picha

Maswali juu ya mtazamo wa uislamu kuhusu dini

Mtazamo wa uislamu kuhusu dini (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 2.

  1. Eleza maana ya neno ‘Dini’ kwa mtazamo wa;

(a) Kikafiri.

(b) Kiislamu.

  1. Eleza udhaifu wa mtazamo wa Kikafiri dhidi ya ule wa Uislamu juu ya;

(a)  maana ya dini.

(b)  asili au chanzo cha dini. 

(c)  kazi za dini katika jamii.

  1. Kwa mtazamo wa Uislamu, Dini ndio nyenzo pekee inayoweza kumkomboa mwanaadamu kwa kila aina ya utumwa. Eleza jinsi Dini ya Uislamu inavyoweza kumkomboa mwanaadamu na sio vinginevyo.

 

  1. Bainisha sababu zinazomfanya mwanaadamu pamoja na ujuzi alionao hawezi kuishi bila ya dini (kufuata utaratibu wa maisha). 
  2. Taja vipawa alivyotunukiwa mwanaadamu na Mola wake vinavyomtofautisha na wanyama.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Views 6100

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Kumuamini malaika wa mwenyezi Mungu

Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
jamii muongozo

Haja ya Mwongozo kutoka kwa Allah (s.

Soma Zaidi...
Sifa za waumini zilizotajwa katika surat As-Sajida

Nao husema (kwa maskhara): "Je, tutakapopotea katika ardhi, (tukageuka mchanga) ndio tutarudishwa katika umbo jipya?

Soma Zaidi...