picha

Mazingatio kabla ya kuosha maiti

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

 

  1. Kuoshwa (Kukoshwa).
  1. Maiti ya kiume ioshwe na wanaume na maiti ya kike ioshwe na wanawake pia.

-  Maiti ya mtoto yaweza kuoshwa na yeyote.

-  Ni Sunnah mke kumuosha mumewe na mume kumuosha mkewe pia

 

  1. Ni mtu mmoja tu ndiye anayeosha na mwingine ni kwa ajili ya kumpa msaada inapobidi.
  2. Ni muhimu muoshaji afahamu masharti ya kuosha maiti muislamu kama vile;

 

  1. Ni muhimu muoshaji afahamu nguzo na sunnah za kuosha maiti kama ifuatavyo;

 -   Nguzo za kuosha maiti ni mbili:

        -   Ni Sunnah kumuosha maiti mara tatu au zaidi kwa idadi ya witiri.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Views 2387

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 ai web app     👉5 web hosting     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Lengo la kuumbwa Mwanadamu ni lipi?

Kwenye kipengele hichi tutajifunza lengo la kuumbwa mwaanadamuengo la kuumbwa ulimwengu na viumbe vilivyomo.

Soma Zaidi...
Maswali juu ya mtazamo wa uislamu kuhusu dini

Mtazamo wa uislamu kuhusu dini (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mwanadamu hawezi kuishi bila ya dini kutokana na maumbile yake

Kuwa ni kwa nini mwanadamu hawezi kuishi bila ya dini kutokana na umbile la mwanadamu.

Soma Zaidi...
Kwa nini uislamu umeipa elimu nafasi ya kwanza

Elimu imepewa nafasi kubwa sana katika uislamu.

Soma Zaidi...