Ugonjwa wa malaria unasababishwa na nini

Mmoja katika wadau ameuliza kutoka whatsapp

Ugonjwa wa malaria unasababishwa na vimelea vya protozoa

Vimelea hawa ni aina ya protozoa aitwaye Plasmodium, na kuna aina kadhaa za Plasmodium zinazoweza kusababisha malaria, kama vile Plasmodium falciparum, Plasmodium vivax, Plasmodium ovale, na Plasmodium malariae. Malaria inasambazwa na mbu wa kike wa aina ya Anopheles ambaye hubeba vimelea vya Plasmodium

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: zaidi Main: Afya File: Download PDF Views 353

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 web hosting    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Kwa nini tunapiga chafya, na ni zipi faida zake kiafya

Katika post hii utajifunza faida za kupiga chafya kiafya, pia utajifunza sababu za kupiga chafya.

Soma Zaidi...
Estrojen ni Nini na ina kazi gani mwilini

Je unaijuwa homoni ya estrojen na kazi zake mwilini

Soma Zaidi...