Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach
Faida za kiafya zakula Spinachi
1. mboga hii ina virutubisho kama vitamini A, C, na K, pia madini ya chuma sodium, calcium and mangenesium. Pia mboga hii ina fati na wanga.
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Huboresha afya na macho
4. Huboresha afya ya mifupa
5. Hushusha presha ya damu (hypertension)
6. Husaidia mwili kurelas
7. Husaidia katika mapambano dhidi ya saratani
8. Ni nzuri kwa afya ya ngozi
9. Hulinda mwili dhidi ya anaemia
10. Huboresha mfumo wa kinga
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)
Soma Zaidi...