picha

Matumizi ya OCR katika simu yako

Somo Hili linakuleteq mafunzo ya OCR katika simu yako

JIFUNZE MATUIZI YA OCR KATIKA SIMU YAKO

OCR nifupisho cha optical character recognition. Ni mchakato wa kubadilisha picha ya maandishi au maandishi yaliyoandikwa kwenye picha kuwa maandishi ya kawaida ambayo unaweza ukayahaisha kwengine kama kukopi.

 

 

Tokeo la picha la OCRYaani kwa mfano umetumiwa picha ambayo ina maandishi na unataka kuyakopi maandishi hayo ukayapest kwengine hivyo mfumo huu unatumia OCR. Kwa mfano katika picha hii hapa tunataka kuchukuwa hayo maneno ili tukayapest kwenye text za kawaida. Au kwa mfano umetumiwa picha iloandikwa ujumbe mzuuri na ukataka kumtumia mtu kwa text za kawaida hivyo hakuna haja ya kusumbuka kuiandika tena kwa vidole vyako hivyo tumia OCR ili uweze kuipest text yako. sasa hebu tuone jinsi ya kufanya mchakato huu...... nitaonesha kwa hatua namna ambavyo tutakavyoibadilisha picha hiyo hapo chini kuwa text za kawaida kwa kutumia simu zetu.

 

 

1. Kwa nza unatakiwa uwe na application ya kuweza kubadilisha picha ya maandishi kuwa maandishi. Twende play kisha ukadaunlod application iitwayo TEXT FAIRY (OCR SCANNER)

2. Ifunguwe kisha uchaguwe picha yako unayotaka kuikopi maneno yake angalia video hapo chini.

3. Ikisha aliza kuichakata picha yako itakuletea text utaweza kuzikopi au kuzitengezea PDF. Pia kuna kipengele cha kuchaguwa lunga kulingana na picha yako

 

Huduma hii pia inapatikana kwa kutumia kompyuta abapo unaweza kubadilisha hard copy zilizoskaniwa na kuzifanya ziwe soft copy.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021-11-09 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 1296

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 web hosting    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

NINI HATMA YA FACEBOOK BAADA YA KUFA KWAKO? nini kitatokea kwenye akaunti yako ya fesibuku (facebook)

Facebook hawana mpango wa kufunga akaunti ambazo hazijatumiwa kwa muda mrefu, haijalishi akaunti ni ya marehemu ama yupo hai.

Soma Zaidi...
Kufungua program nyingi kwa wakati mmoja

Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufungua program nyingi kwa wakati mmoja

Soma Zaidi...
teknolojia

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Simu au Kompyuta inastak? (inasumbua)

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Je nitumie simu yangu wakati inachaji?

Somo hili linakwenda kujibu swali la je nitumie simu yangu wakati inachaji

Soma Zaidi...
Kujaa kwa memory au hard disc

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vitu vya kufanya endapo memory au hard disk itajaa

Soma Zaidi...
Chanzo cha matatiza ya simu/kompyuta

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
JE NITUMIE SIMU YANGU WAKATI INACHAJI?

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza swali hili.

Soma Zaidi...
MUDA WA KUCHAJI SIMU YAKO AMA MUDA WA KUCHAJI BETRI YAKO

Wwatu wengi wamekuwa wakijiuliza ni muda gani hasa inapasa kuchaji simu, je nisubiri mpaka chaji iishe kabisa, ama nichaji ikiwa na asilimia ngap?

Soma Zaidi...