picha

Mazingatio kabla ya kuosha maiti

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

 

  1. Kuoshwa (Kukoshwa).
  1. Maiti ya kiume ioshwe na wanaume na maiti ya kike ioshwe na wanawake pia.

-  Maiti ya mtoto yaweza kuoshwa na yeyote.

-  Ni Sunnah mke kumuosha mumewe na mume kumuosha mkewe pia

 

  1. Ni mtu mmoja tu ndiye anayeosha na mwingine ni kwa ajili ya kumpa msaada inapobidi.
  2. Ni muhimu muoshaji afahamu masharti ya kuosha maiti muislamu kama vile;

 

  1. Ni muhimu muoshaji afahamu nguzo na sunnah za kuosha maiti kama ifuatavyo;

 -   Nguzo za kuosha maiti ni mbili:

        -   Ni Sunnah kumuosha maiti mara tatu au zaidi kwa idadi ya witiri.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Views 2454

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 web hosting     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Nafasi ya Elimu katika uislamu

Je ni ipi nafasi ya Elimukatika dini ya uislamu?

Soma Zaidi...
Kuamini vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)..

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Maana ya Elimu katika uislamu na nani aliye elimika?

Hili ni swali kutoka katika maarifa ya elimu ya dini ya kiislamu kidato cha kwanza (EDK FORM 1)

Soma Zaidi...
Udhaifu wa mtazamo wa makafiri juu ya dini dhidi ya mtazamo wa uislamu

Somo Hili linaeleza kuhusu mtazamo wa uislamu juu ya dini (EDK form2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kuamini Qadar ya Mwenyezi Mungu

Nguzo za imani (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu

Soma Zaidi...