FAIDA ZA MATUNDA

FAIDA ZA MATUNDA

Somo hili linakwenda kukuletea faida za MATUNDA mbalimbali na mboga, upatikanaji wake na faida zake kiafya. Pia utakwenda kuona MATUNDA na mboga ambayo Ni kinga dhidi ya maradhi hatari Kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo na mfumo wa fahamu pamoja na

Download Post hii hapa

1. Faida za kula zabibu

1. Zabibu Lina virutubisho vingi Kama vile vitamin C, B6 na K pia fati na madini ya shaba na manganese

2. Ina antioxidants zinazohusika kuondoa sumu za kemikali za vyakula mwilini

3. Hupunguza athari na hatari za magonjwa Kama vile kisukari, saratani na maradhi ya moyo na mishipa ya damu

4. Huondoa stress na misongo ya mawazo

5. Hushusha shinikizo la damu

6. Hupunguza cholesterol mbaya

7. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu

8. Husaidia kuimarisha afya ya macho

9. Huimarisha afya ya ubongo na utunzaji wa kumbukumbu

10. Husaidia kuboresha afya ya mifupa

11. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria, fangasi na virusi

12. Hupunguza kasi ya kuzeeka mapema

 

2. Faida za kula nanasi

1. Nanasi Lina virutubisho Kama vile fati, protini, vitamin C na B6, madini ya chuma, manganese na shaba

2. Hupunguza misongo ya mawazo (stress)

3. Nanasi ni rahisi kumeng'enywa tumboni

4. Hupunguza hatari ya ugonjwa wa saratani

5. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini

6. Hupunguza maumivu ya viungio

7. Husaidia kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji

8. Ni tunda tamu

 

3. Faida za kula parachichi

1. Parachichi Lina virutubisho Kama vile wanga, vitamin C, E,K pia lina madini ya magnesium na potassium

2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo

3 husaidia kupunguza kupata kwa ugonjwa wa mifupa kuwa dhaifu

3. Huzuia na kupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa saratani

4. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao

5. Hupunguza misongo ya mawazo

6. Huondoa tatizo la kutopata choo kikubwa

7. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini

8. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria fangasi na virusi

9. Husaidia kutokupata maradhi ya kisukari

 

4. Faida za kula apple(tufaha)

1. Tufaha Lina virutubisho vingi Kama vile vitamin C, K, E, B1, B2 na B6 pia madini ya potassium

2. Husaidia kupunguza uzito wa ziada mwilini

3. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo

4. Hupunguza athari za ugonjwa wa kisukari

5 husaidia kupambana na pumu

6. Husaidia kuzuia saratani

7. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa

8. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha yanayotokana na matumizi ya madawa

9. Husaidia kuimarisha afya ya ubongo

 

5. Faida za kula Embe

1. Huzuia tatzo la kukosa choo kikubwa

2. Huboresha mfumo wa kinga

3. Huimarisha afya ya macho

4. Hupunguza cholesterol mbaya

5. Huboresha muonekano wa ngozi na kuufanya uwe na afya njema

6. Embe ni zuri hata kwa wenye kisukari

7. Husaidia katika kupunguza uzito

 

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1336

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za majani ya mstafeli
Faida za majani ya mstafeli

Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.

Soma Zaidi...
Zijue kazi za madini ya chuma mwilini
Zijue kazi za madini ya chuma mwilini

Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.

Soma Zaidi...
Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito
Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za spinachi
Faida za kiafya za spinachi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach

Soma Zaidi...
Faida za kula passion
Faida za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI
UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Zijuwe faida za kula njegere
Zijuwe faida za kula njegere

zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?

Soma Zaidi...