Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sabau za simu kusumbua mtandao
SIMU KUSUMBUWA MTANDAO NINI SABABU
Kuna mambo mengi sana ambayo yanachangia simu yako kutokuwa na mtandao mzuri yaani network kuwa ndogo. Mambo haya ni pamoja na:-1. Umbali kutoka kwenye mnara2. Hali ya hewa3. Uwezo mdogo wa simu, ama simu kuwa mbovu4. Vitu vinavyo kuzunguka na sehemu ulipo kama mabondeni, kwenye shimo, kwenye msitu mnene n.k5. Kubadilika kwa mnara.
Kuna mambo mawili hapa nitaongezea. Hutokea wakati mwingine upo sehemu nzuri, na karibu na mnara na simu yako ni nzima, lakini mtandao unasumbuwa. Hapa kuna mambo mawili unatakiwa uyajue kama:-
1. Kubadilika kwa mnara. Unapotoka sehemu moja kwenda nyingine kwenye mnara mwingine, simu yako itabadilisha mnara kutoka ule wa mwanzo na kutumia wa pili. Hivyo basi njia sahihi hapa ni ku restart au reboot simu yako. Ama izime kisha iwashe tena.
2. Pia wakati mwingine huwenda simu yako ina app(program)nyingi ambazo zinatumia network kwa mfano ukiwasha data na ukiwa na application nyingi ambazo zinatumia data kwa kuonyesha matangazo, pic, sms n.k hili huweza kufanya network ya simu yako kuwa ndogo ama dhaifu.
Kwa maelezo zaidi ya makala hizi za sayansi na teknolojia usiwache kutembelea chanel yetu ya video youtube
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inakwenda kukupa baadhi ya matatizo katika hard disk
Soma Zaidi...Posti hii itakwenda kukujuza juu ya kuda mzuri wa kuchaji simu yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vitu vya kufanya endapo memory au hard disk itajaa
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufanya simu yako iwe fasta
Soma Zaidi...Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya legacy contact katika facebook
Soma Zaidi...