Post hii inakwenda kukufundisha mambo ambayo hubatilisha udhu yaani mam,boa mbayo yanaharibu udhu.
Kabla ya kuona mabo ambayo yanaharibu udhu vyema kwanza tujuwe mambo ambayo yanalazimu kuwa mtu awe na udhu. Mambo jhayo ni kama swala. hata hivyo yapo ambayo yanapendeza uwe na udhu kama kusoma Quran.
Mambo yanayoharibu udhu:
1. Kutokwa na ndogo (mkojo)
2. kutokwa na haja kubwa
3. kutokwa na upepo (kujamba)
4. Kulala tofauti na mlalo wa kuambatanisha makalio ardhini
5. kuzimia
6. kutokwa na madii
7. kutokwa na madhii
8. Kutokwa na hedhi
9. Kutokwa na damu ya ugonjwa
10. Kulewa ama ulevi
11. Kutokwa na akili
Pia mambo yafuatayo kuna kutokukubaliana kwa maulamaa kuhusu kutokwa na udhu. Wengine wanakubali lakini wengine wanakataa. Mambo hayo ni kama:-
1. Kumgusa mwanamke ambaye ni halali kumuoa ama mkeo
2. Kumbusu
3. Kugusa sehemu za siri
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakufundisha faida na umuhimu wa kijenga uchumi katika jamii ya kiislamu.
Soma Zaidi...Hspa utajifunza taratibu za kuonana na mchumba katika uislamu.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu lengo la funga na maana yake katika uislamu.
Soma Zaidi...Quran imegawanya mirathi katika haki. Mgawanyo huu ndio unaotakiwa utumike na si vinhinevyo.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya ndoa kulingana na uislamu na umuhimu wake katika jamiii
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي عَبْدِ اللَّهِ النُّعْمَانِ بْنِ بَشِيرٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا، قَالَ: سَمِعْت رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم يَقُ?...
Soma Zaidi...