Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach
Faida za kiafya zakula Spinachi
1. mboga hii ina virutubisho kama vitamini A, C, na K, pia madini ya chuma sodium, calcium and mangenesium. Pia mboga hii ina fati na wanga.
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Huboresha afya na macho
4. Huboresha afya ya mifupa
5. Hushusha presha ya damu (hypertension)
6. Husaidia mwili kurelas
7. Husaidia katika mapambano dhidi ya saratani
8. Ni nzuri kwa afya ya ngozi
9. Hulinda mwili dhidi ya anaemia
10. Huboresha mfumo wa kinga
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1789
Sponsored links
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
NI ZIPI KAZI ZA PROTINI MWILINI?
Makala hii inakwenda kukuletea kazi kuu za protini na vyakula vya protini katika miili yetu. Mkala hii itakusaiidia kujuwa namna ya kupangilia lishe yako kiusalama zaidi baada ya kujuwa kazi za protini katika miili yetu. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Tango
Soma Zaidi...
Pilipili kali
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za pilipili kali Soma Zaidi...
Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali
Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu. Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Nazi
Soma Zaidi...
Tango (cucumber)
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula tango Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini
Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Stafeli
Soma Zaidi...
Faida za kula uyoga
Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya Soma Zaidi...