Somo hili linakwenda kukuletea faida za MATUNDA mbalimbali na mboga, upatikanaji wake na faida zake kiafya. Pia utakwenda kuona MATUNDA na mboga ambayo Ni kinga dhidi ya maradhi hatari Kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo na mfumo wa fahamu pamoja na
1. Faida za kula zabibu
1. Zabibu Lina virutubisho vingi Kama vile vitamin C, B6 na K pia fati na madini ya shaba na manganese
2. Ina antioxidants zinazohusika kuondoa sumu za kemikali za vyakula mwilini
3. Hupunguza athari na hatari za magonjwa Kama vile kisukari, saratani na maradhi ya moyo na mishipa ya damu
4. Huondoa stress na misongo ya mawazo
5. Hushusha shinikizo la damu
6. Hupunguza cholesterol mbaya
7. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
8. Husaidia kuimarisha afya ya macho
9. Huimarisha afya ya ubongo na utunzaji wa kumbukumbu
10. Husaidia kuboresha afya ya mifupa
11. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria, fangasi na virusi
12. Hupunguza kasi ya kuzeeka mapema
2. Faida za kula nanasi
1. Nanasi Lina virutubisho Kama vile fati, protini, vitamin C na B6, madini ya chuma, manganese na shaba
2. Hupunguza misongo ya mawazo (stress)
3. Nanasi ni rahisi kumeng'enywa tumboni
4. Hupunguza hatari ya ugonjwa wa saratani
5. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
6. Hupunguza maumivu ya viungio
7. Husaidia kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji
8. Ni tunda tamu
3. Faida za kula parachichi
1. Parachichi Lina virutubisho Kama vile wanga, vitamin C, E,K pia lina madini ya magnesium na potassium
2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
3 husaidia kupunguza kupata kwa ugonjwa wa mifupa kuwa dhaifu
3. Huzuia na kupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa saratani
4. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao
5. Hupunguza misongo ya mawazo
6. Huondoa tatizo la kutopata choo kikubwa
7. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
8. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria fangasi na virusi
9. Husaidia kutokupata maradhi ya kisukari
4. Faida za kula apple(tufaha)
1. Tufaha Lina virutubisho vingi Kama vile vitamin C, K, E, B1, B2 na B6 pia madini ya potassium
2. Husaidia kupunguza uzito wa ziada mwilini
3. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
4. Hupunguza athari za ugonjwa wa kisukari
5 husaidia kupambana na pumu
6. Husaidia kuzuia saratani
7. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
8. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha yanayotokana na matumizi ya madawa
9. Husaidia kuimarisha afya ya ubongo
5. Faida za kula Embe
1. Huzuia tatzo la kukosa choo kikubwa
2. Huboresha mfumo wa kinga
3. Huimarisha afya ya macho
4. Hupunguza cholesterol mbaya
5. Huboresha muonekano wa ngozi na kuufanya uwe na afya njema
6. Embe ni zuri hata kwa wenye kisukari
7. Husaidia katika kupunguza uzito
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1181
Sponsored links
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Faida za kula nanasi
Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...
Faida za kitunguu thaumu mwilini
Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Bamia
Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Maini
Soma Zaidi...
Faida za kula Tango
Matunda ya zamani na ya asili, zijuwe faida za kiafya za tango Soma Zaidi...
Fahamu Vitamini E na nz kazi zake, vyakula vya vitamini E na athari za upungufu wake
Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake Soma Zaidi...
Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)
Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini. Soma Zaidi...
Papai (papaya)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai Soma Zaidi...
Vitamini C ni nini, na vipo kwenye nini?
Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C Soma Zaidi...
Faida za kula mayai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula mayai Soma Zaidi...