picha

Maswali juu ya mtazamo wa uislamu kuhusu dini

Mtazamo wa uislamu kuhusu dini (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 2.

  1. Eleza maana ya neno ‘Dini’ kwa mtazamo wa;

(a) Kikafiri.

(b) Kiislamu.

  1. Eleza udhaifu wa mtazamo wa Kikafiri dhidi ya ule wa Uislamu juu ya;

(a)  maana ya dini.

(b)  asili au chanzo cha dini. 

(c)  kazi za dini katika jamii.

  1. Kwa mtazamo wa Uislamu, Dini ndio nyenzo pekee inayoweza kumkomboa mwanaadamu kwa kila aina ya utumwa. Eleza jinsi Dini ya Uislamu inavyoweza kumkomboa mwanaadamu na sio vinginevyo.

 

  1. Bainisha sababu zinazomfanya mwanaadamu pamoja na ujuzi alionao hawezi kuishi bila ya dini (kufuata utaratibu wa maisha). 
  2. Taja vipawa alivyotunukiwa mwanaadamu na Mola wake vinavyomtofautisha na wanyama.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Views 5702

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 web hosting     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Njia anazotumia Mwenyezi Mungu (s.w) kuwafundisha na kuwasiliana na wanaadamu

Ni zipo njia wanazotumia Allah katika kuwasiliana na kuwafundisha wanadamu? (EDK form 1: Dhana ya elimu katika Uislamu).

Soma Zaidi...
Maana ya kuamini malaika katika maisha ya kila siku

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Maana ya kumuamini mwenyezi Mungu (s.w) katika maisha ya kila siku

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Nafasi ya Elimu katika uislamu

Je ni ipi nafasi ya Elimukatika dini ya uislamu?

Soma Zaidi...
NJIA ZA KUMJUA MWENYEZI MUNGU (S.W)

Zifuatazo ni njia nyingi za kumjua Mwenyezi Mungu (EDK form 2:dhana ya elimu katika uislamu)

Soma Zaidi...