Faida za kiafya za kula spinach

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach

Faida za kiafya zakula Spinachi

1. mboga hii ina virutubisho kama vitamini A, C, na K, pia madini ya chuma sodium, calcium and mangenesium. Pia mboga hii ina fati na wanga.

2. Husaidia katika kupunguza uzito

3. Huboresha afya na macho

4. Huboresha afya ya mifupa

5. Hushusha presha ya damu (hypertension)

6. Husaidia mwili kurelas

7. Husaidia katika mapambano dhidi ya saratani

8. Ni nzuri kwa afya ya ngozi

9. Hulinda mwili dhidi ya anaemia

10. Huboresha mfumo wa kinga

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1971

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kula Nyanya

Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya

Soma Zaidi...
VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO

Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin D

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula ukwaju

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju

Soma Zaidi...
Je miwa ina madhara yoyote?

Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mihogo

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo

Soma Zaidi...
Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.

Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy

Soma Zaidi...
Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.

Soma Zaidi...