FAIDA ZA MATUNDA

Somo hili linakwenda kukuletea faida za MATUNDA mbalimbali na mboga, upatikanaji wake na faida zake kiafya. Pia utakwenda kuona MATUNDA na mboga ambayo Ni kinga dhidi ya maradhi hatari Kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo na mfumo wa fahamu pamoja na

1. Faida za kula zabibu

1. Zabibu Lina virutubisho vingi Kama vile vitamin C, B6 na K pia fati na madini ya shaba na manganese

2. Ina antioxidants zinazohusika kuondoa sumu za kemikali za vyakula mwilini

3. Hupunguza athari na hatari za magonjwa Kama vile kisukari, saratani na maradhi ya moyo na mishipa ya damu

4. Huondoa stress na misongo ya mawazo

5. Hushusha shinikizo la damu

6. Hupunguza cholesterol mbaya

7. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu

8. Husaidia kuimarisha afya ya macho

9. Huimarisha afya ya ubongo na utunzaji wa kumbukumbu

10. Husaidia kuboresha afya ya mifupa

11. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria, fangasi na virusi

12. Hupunguza kasi ya kuzeeka mapema

 

2. Faida za kula nanasi

1. Nanasi Lina virutubisho Kama vile fati, protini, vitamin C na B6, madini ya chuma, manganese na shaba

2. Hupunguza misongo ya mawazo (stress)

3. Nanasi ni rahisi kumeng'enywa tumboni

4. Hupunguza hatari ya ugonjwa wa saratani

5. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini

6. Hupunguza maumivu ya viungio

7. Husaidia kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji

8. Ni tunda tamu

 

3. Faida za kula parachichi

1. Parachichi Lina virutubisho Kama vile wanga, vitamin C, E,K pia lina madini ya magnesium na potassium

2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo

3 husaidia kupunguza kupata kwa ugonjwa wa mifupa kuwa dhaifu

3. Huzuia na kupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa saratani

4. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao

5. Hupunguza misongo ya mawazo

6. Huondoa tatizo la kutopata choo kikubwa

7. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini

8. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria fangasi na virusi

9. Husaidia kutokupata maradhi ya kisukari

 

4. Faida za kula apple(tufaha)

1. Tufaha Lina virutubisho vingi Kama vile vitamin C, K, E, B1, B2 na B6 pia madini ya potassium

2. Husaidia kupunguza uzito wa ziada mwilini

3. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo

4. Hupunguza athari za ugonjwa wa kisukari

5 husaidia kupambana na pumu

6. Husaidia kuzuia saratani

7. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa

8. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha yanayotokana na matumizi ya madawa

9. Husaidia kuimarisha afya ya ubongo

 

5. Faida za kula Embe

1. Huzuia tatzo la kukosa choo kikubwa

2. Huboresha mfumo wa kinga

3. Huimarisha afya ya macho

4. Hupunguza cholesterol mbaya

5. Huboresha muonekano wa ngozi na kuufanya uwe na afya njema

6. Embe ni zuri hata kwa wenye kisukari

7. Husaidia katika kupunguza uzito

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1243

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Vyakula vya madini kwa wingi, na kazi za madini mwilini

Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake

Soma Zaidi...
JITIBU KWA TANGAIZI: faida za kiafya za tangaizi

Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.

Soma Zaidi...
Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi

Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai

Soma Zaidi...
vyakula vya kuongeza damu, dalili zake na sababu za upungufu wa damu

Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Vyakula kwa wagonjwa wa sukari na utaratibu wao wa lishe

Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za spinachi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach

Soma Zaidi...