Kujaa kwa memory au hard disc

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vitu vya kufanya endapo memory au hard disk itajaa

KUJAA KWA MEMORY AU HARD DISK:Tokeo la picha la full meoryHili ni jambo jingine linaloifanya kompyuta au simu yako kuwa slow.Pindi hard disk inapokuwa imejaa inapelekea kommpyuta yako kuwa slow halikadhalika simu yako kama memori itakuwa imejaa pia hupelekea simu yako kuwa slow kama tulivyozungumzia hili katika post zilizopita.Jambo la kufanya hapa ni kuhakikisha kuwa kifaa chako kina nafasi ya kutosha. Pia punguza au futa CACHED DATA kwa aelezo zaidi katika hili bofya hapa.Ama cached data kwa watumiaji wa kompyuta utahitajika kuclean kompyuta yako kama pia unaweza kutumia baadhi ya software kwa ajili ya kuclean kompyuta yako ila hapa unatakiwa uwe makini unaweza kufuta data zako. kupata software huzo unaweza kufuata linki hii hapa bofya hapa.5.MATATIZO KATIKA HARD DISK:Hard disk ni kifaa cha kuhifadhia kumbukumbu katika kompyuta. Pia ijulikane kuwa window tunazozitumia huwa zinahifadhiwa katika hard disk. hivyo tatizo lolote litalotokea katika hard disk linaweza kuathiri mfumo mzima wa utendaji wa kazi wa kifaa chako.kikawaida hard disk ikiwa na matatizo inazungunza yenyewe kwa kukuletea warning yaan onyo kuwa hard disk yako inamatatizo hivyo ubackup data zako ili zisije kupotea pindi ikiharibika kabisa. Pia tutambuwe kuwa itapoharibika hard disk hakuna na,na ya kuzipata data zilizokuwa mule hivyo kila ambacho kimo kitapotea.jambo la msingi hapa nji kuwahi kubadili hard disk yako. pia pindi ukipata onyo hilo uwahi kuzihamisha data zako kwenda sehemu salama zaidi. Muone fundi wa hard ware akubadilishie hard disk yako kama inakupa warning. Kitu cha msingi hapa ni kuhakikisha unanunuwa disk mpya kutoka dukani kwani za kunu nua kwa watu kuenda ikawa na matatizo pia.6.KUWA NA ADD-ONS NYINGI KATIKA KIVINJARI CHAKO CHA TOVUTI:Hizi ni EXTENSIONS ambazo husaidia kivinjari chako yaan internet browser kuweza kufunguwa baadhi ya web kwa kutumia shotkat (njia ya mkato) na kuweza kufanya kazi moja kwa moja bila ya kuingia website yenyewe. Au ni software ambazi hujishikiza katika kivinjari cha inatanet kwa lengo la kufanya kazi zinazohitaji internet kwa urahisi na uharaka zaidi.Tokeo la picha la add-onsHizi extention sio zote zimetengenezwa kukusaidia kufanya kazi za kukurahisishia katika kubrows bali zimekuwa zikileta pop yaani vijiatangazo ambavyo vinaweza kuishughulisha kompyuta yako na kuwa nzito. wakati mwingine hiz add-ons zinaweza kukuunganisha katika website ambazo hukukusudia kuingia au kudaunlod software kioutomatik.Kitu ch kufanya hapa ni kuhakikisha unaziondowa adds zote ambazo hauzitumii, na kama tatizo likiendelea ni vizuri zaidi kuzitowa zote katika kivinjari chako. Jinsi ya kuzitowa inategemea na aina ya kivinjari chako ila kitu cha kuziingatia ni kuingia katika menu ya kivinjari chako kisha tafuta neno EXTENTION kisha delet zote.Huu ndo ukamilisho wa mada yetu iliyokuwa ikihusu mambo yanayosababisha kompyuta au simu yako kuwa slow. Kupata nukuu zilizopita bofya hapa.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021-11-09     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1247


Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

THE DESTRUCTION OF THE ELEPHANT ARMY IN YEAR 570 AD.
This is the history of the attempt to destroy the city of Mecca and to destroy its people and destroy it in the history of the World. One leader, known as Abrah, organized a huge army to destroy Al-Qa'aba Soma Zaidi...

PHP level 1 somo la nane (8)
Hapa utajifunza utofauti kati ya php constant na variable. Na hili ni somo la nane katika mfululizo wa masomo haya ya php level 1. Soma Zaidi...

Bezoa goat (mbuzi pori)
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sifa za mnyama bezoa goat (mbuzi pori) Soma Zaidi...

Mafunzo ya php level 1 somo la tatu (3)
hili ni somo la tatu katika masomo ya php level 1. Hapa utajifunza zaidi kuhusu variable na namna ya kuitengeneza. Soma Zaidi...

Mafunzo ya php level 1 somo la nne (4)
somo hili la 4 katika mafunzo ya PHP level 1 utajifunza aina za data mabazo php inakwenda kuzitumia. Soma Zaidi...

The fastest (anakwenda mbio zaidi)
Posti hii inakwenda kukuletea sifa za mnyama anayekwenda mbio zaidi Soma Zaidi...

Mafunzo ya php level 1 somo la pili (2)
hili ni somo la pili katika mfululizo wa mafunzo haya ya php level 1 na hapa utajifunza namna ya kuandika faili klako la kwanza la php. Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML Level 2 somo la 7 (HTML FULL COURSE FOR BEGINNERS LESSON 7)
Ktika somo hili la 7 utajifunza namna ya kuandaa na kujiandaa kutengeneza website ama blog. Pia utajifunza maandalizi ya kuhost Soma Zaidi...

Mafunzo ya html level 2 (html full course for beginners)
haya ni mafunzo ya HTML level 2 kwa wenye kuanza. Mafunzo haya ni muendelezo wa level 1 html. Katika course hii utajifunza mengi zaidi lu;iko level1 pia tutazidi kuboresha project yetu. Soma Zaidi...

Jinsi ya kutuma sms ndefu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kutuma sms ndefu Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML Level 2 somo la 1 (HTML FULL COURSE FOR BEGINNERS LESSON 1)
hili ni somo la pili katika mafunzo ya HTML level 2 html full course for beginners. Katika somo hili tutaangalia utangulizi juu ya HTML na pia utajifunza faida za HTML. Soma Zaidi...

What is Bongoclass
What is Bongoclass and what does it do to the individuals and whole community. Soma Zaidi...