Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na malware
Njia za kujilinda na malware
1. Weka antivirus kwenye kifaa chako.
2. Hakikisha unascan kifaa chako mara kwa mara
3. Scan waya wa USB
4. Kuwa makini unapotuckuwa mafaili kwa kutumia bluetooth ama njia nyingine. Vi vyema ukascan mafaili hayo
5. Kuwa makini na kudownload kitu usichokijua, ama kufungua mafaili ama email usisozijua.
6. Kuwa makini na matangazo yanayotaka uclick eitha upate zawadi ama bonasi
7. Scan mafaili yote ulioyadownload.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Malware ni neno pana na watu wengi si wenye kulitumia.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufanya simu yako iwe fasta
Soma Zaidi...makala hii itakuelezea mambo makuu ambayo ni hatari kwa usalama wa betri ya kifaa chako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza Mambo mengne unayoweza kuyafanya ukiwa Facebook
Soma Zaidi...Namna ya kutunza betri yako iweze kudumu kwa muda mrefu
Soma Zaidi...Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufungua program nyingi kwa wakati mmoja
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao
Soma Zaidi...