Ugonjwa wa malaria unasababishwa na nini

Ugonjwa wa malaria unasababishwa na nini

Mmoja katika wadau ameuliza kutoka whatsapp

Download Post hii hapa

Ugonjwa wa malaria unasababishwa na vimelea vya protozoa

Vimelea hawa ni aina ya protozoa aitwaye Plasmodium, na kuna aina kadhaa za Plasmodium zinazoweza kusababisha malaria, kama vile Plasmodium falciparum, Plasmodium vivax, Plasmodium ovale, na Plasmodium malariae. Malaria inasambazwa na mbu wa kike wa aina ya Anopheles ambaye hubeba vimelea vya Plasmodium

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: zaidi Main: Afya File: Download PDF Views 194

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Estrojen ni Nini na ina kazi gani mwilini
Estrojen ni Nini na ina kazi gani mwilini

Je unaijuwa homoni ya estrojen na kazi zake mwilini

Soma Zaidi...
Kwa nini tunapiga chafya, na ni zipi faida zake kiafya
Kwa nini tunapiga chafya, na ni zipi faida zake kiafya

Katika post hii utajifunza faida za kupiga chafya kiafya, pia utajifunza sababu za kupiga chafya.

Soma Zaidi...