Menu



Njia za kuzuia ugumba

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifu

 Njia za kuzuia ugumba.

1. Elimu ya afya ya uzazi itolewe.

atu wanatakiwa wapatiwe elimu juu ya afya ya uzazi, mambo yanayoathiri na njia za kuboresha. kwa mfao watu wafahamishwe vyakula vilivyo salama na vinavyotakiwa kwa wanandoa wanaotafuta ujauzito. Hivi ni vyakula mabvyo huboresha mfumo wa uzzi kwa mwanaume na mwanamke.'

 

2. Kutibu maambukizi.

Hili ni jambo la muhimu sana kwa wale ambao baada ya kufanya vipimo wanagundulika kuwa wana Maambukizi kwa hiyo baada ya kukaa mda mrefu bila kupata mtoto na kuwa na uhakika wa Maambukizi hasa yale yanayosababishwa na magonjwa ya zinaa ni lazima kutibiwa mara moja ili kuweza kupunguza tatizo hili la ugumba.

 

3. Kuepukana na madawa ya kulevya na uvutaji, unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara, .

Katika tabia ya kutumia madawa ya kuzlevya kama vile malijuana, vileo vikali na aina yoyote ile ya bangi usababisha ugumba kwa hiyo tunapaswa kuwashauri ndugu zetu wanaotumia dawa hizo ili waweze kuacha na kuona matatuzo ya ugumba.

 

4. Kuepuka tabia ya kutoa mimba mara kwa mara. Tabia hii nayo usababisha ugumba kwa sababu kuna vijana wanaanza kutoa mimba katika umri mdogo na mara kwa mara na pengine kwa kutumia njia zisizofaa na kusababisha kizazi kulegea kwa hiyo inapofikia wakati wa kubeba mimba wanashindwa kupata mimba kwa sababu ya kuchokonoa kizazi kwa hiyo akina dada jilindeni na achana na tabia za kutoa mimba ni hatari sana.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1977

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Sababu za za ugumba kwa Mwanaume

Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.

Soma Zaidi...
Nia za kupima ujauzito ukiwa nyumbani, Njia kuu 10 za kiasili za kupima mimba changa

Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote

Soma Zaidi...
Dalili za maumivu ya hedhi

Maumivu ya hedhi (dysmenorrhea) ni maumivu makali au ya kubana sehemu ya chini ya tumbo. Wanawake wengi hupatwa na Maumivu ya hedhi kabla tu na wakati wa hedhi zao. Kwa wanawake wengine, usumbufu huo ni wa kuudhi tu. Kwa wengine,&nbsp

Soma Zaidi...
Namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa Mama

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa mama, zoezi hili ufanyika kila mwezi pale mama anapokuja kwenye mahudhurio kwa kufanya hivyo tunaweza kuja maendeleo ya mtoto kwa kila mwezi.

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na dawa maumivu ya tumbo la hedhi

Nitakujiza dawa ya chango na maumivu ya tumbo lahedhi, dalili zake na njia za kukabiliana na maumivu ya tumbo la chango.

Soma Zaidi...
Dalili za kuvimba kwa ovari.

  Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.

Soma Zaidi...
Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta

Soma Zaidi...
Namna ya kutibu ugumba kwa Mwanaume.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa Mwanaume, ni njia ambazo utumiwa na wataalam mbalimbali Ili kuweza kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na maradhi ya ini

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini

Soma Zaidi...