Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu
Zoezi la 1.
(a) Bainisha njia kuu tano zinazomuwezesha mwanaadamu kumtambua Muumba
wake.
(b) Taja nguzo za Imani kwa mtiririko wake.
(a) Orodhesha Vitabu vilivyotajwa ndani ya Quran pamoja na Mitume
walioteremshiwa kwayo.
(b) Eleza, kwa nini Vitabu hivyo vimetajwa ndani ya Quran?
Ainisha sifa za Mitume wa Mwenyezi Mungu (s.w) kama ulivyojifunza katika somo hili.
Nafasi ya mwanaadamu imetofautiana sana na viumbe wengine, bainisha ni vitu au sifa gani zinazomtofautisha mwanaadamu na viumbe wengine.
Onyesha majukumu makuu ya kuletwa Mitume wa Mwenyezi Mungu (s.w) hapa Ulimwenguni.
Maisha baada ya kufa ni jambo lisilobudi kwa kila mwanaadamu, taja kwa mpangilio hatua za maisha ya mwanaadamu katika kuelekea maisha ya Akhera.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Ni zipo njia wanazotumia Allah katika kuwasiliana na kuwafundisha wanadamu? (EDK form 1: Dhana ya elimu katika Uislamu).
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي ذَرٍّ جُنْدَبِ بْنِ جُنَادَةَ، وَأَبِي عَبْدِ الرَّحْمَنِ مُعَاذِ بْنِ جَبَلٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا، عَنْ رَسُولِ اللَ...
Soma Zaidi...Waislamu wanakatazwa kufanya na kufuata mambo kwa kibubusa (kwa mkumbo) bila ya kuwa na ujuzi unaostahiki.
Soma Zaidi...Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Na tukiutafiti Uislamu kwa makini kama mfumo kamili wa maisha tunaona unadhihiri ukweli wa aya hii ya Qur-an.
Soma Zaidi...“Na wasiape wale wakarimu na wenye wasaa miongoni mwenu, kujizuia kuwasaidia jamaa zao, maskini na wale waliohama kwa ajili ya Dini ya Allah; na wasamehe na waachilie mbali (wapuuze yaliyopita).
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...