Yanayoathiri betri yako

Yanayoathiri betri yako

Somo hili linakwenda kukuletea mambo yanayo athiri betri lako

Download Post hii hapa

YANAYOATHIRI BETRY YAKO:

 

Kuna mengi tu yanayodaiwa eti yanamaliza chaji haraka katika betrii yako. Hapa nitakutajia mambo makuu mawili ambayo huchangia kwa kiasi kikubwa kumaliza chaji yako.1.Kucheza gemu. Gemu ni katika makuu ambayo yanaongoza katika kumaliza chaji ya betri yako kuliko mambo mengine.Gemu zimegawanyika katika makundi mengi tu inatagemea na vigezo vya kuzigawanya ila katika makundi hayo VIDEO GAME zinachangia kwa kiasi kikubwa katika kumaliza chaji kwa haraka katika simu au kompyuta yako.Kwa mfano GTA, CONFLICT DESERT STORM, CALL OF DUTY kwa kompyuta au DREAM SOCCER au GUNSHIP BATTLE kwa upande wa simu. Kwa ufupi video game huwa zinatumia HIGH GRAPHICS kiasi kwamba graphics engine zinahitaji chaji ya kutosha ili ziweze kufanya kazi husika.Katika gemu hizi zipo online video game ambazo kwa namna nyingine ndio ambazo kwa kiasi kikibwa zaidi zinachangia kumaliza chaji kuliko zile za offline. Kwa mfano SHIP BATTLE hii ni katika online game ambazo zinatumia high graphics hivyo huhitaji kula chaji kwa wingi.Kwa ufupi ni kuwa gemu ambazo hazihitaji uwezo mkubwa wa graphics huwa hazili chaji sana ukilinganisha na zile ambazo huhitaji uwezo mkubwa wa graphics. Pia video game zinakula chaji sana kuliko gemu ambazo si video game. Hali kadhalika online game huwa zinatumia kiwango kikubwa cha chaji kuluko offline game. Jambo la kuongeza hapa katika matumizi ya chaji pia chaji itatumika kwa wingi zaidi tu pale mwanga wa screen utakapokuwa umeongezwa zaidi yaan full brightness.2. Internet. Hii huchukuwa nafasi katika mabo yanayoongoza katika kula chaji ila inategemea pia na matumizi ya internet. Kwani wakati mwingine unaweza ukawa unatumia internet lakini ukawa unatumia chaji kiasi kidogo kwa mfano intanet kwa kuperuzi habari bila ya kuangalia video ama mapicha au google ads.Katika intanet kuangalia online video kama youtube huchangia kwa kiasi cha hali ya juu katika kumaliza chaji kuliko kuperusi habari. Pia kucheza gemu kwa kutumia intanet kwa mfano ONLINE GAME hizi huchangia kwa kiasi kikubwa katika kumaliza chaji ya betrii yako kwa haraka zaidi. Pia chaji itatumika zaidi kama mwanga wa screen utakapokuwa mkubwa full brightness.Kwa kifupi haya mambo mawili huchangia kwa kiasi kikubwa kumaliza chaji ya betrii au simu yako kwa kiwango kikubwa zaidi kuliko mambo mengine.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 1362

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Simu au Kompyuta inastak? (inasumbua)
Simu au Kompyuta inastak? (inasumbua)

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Nini Chanzo
Nini Chanzo

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Utajuaje Kama simu au kompyuta yako Ina virus
Utajuaje Kama simu au kompyuta yako Ina virus

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kujua Kama simu yako ina virus

Soma Zaidi...
 JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE
JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE

NJIA RAHISI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE Teknolojia ya mawasiliano ni muhimu katika kuhakikisha kuwa ulimwengu unafikika kama kijiji kimoja na hapa ndipo unapata maana halisi ya neno UTANDAWAZA yaani kwa lugha ya kimombo ni globalization.

Soma Zaidi...
OCR
OCR

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
EPUKA MALWARE (VIRUSI, WORM NA TROJAN UKIWA MTANDAONI)
EPUKA MALWARE (VIRUSI, WORM NA TROJAN UKIWA MTANDAONI)

Malware ni neno pana na watu wengi si wenye kulitumia.

Soma Zaidi...
KULINDA AKAUNT YAKO YA FACEBOOK DHIDI YA WAHALIFU WA KIMTANDAO
KULINDA AKAUNT YAKO YA FACEBOOK DHIDI YA WAHALIFU WA KIMTANDAO

Watu wengi wanalalamika kuwa akaunti zao za facebook zimehakiwa, yaani zimeshambuliwa na wahalifu wa kimtandano.

Soma Zaidi...
Matatizo katika hard disk
Matatizo katika hard disk

Posti hii inakwenda kukupa baadhi ya matatizo katika hard disk

Soma Zaidi...
Maana ya legacy contact katika Facebook
Maana ya legacy contact katika Facebook

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya legacy contact katika facebook

Soma Zaidi...