picha

Maswali juu ya mtazamo wa uislamu kuhusu dini

Mtazamo wa uislamu kuhusu dini (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 2.

  1. Eleza maana ya neno ‘Dini’ kwa mtazamo wa;

(a) Kikafiri.

(b) Kiislamu.

  1. Eleza udhaifu wa mtazamo wa Kikafiri dhidi ya ule wa Uislamu juu ya;

(a)  maana ya dini.

(b)  asili au chanzo cha dini. 

(c)  kazi za dini katika jamii.

  1. Kwa mtazamo wa Uislamu, Dini ndio nyenzo pekee inayoweza kumkomboa mwanaadamu kwa kila aina ya utumwa. Eleza jinsi Dini ya Uislamu inavyoweza kumkomboa mwanaadamu na sio vinginevyo.

 

  1. Bainisha sababu zinazomfanya mwanaadamu pamoja na ujuzi alionao hawezi kuishi bila ya dini (kufuata utaratibu wa maisha). 
  2. Taja vipawa alivyotunukiwa mwanaadamu na Mola wake vinavyomtofautisha na wanyama.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Views 5795

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Kuangamizwa Waovu na Kuokolewa Waumini

Baada ya kuonywa wasionyeke, Allah(s.

Soma Zaidi...
Lengo la ibada maalumu

Lengo la ibada maalumu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kujiepusha na kuua nafsi bila ya Haki

Kuua nafsi bila ya Haki, ni kuiua nafsi isiyo na kosa linalostahiki hukumu ya kifo.

Soma Zaidi...
Maswali juu ya nguzo za Imani

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mtazamo wa makafiri juu ya dini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu mtazamo wa uislamu juu ya dini (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...