Mmoja katika wadau ameuliza kutoka whatsapp
Ugonjwa wa malaria unasababishwa na vimelea vya protozoa.
Vimelea hawa ni aina ya protozoa aitwaye Plasmodium, na kuna aina kadhaa za Plasmodium zinazoweza kusababisha malaria, kama vile Plasmodium falciparum, Plasmodium vivax, Plasmodium ovale, na Plasmodium malariae. Malaria inasambazwa na mbu wa kike wa aina ya Anopheles ambaye hubeba vimelea vya Plasmodium
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Je unaijuwa homoni ya estrojen na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza faida za kupiga chafya kiafya, pia utajifunza sababu za kupiga chafya.
Soma Zaidi...