JAVASCRIPT -somo la 1: Kwa nini ni muhimu kujifunza javascript

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya javacsript pamoja na kazi za javascript. Pia utayajuwa makampuni makubwa yanayotumia javascript.

avascript ni moja ya programming language ambazo hutumika sana katika kutengeneza web page na program nyingine. Javascript ni lugha muhinu na ya lazima kuijuwa kama unataka kutengeneza website ili na ubora. Kwenye ukurasa wa wavuti kazi kuu ya javascript ni kuweka tabia mbalimbali za ukurasa huo, kama kuweka kazi za batani pindi mtu anapobofya batani.

 

Sifa za mwenye kujifunza:

Ilikushiriki vyema course hii unahitajika uwe na uelewa na html. Angalau uwe umeshiriki mafunzo ya HTML leve 1 itakuwa vyema zaidi ukiwa umemaliza level 2. Course hii itaanza mwanzo mpaka mwisho, na imelenga zaidi kwa wale ambao ndio kwanza wameanza kujifunza javascript.

 

Maandalizi ya kifaa chako kwa ajili ya kujifunza

Javascript inafanya kazi kwenye HTML. yaani tutatumia ukurasa wa HTML ili kujifunza javascript. Hivyo hakuna maandalizi zaidi kwa level hii, maandalizi ni kama yale ambayo umeyafanya kwenye kuandaa kifaa chako ulipokuwa najifunza html.

 

Historia ya javascript:

Javascript imevumbuliwa na Brendan Eich mnamo mwaka 1995. Ilianzishwa kwa ajili ya Netscape 2 na baadaye ikachukuliwa na kampuni ya ECMA-262. Kutoka hapo javascript ilipitia mabadiliko mengi na matoleo mengi.

 

Nini javascript hufanya kwenye ukurasa wa wavuti?

  1. Inaweza kubadili maudhui kabisa ya ukurasa wa wavuti na kuweka maudhui mapya baada ya kufanya kitendo husika.

  2. Javascript inaweza kubadili thamani za attribute kwenye ukurasa wa wavuti (angalia html level 2 kujifunza zaidi kuhusu html attributes)

  3. Javascript inaweza kubadili style ya ukurasa wa wavuti

  4. Javascript inaweza kufisha ama kuonyesha element flani ya html (rejea mafunzo ya html level 2 kujifunza zaidi kuhusu html element)

 

Vipi javascript hutumika kwenye ukurasa wa html?

Ili kuweza kutumia javascript kwenye ukurasa wa html unatakiwa utumie tag za javascript. Tag  ya javascript ni . Nadani ya tag hii ndipo hukaa code za javascript. Mfano:

 

">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 868

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 18: Jinsi ya kutumia switch case kwenye javascript

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 13: Function zinazofanya kazi kwenye array.

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini. Utajifunza pia jinsi ya kutengeneza array.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 14: Jifunze kuhusu event kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript

Soma Zaidi...
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css

Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 6: Jinsi ya kufanya mahesabu kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza kuhusu matendo ya hesabu ambayo ni kugawanya, kujumlisha, kuzidisha na kutoa

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 19: Jinsi ya kutumia loop kwenye javascript

Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na zaidi. Tofauti na kurudia rudia kuandika statement moja kwa ajili ya kupata matokeoa hayohayo basi unapotumia lo

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo

Soma Zaidi...