image

Mtazamo wa makafiri juu ya dini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu mtazamo wa uislamu juu ya dini (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Mtazamo wa Makafiri juu ya Dini.

Mtazamo wa kikafiri juu ya dini uko katika sehemu kuu tatu zifuatazo;

Maana ya dini.

Chimbuko, Asili au Chanzo cha dini.

Kazi ya dini katika jamii.

 

 Maana ya dini.

Ni imani juu ya kuwepo Mungu Muumba Muweza na Mwenye nguvu juu ya kitu.

Rejea tafsiri ya neno Religion katika Kamusi ya Kiingereza.

 

Belief in the existence of a supernatural ruling power the creator …..”

Tafsiri: 

Dini ni imani ya kuwepo Mungu Muumba aliyemuweza na mwenye nguvu..

 

Chimbuko, Chanzo au Asili ya dini.

Makafiri wanadai kuwa chimbuko la dini linatokana na mawazo na fikra finyu za mwanaadamu alipokuwa katika maisha ya ujima (primitive age).

 

Dini ni fikra na dhana alizoibua mwanaadamu baada ya kushindwa kutatua matatizo ya kijamii, uchumi, siasa, n.k.

 

Dini ni dhana iliyoibuliwa na mwanaadamu kutokana na uduni wa maendeleo ya sayansi na teknolojia.

Rejea kitabu cha Kafiri, F. Angels kiitwacho Anti-Duhring

 

“Religion arose from primitive conceptions of men

Tafsiri:

Dini imeibuka kutokana na ujima (uduni) wa mawazo ya mwanaadamu

 

           (c) Kazi ya dini katika jamii.

Ukirejea historia ya Ulaya na nchi za Magharibi, Kanisa kama dini lilitumika kwa kazi zifuatazo;

 

- Ni chombo kinacholeta unyonyaji, ukandamizaji na dhuluma katika jamii.

Rejea Quran (28:4).

 

Ni chombo cha kuleta matabaka na ubaguzi kati ya viongozi (mabwana) na waongozwa, matajiri na masikini katika jamii.  

 

Pia dini inaaminika kuwa ni chombo cha kulinda na kutetea maslahi ya watawala kupitia mafundisho yake.

 

Dini inatumika kama chombo cha kuchuma na kujilimbikizia mali kwa wakuu (viongozi) wake kwa kuwatumia wafuasi wake.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2017


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Nguzo za imani
Zifuatazo Ni nguzo za imani (EDK form 2: elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Mgawanyiko wa Elimu katika mtazamo wa Uislamu
Katika Uislamu elimu imegawanyika katika Elimu ya muongozo na elimu ya mazingira. Soma Zaidi...

KUAMINI SIKU YA MALIPO
Soma Zaidi...

Ni nini maana ya Ilhamu katika uislamu?
Ilhamu ni moja katika njia ambazo Allah huwasiliana na wanadamu na kuwafundisha mambo mablimbali. Soma Zaidi...

Kuamini vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)
Nguzo za Imani (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Dalili Kubwa za kukaribia Siku ya kiama
Soma Zaidi...

Jifunze ni kwa namna gani Malaika waliweza kuwasiliana ana manabii Malimbali
Wakatibmeingibe Allah anapotaka kuwasiliana na wanadamu hutuma Malaika wake. Soma Zaidi...

mtazamo wa uislamu juu ya dini
Soma Zaidi...

Makatazo ya kujiepusha nayo
Soma Zaidi...

Kujiepusha na kukaribia zinaa
Si zinaa tu iliyoharamishwa bali hata yale yote yanayotengeneza mazingira na kuchochea kufanyika kwa zinaa nayo pia yameharamishwa. Soma Zaidi...

Nguzo za imani
Zifuatazo ni nguzo za imani (EDK form 2: elimu ya dini ya kiislamu) Soma Zaidi...

Kumuamini mwenyezi Mungu..
Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...