picha
JE NI NANI MWENYE HAKI YA KUTALIKI

Hapabutajifunza endapp mwanamke anahitaji kuachwa ni nini anatakiwa afanye.

picha
JINSI YA KUFANYA SULUHU KATI YA MUME NA MKE.

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kufanya suluhu katika ndoa.

picha
NI NINI MAANA YA TALAKA KATIKA UISLAMU

Post hii inakwenda kukufundisha maana ya neno talaka katika uislamu kisheria na kilugha.

picha
JE NI KWA NINI LENGO LA FINGA HALIFIKIWI KWA WAFUNGAJI

Lengo la funga ni kuwa mchamungu sasa ni kwa nini wafungaji hawalifikii lengo hili na kuwa wachamungu.

picha
VIPI UTAPATA UCHAMUNGU KUPITIA FUNGA

Vipi lengo la funga litafikiwa na kumfanya mfungaji awe mchamungu.

picha
HILI NDIO LENGO LA KUFUNGA.

Ni kwa nini Allah ametutaka tugunge. Je kuna lengo gani hasa katika kufunga.

picha
SIKU AMBAZO HAZIRUHUSIWI KUFUNGA

Ni haramu kufunga katika masiku haya. Na endapo utafunga basi funga haitakuwa na malipo.

picha
JINSI YA KUTEKELEZA FUNGA ZA SUNNAH

Hapa utajifunza muda wa kutia jia katika funga za sunnah. Pia utajifunza kuhusu uhuru ulio nao

picha
ZIJUWE FUNGA ZA SUNNAH NA JINSI YA KUZIFUNGA

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu funga za sunnah na jinsi ya kuzigunga.

picha
ZIJUWE FUNGA ZA KAFARA NA JINSI YA KUZIGUNGA

Post hii itakufundisha kuhusu funga za kafara, zinavyotokea na na jinsi ya kuzifunga.

picha
JINSI YA KUSHEREHEKEA SIKU YA IDI KATIKA UISLAMU

Uislamu umeweka taratibu maalumu za kuzifata katika kusherehekea siku ya idi.

picha
SUNNAH ZA SIKU YA IDI NA UTARATIBU WA KUSHEREHEKEA

Hapa utajifunza utaratibu wa kusherekea ifil fitir. Pia utajifunza sunnah zinazoambatsns na idil fitir

picha
JINSI YA KUTOA ZAKAT AL FITIRI NA UMUHIMU WA ZAKAT AL FITRI KWA WAISLAMU

Hapa utajifunza kuhusu zakat al fitiri, kiwango chake, watu wanaostahili kupewa na kutoa, pia umuhimu wake katika...

picha
JINSI YA KUKAA ITIQAF NA TARATIBU ZAKE

Hapa utajifunza kuhusu taratibu za ibada ya itiqaf yaani kukaa msikitini kwa ajili ya ibada.

picha
FADHILA ZA USIKU WAALYLAT AL QADIR

Zijuwe fadhila za usiku wenye cheo kuliko nyusiku ya miezi 1000.

picha
SUNNAH ZA SWAUMU, SUNNAH AMBAZO ZINAAMBATANS NS KUFUNGABMWEZI WA RAMADHANI

Yajuwe mambo ambayo yanapendeza kuyafanya wakati ukiwa umefunga Ramadhani.

picha
TARSTIBU ZA KULIPA SWAUMU YA RAMADHANI

Hapa utajifunza namna ambayo utatakiwa kulipa funga ya Ramadhani kwa siku ambazo hukufunga

picha
NI IPI HUKUMU YA MUISLAMU ANAYEKULA MWEZI WA RAMADHANI BILA YA SABABU YA KISHERIA

Endapo muislamu hatafunga mwezi wa Ramadhani bila ya ruhusa je atatakiwa afanye nini. Je ataweza kuilipa funga hiyo?

picha
WATU WANAOLAZIMIKA KUFUNGA MWEZI WA RAMADHANI

Hapa utajifunza watu ambao wanalazimika kufunga mwezi wa Ramadhani.

picha
MAMBO AMBAYO HAYAFUNGUZI FUNGA

Hii ni orodha ya mambo ambayo hayawezi kuharimu funga yako endapo utayafanya.

picha
MAMBO YANAYOPUNGUZA MALIPO YA FUNGA AU SWAUMU

Mambo haya yanaweza kuharibu funga ya mtu ama kupunguza malipo ya funga.

picha
MAMBO YANAYOBATILISHA FUNGA AU YANAYOHARIBU SWAUMU.

Hapa utajifunza mambo ambayo akiyafanya mtu aliyefunga, basi funga yake itaharibika.

picha
NGUZO ZA SWAUMU (KUFINGA)

Hapa utajifunza nguzo kuu za swaumu. Kama hazitatimia nguzo hizi basi swaumu itakuwa ni batili.

picha
UFAFANUZI KUHUDU MGOGORO WA MWEZI NI MUDA GANI MTU AANZE KUFUNGA.

Je inapoonekana sehemu moja tufunge duania nzima ama tufunge kwa kuangalia mwandamo katika maenro tunayoishi.

Page 143 of 229

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.