Mmoja katika wadau ameuliza kutoka whatsapp
Ugonjwa wa malaria unasababishwa na vimelea vya protozoa.
Vimelea hawa ni aina ya protozoa aitwaye Plasmodium, na kuna aina kadhaa za Plasmodium zinazoweza kusababisha malaria, kama vile Plasmodium falciparum, Plasmodium vivax, Plasmodium ovale, na Plasmodium malariae. Malaria inasambazwa na mbu wa kike wa aina ya Anopheles ambaye hubeba vimelea vya Plasmodium
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Je unaijuwa homoni ya estrojen na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...Mdomo kuwa mchungu ni hali inayowasumbua watu wengi, hasa wakati wa asubuhi wanapoamka. Tatizo hili linaweza kusababishwa na vyakula, maradhi mbalimbali, matumizi ya dawa fulani, au mtindo wa maisha. Somo hili linaeleza sababu zake, kwa nini hutokea sana asubuhi, uhusiano wake na malaria, pamoja na njia za kuzuia au kupunguza tatizo.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza faida za kupiga chafya kiafya, pia utajifunza sababu za kupiga chafya.
Soma Zaidi...