Nini chanzo cha tatizo la computer au simu yako

Posti hii inakwenda kukupa elimu kuhusu chanzo cha tatizo la computer au simu yako

NINI CHANZO CHA TATIZO LA KOMPYUTA AU SIMU YAKO?Ni muda wingi tumekuwa tukisumbuliwa na kompyuta zetu kwa kuwa na matatizo mbalimbali ambayo maranyingi huwa yanatugharimu pesa ndefu kuyatatuwa.leo tatizo dogo tu la kompyuta litakugharimu pesa ndefu wakati ungeweza kulitatuwa mwenyewe ukiwa nyumbani.Katika makala hii tutaangalia vyano vya haya matatizo katika kompyuta zetu hili litasaidia kuweza kujiepusha na matatizo haya. pia tutakuwa tukiangfalia namna ya kuweza kukabiliana na matatizo haya. kwa kawaida kompyuta zinakumbwa na matatizo mengi tuu lakini katika makala hii tutaona tuu yale matatizo yaliyozoeleka. kwa fano wa matatizo hayo ni kama haya;-1. KOMPYUTA AU SIMU KUWA SLOW2. KOMPYUTA AU SIMU KUSTAK3.KOTOWEZA KUFUNGUWA BAADHI YA MAFAILI4.KUTOWEZA KUCHEZA BAADHI YA GEMU5.KOTOKUTOWA RANGI NZURI6.KUSHINDWA KUUNGANISHA WIRELESS NETWORK {WI-FI}7.KUTOWEZA KUSOMA USB8.KUTOWEZA KUKONECT NA BLUETOOTH9.DATA KUPOTEA AU KULIWA10.KUZIMZAZIMA YENYEWE.Yapo mengine meengi ambayo pia tutayaona tunapokuwa tunaangalia tatizo moja baada ya jingine.mengi katika mmatatizo haya huwa yanashirikiana sababu za kutokea kwake japokuwa zinatofautiana kwa kiwangogani tatizo limefikia . sasa hebu tuone tatizo moja badala ya lingine na tuine vipi tutaweza kulitatuwa mwenyewe ukiwa nyumbani bila ya kukupotezea pesa za kwenda kwa fundi;-1.KOMPYUTA AU SIMU KUWA SLOWtatizo hili linaonekana pale kompyuta yako ina[pokuwa slow yaani inafanya kazi kwa utaratiibu sana yaani haina kasi. Tatizo hili hutokea kwa mfano pale unapoiwasha inatumia muda mwingi sana kuwaka, au unapoizima inatumia muda mwingi katika kuzima. Ila mbaya zaidi ni pale unapoikomand kufanya kitu kisha inakuwa ipo slow. unaweza ukafunguwa program lakini unasubiri uda mwingi kuingoja kompyuta imalize kuload. mfano mzuli ni pale unapofunguwa microsoft office kisha inaload kwa muda wa dakika ndo ifunguwe faili. Tatizo hili linapoteza muda mwingi kwa mtumiaji wa kompyuta hasa pale anapotaka kufanya kazi zake kwa uharaka zaidi.Ssa hebu tuone chanzo cha tatizo hiliCHANZO CHA TATIZO HILItatizo hili limenukuliwa na wataalamu mbalimbali na wakaonesha baadhi ya vyanzo vya tatizo hili. Kwa mfano Natasha Stokes mnamo June 03, 2016 katika tovuti yao http://www.techlicious.com/tip/reasons-why-your-computer-is-slow/ wametowa sababu 13 za tatizo hili kama nitakavyo vitaja hapo chini;-1. VIRUSIHapa tunajumuisha virusi, malware, spyware na trojan hizi zote ni software ambazo zimetengenezwa zikiwa na madhara kwa kompyuta yako. Kwakuwa zinalazimisha kukupatia advertizeent, au zinajaribu kuhack compyuta yako au kuathiri mafaili ndani ya kompyuta yako. Haya yote yanasababisha kompyuta kuwa bize hivyo kushindwa kufanya kazi zake kwa uzuli. VIRUS, TROJAN, MALWARE na SPYWARE vyote hivi tummezoea kuviita VIRUSI ila ni kuwa japo kazi zao ni moja kuathiri kompyuta yako lakini vipo tofauti. katika makala zijazo tutakuj kuona utofauti wao MUNGU akitaka.jinsi ya kulitatuwa njia pekee na ya uhakika ni kuwa na antvirusi iliyoactive na iliyo update. kama huna zipo za free kwa mfano avast au microsoft esential security au window defenda. Tokeo la picha la window defendervitu vya kuzingatia;-1. hakikisha unaskan kompyuta yote full scanning2. hakikisha antvirus yako ipo update3. ristat kompyuta yako baaya ya kuskan

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 1335

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Matumizi ya OCR katika simu yako

Somo Hili linakuleteq mafunzo ya OCR katika simu yako

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Daktari wa Simu

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
teknolojia

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
EPUKA MALWARE (VIRUSI, WORM NA TROJAN UKIWA MTANDAONI)

Malware ni neno pana na watu wengi si wenye kulitumia.

Soma Zaidi...
yanayoathiri betri ya kifaa chako

makala hii itakuelezea mambo makuu ambayo ni hatari kwa usalama wa betri ya kifaa chako

Soma Zaidi...
Chanzo cha matatiza ya simu/kompyuta

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
MUDA WA KUCHAJI SIMU YAKO AMA MUDA WA KUCHAJI BETRI YAKO

Wwatu wengi wamekuwa wakijiuliza ni muda gani hasa inapasa kuchaji simu, je nisubiri mpaka chaji iishe kabisa, ama nichaji ikiwa na asilimia ngap?

Soma Zaidi...
Utajiaje kama simu/kompyuta ina virusi

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Yanayoathiri betri yako

Somo hili linakwenda kukuletea mambo yanayo athiri betri lako

Soma Zaidi...
Chanzo

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...