picha

JAVASCRIPT -somo la 1: Kwa nini ni muhimu kujifunza javascript

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya javacsript pamoja na kazi za javascript. Pia utayajuwa makampuni makubwa yanayotumia javascript.

avascript ni moja ya programming language ambazo hutumika sana katika kutengeneza web page na program nyingine. Javascript ni lugha muhinu na ya lazima kuijuwa kama unataka kutengeneza website ili na ubora. Kwenye ukurasa wa wavuti kazi kuu ya javascript ni kuweka tabia mbalimbali za ukurasa huo, kama kuweka kazi za batani pindi mtu anapobofya batani.

 

Sifa za mwenye kujifunza:

Ilikushiriki vyema course hii unahitajika uwe na uelewa na html. Angalau uwe umeshiriki mafunzo ya HTML leve 1 itakuwa vyema zaidi ukiwa umemaliza level 2. Course hii itaanza mwanzo mpaka mwisho, na imelenga zaidi kwa wale ambao ndio kwanza wameanza kujifunza javascript.

 

Maandalizi ya kifaa chako kwa ajili ya kujifunza

Javascript inafanya kazi kwenye HTML. yaani tutatumia ukurasa wa HTML ili kujifunza javascript. Hivyo hakuna maandalizi zaidi kwa level hii, maandalizi ni kama yale ambayo umeyafanya kwenye kuandaa kifaa chako ulipokuwa najifunza html.

 

Historia ya javascript:

Javascript imevumbuliwa na Brendan Eich mnamo mwaka 1995. Ilianzishwa kwa ajili ya Netscape 2 na baadaye ikachukuliwa na kampuni ya ECMA-262. Kutoka hapo javascript ilipitia mabadiliko mengi na matoleo mengi.

 

Nini javascript hufanya kwenye ukurasa wa wavuti?

  1. Inaweza kubadili maudhui kabisa ya ukurasa wa wavuti na kuweka maudhui mapya baada ya kufanya kitendo husika.

  2. Javascript inaweza kubadili thamani za attribute kwenye ukurasa wa wavuti (angalia html level 2 kujifunza zaidi kuhusu html attributes)

  3. Javascript inaweza kubadili style ya ukurasa wa wavuti

  4. Javascript inaweza kufisha ama kuonyesha element flani ya html (rejea mafunzo ya html level 2 kujifunza zaidi kuhusu html element)

 

Vipi javascript hutumika kwenye ukurasa wa html?

Ili kuweza kutumia javascript kwenye ukurasa wa html unatakiwa utumie tag za javascript. Tag  ya javascript ni . Nadani ya tag hii ndipo hukaa code za javascript. Mfano:

 

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 1603

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 web hosting    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 8: Aina za data zinazotumika kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data ambazo hutumika kwenye javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 4: Jinsi ya kuandika variable kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika variable. Hapa utajifunza sheria zinazohusu variable katika javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 19: Jinsi ya kutumia loop kwenye javascript

Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na zaidi. Tofauti na kurudia rudia kuandika statement moja kwa ajili ya kupata matokeoa hayohayo basi unapotumia lo

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 23: Jinsi ya kutengeneza calculator yaani kikokotoo cha hesabu kwa kutumia javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator

Soma Zaidi...
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css

Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 12: Function zinazotumika kwenye namba

Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Soma Zaidi...