Ugonjwa wa malaria unasababishwa na nini

Ugonjwa wa malaria unasababishwa na nini

Mmoja katika wadau ameuliza kutoka whatsapp

Ugonjwa wa malaria unasababishwa na vimelea vya protozoa

Vimelea hawa ni aina ya protozoa aitwaye Plasmodium, na kuna aina kadhaa za Plasmodium zinazoweza kusababisha malaria, kama vile Plasmodium falciparum, Plasmodium vivax, Plasmodium ovale, na Plasmodium malariae. Malaria inasambazwa na mbu wa kike wa aina ya Anopheles ambaye hubeba vimelea vya Plasmodium

Bongoclass
Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!

Zoezi la Maswali

Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: zaidi Main: Afya File: Download PDF Views 208

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Estrojen ni Nini na ina kazi gani mwilini
Estrojen ni Nini na ina kazi gani mwilini

Je unaijuwa homoni ya estrojen na kazi zake mwilini

Soma Zaidi...
Kwa nini tunapiga chafya, na ni zipi faida zake kiafya
Kwa nini tunapiga chafya, na ni zipi faida zake kiafya

Katika post hii utajifunza faida za kupiga chafya kiafya, pia utajifunza sababu za kupiga chafya.

Soma Zaidi...