Ni lipi lengo kuu la Elimu katika uislamu (Edk form 1 Dhanaya Elimu)
Lengo kuu la elimu katika Uislamu ni;
1.Ni kumuwezesha mwanaadamu kumtambua Mola wake vilivyo na kuweza kumuabudu kwa usahihi na kikamilifu kwa kila kipengele cha maisha yake ya kila siku kibinafsi, kifamilia na kijamii.
2. Ni kuweza kuyajua na kuyafuata maamrisho yote ya Allah (s.w) na kuepukana na makatazo yake pia.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Zifuatazo ni njia nyingi za kumjua Mwenyezi Mungu (EDK form 2:dhana ya elimu katika uislamu)
Soma Zaidi...Na tukiutafiti Uislamu kwa makini kama mfumo kamili wa maisha tunaona unadhihiri ukweli wa aya hii ya Qur-an.
Soma Zaidi...Malaika wamepewa kazi ya kumtumikia Allah(SW) kwa kumtukuza na kumtakasa, kama wanavyosema wenyewe:Hakuna yoyote miongoni mwetu ila anapo mahali pake mahususi.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Haki ya ElimuKatika Uislamu kujielimisha ni faradhi inayowahusu Waislamu wote, wanaume na wanawake: "Soma kwa jina ?
Soma Zaidi...Kwenye mada hii tutajifunza shahada mbili,tafsiri ya shahada kstika maisha ya kila siku.
Soma Zaidi...