picha
ZIJUE SABABU ZA KUPUNGUKIWA DAMU MWILINI

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.

picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAT AL ZILZALAH

surat Zalzalah ni sura ya 99 katika mpangilio wa Quran, na ina aya 8. Sura hii imeteremshwa Madina ila pia kuna kauli zinathibitisha kuwa ni ya Makkah. Katika hadithi iliyopewa daraja la hassan na Imam Tirmidh Mtume S.A.W amesema kuwa kusoa surat Zilzalah

picha
MAISHA YA MTUME MUHAMMAD S.A.W KABLA YA UTUME

Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w , sehemu ya 19. Hapa utajifunza maisha ya Mtume kabla ya utume.

picha
KUJENGWA UPYA AL KABAH BAADA YA KUWA NA MIPASUKO.

Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w sehemu ya 18. Hapa utajifunza kuhusu tukio la kujengwa upya kwa al kaaba 🕋

picha
HISTORIA YA BI KHADIJA NA FAMILIA YAKE NA CHANZO CHA UTAJIRI WAKE.

Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w, sehemu ya 17. Historia ya Bi Khadija na familia yake.

picha
MJADALA JUU YA NDOA YA MTUME MUHAMMAD S.A.W NA BI KHADIJA.

Sara na historia ya Mtume Muhammad s.a.w sehemu ya 16. Hapa utajifunza maandalizi wa mjadala wa ndoa hizi.

picha
MTUME KUMUOA BI KHADIJA

Sara na historia ya Mtume Muhammad s.a.w, sehemu ya 15. Hapa utajifunza kuhusu chimbuko la ndoa ya Mtume s.a.w na bi Khadija.

picha
KAZI ALIZOKUWA AKIZIFANYA MTUME MUHAMMAD S.A.W KABLA YA UTUME.

Historia na sifa ya Mtume Muhammad s.a.w , sehemu ya 14. Hapa utajifunza kuhusu kazi alizozifanya Mtume s.a.w Enzo za ujana wake kabla ya utume.

picha
MAKUBALIANO YA MKATABA WA AL FUDHUL

Sara na historia ya Mtume Muhammad s.a.w, sehemu ya 13. Hapa utajifunza historia ya Mkataba wa al fudhul na makubaliano yake.

picha
VITA VYA AL FIJAR NA SABABU ZAKE

Historia na shida ya Mtume Muhammad S.A.W, sehemu ya 12. Hapa utajifunza kuhusu kutokea kwa vita vya al fijar.

picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAT AL ADIYAT

Sura hii iliposhuka ilikuwa kama imekuja kuwasuta Wanafiki waliokuwa wakizungumzahabari za uongo kuhusu jeshi alilolituma Mtume wa Allah.

picha
MTUME MUHAMMAD S.A. W AKUTANA NA BAHIRA

Sura na historia ya Mtume Muhammad s.a. w sehemu ya 11

picha
MTUME MUHAMMAD S.A. W AMELEWA NA BABA YAKE MDOGO

Historia na sura ya Mtume Muhammad, sehemu ya 10.

picha
MTUME MUHAMMAD S.A.W ANALELEWA NA BABU YAKO IKIWA NA UMRI WA MIAKA 6

Sura na historia ya Mtume Muhammad s.a. w sehemu ya 9.

picha
MTUME MUHAMMAD ALELEWA NA MAMA YAKE MZAZI AKIWA NA UMRI WA MIAKA 4.

Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 8. Hapa utajifunza malezi ya Mtume kutokakwa Halimavkuja kwa mama yake.

picha
TUKIO LA KUPASULIWA KIFUA MTUME MUHAMMAD S.A.W

Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W, sehemu ya 7

picha
SABABU ZA KUSHUKA KWA SURAT AL QARIAH

Surat Al qariah, ni moja katika sura zilizochuka miaka ya mwanzoni mwa utume.

picha
KULELEWA KWA MTUME, MAISHA YAKE YA UTOTONI NA KUNYONYA KWAKE.

Historia na sura ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 06. Hapa utajifunza kuhusu historia ya Mtume akiwa mtoto.

picha
KUZALIWA KWA MTUME S.A.W

Sura na historia ya Mtume Muhammad s.sa. w, sehemu ya 5. Hapa utajifunza kuhusu kuzaliwa kwa Mtume.

picha
KUANGAMIZWA KWA JESHI LA TEMBO MWAKA ALIZALIWA MTUME MUHAMMAD S.A. W

Sura na historia ya Mtume Muhammad s.sa. w sehemu ya 4. Hapa utajifunza kuhusu historia ya kuangamiza kwa jeshi la tembo.

picha
KUCHIMBWA UPYA KWA KISIMA CHA ZAMZAM

Sura na historia ya mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 3.Hapa utajifunza kuhusu kufukuliwa kwa kisima cha Zamzam baada ya kufukiwa muda mrefu.

picha
HISTORIA YA FAMILIA YA MTUME MUHAMMAD S.A.W

Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 02.

picha
NASABA YA MTUME MUHAMMAD S.A.W NA FAMILIA YAKE.

Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 1

picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAT AT TAKAATHUR

Kuwa na tamaa huhitaji vitu vya watu si jambo jema. Ila kama tamaa hii itakuhamasisha na wewe kutafuta kitu hicho, kwa uwezo ambao Allah amekupa bila ha kuvuka mipaka yake, hili sio tatizo. Sura hii itakufundisha mengi

Page 178 of 220

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.