Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach
Faida za kiafya zakula Spinachi
1. mboga hii ina virutubisho kama vitamini A, C, na K, pia madini ya chuma sodium, calcium and mangenesium. Pia mboga hii ina fati na wanga.
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Huboresha afya na macho
4. Huboresha afya ya mifupa
5. Hushusha presha ya damu (hypertension)
6. Husaidia mwili kurelas
7. Husaidia katika mapambano dhidi ya saratani
8. Ni nzuri kwa afya ya ngozi
9. Hulinda mwili dhidi ya anaemia
10. Huboresha mfumo wa kinga
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.
Soma Zaidi...