Kuamini siku ya mwisho
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu
- Kuamini Siku ya Mwisho.
- Ni kuwa na yakini moyoni kuwa kuna maisha mengine baada ya kufa.
- Hatua za maisha baada ya kufa:
- Kutokwa na roho.
- Maisha ya kaburini (Barzaq).
- Kufufuliwa.
- Kuhesabiwa (Hisabu).
- Kuishi Peponi au Motoni milele
- Kwa mujibu wa amali zao (vitendo vyao).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 ai web app 👉6 Madrasa kiganjani
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 ai web app 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Nafasi ya akili katika kumtambua Allah
Kwa kutumia akili yako unaweza kumtambua Allah bila ya shaka yeyote ile. Postbhii itakufundisha nafasi ya akilonkatika kutambuwa uwepo na Uwezo wa Allah.
Soma Zaidi...