Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na malware
Njia za kujilinda na malware
1. Weka antivirus kwenye kifaa chako.
2. Hakikisha unascan kifaa chako mara kwa mara
3. Scan waya wa USB
4. Kuwa makini unapotuckuwa mafaili kwa kutumia bluetooth ama njia nyingine. Vi vyema ukascan mafaili hayo
5. Kuwa makini na kudownload kitu usichokijua, ama kufungua mafaili ama email usisozijua.
6. Kuwa makini na matangazo yanayotaka uclick eitha upate zawadi ama bonasi
7. Scan mafaili yote ulioyadownload.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kujibu swali la je nitumie simu yangu wakati inachaji
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukupa elimu ya kurudisha mafaili na data zilizopotea
Soma Zaidi...Facebook hawana mpango wa kufunga akaunti ambazo hazijatumiwa kwa muda mrefu, haijalishi akaunti ni ya marehemu ama yupo hai.
Soma Zaidi...Wwatu wengi wamekuwa wakijiuliza ni muda gani hasa inapasa kuchaji simu, je nisubiri mpaka chaji iishe kabisa, ama nichaji ikiwa na asilimia ngap?
Soma Zaidi...NJIA RAHISI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE Teknolojia ya mawasiliano ni muhimu katika kuhakikisha kuwa ulimwengu unafikika kama kijiji kimoja na hapa ndipo unapata maana halisi ya neno UTANDAWAZA yaani kwa lugha ya kimombo ni globalization.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vitu vya kufanya endapo memory au hard disk itajaa
Soma Zaidi...Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...