujibu swali la je nitumie simu yangu wakati inachaji
Soma Zaidi...Watu wengi wanalalamika kuwa akaunti zao za facebook zimehakiwa, yaani zimeshambuliwa na wahalifu wa kimtandano.
Soma Zaidi...Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza Mambo mengne unayoweza kuyafanya ukiwa Facebook
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufanya simu yako iwe fasta
Soma Zaidi...Somo Hili linakuleteq mafunzo ya OCR katika simu yako
Soma Zaidi...