Mambo yanayoharibu Udhu (yanayobatilisha udhu)

Post hii inakwenda kukufundisha mambo ambayo hubatilisha udhu yaani mam,boa mbayo yanaharibu udhu.

Kabla ya kuona mabo ambayo yanaharibu udhu vyema kwanza tujuwe mambo ambayo yanalazimu kuwa mtu awe na udhu. Mambo jhayo ni kama swala. hata hivyo yapo ambayo yanapendeza uwe na udhu kama kusoma Quran. 

 

Mambo yanayoharibu udhu:

1. Kutokwa na ndogo (mkojo)

2. kutokwa na haja kubwa

3. kutokwa na upepo (kujamba)

4. Kulala tofauti na mlalo wa kuambatanisha makalio ardhini

5. kuzimia

6. kutokwa na madii

7. kutokwa na madhii

8. Kutokwa na hedhi

9. Kutokwa na damu ya ugonjwa

10. Kulewa ama ulevi

11. Kutokwa na akili

 

Pia mambo yafuatayo kuna kutokukubaliana kwa maulamaa kuhusu kutokwa na udhu. Wengine wanakubali lakini wengine wanakataa. Mambo hayo ni kama:-

1. Kumgusa mwanamke ambaye ni halali kumuoa ama mkeo

2. Kumbusu

3. Kugusa sehemu za siri

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 3666

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Jinsi ambavyo msafiri anatakiwa aswali akiwa safarini

Postvhiibinakwenda kukufundisha kuhusu swala ya msafiri na jinsi ya kuiswali.

Soma Zaidi...
Aina za tawafu

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Aina ya biashara zilizo haramu kwenye uislamu

Hapa utajifunza aina za biashara ambazo ni haramu.

Soma Zaidi...
Mgogoro wa kuandama kwa mwezi, Je mwezi wa Kimataifa ama kila Mji na mwezi wake?

Mwezi ukionekana sehemu moja, Waislamu wote ulimwenguni watalazimika kufunga?

Soma Zaidi...
Haki za muislamu kwa muislamu mwenziwe

Hizi ndio haki kuu tano unazopasa kumpatia Muislamu mwenzio.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa swala

Umuhimu wa KusimamishaSwala Kwa mujibu wa Hadith ya Ibn Umar (r.

Soma Zaidi...