picha

Mambo yanayoharibu Udhu (yanayobatilisha udhu)

Post hii inakwenda kukufundisha mambo ambayo hubatilisha udhu yaani mam,boa mbayo yanaharibu udhu.

Kabla ya kuona mabo ambayo yanaharibu udhu vyema kwanza tujuwe mambo ambayo yanalazimu kuwa mtu awe na udhu. Mambo jhayo ni kama swala. hata hivyo yapo ambayo yanapendeza uwe na udhu kama kusoma Quran. 

 

Mambo yanayoharibu udhu:

1. Kutokwa na ndogo (mkojo)

2. kutokwa na haja kubwa

3. kutokwa na upepo (kujamba)

4. Kulala tofauti na mlalo wa kuambatanisha makalio ardhini

5. kuzimia

6. kutokwa na madii

7. kutokwa na madhii

8. Kutokwa na hedhi

9. Kutokwa na damu ya ugonjwa

10. Kulewa ama ulevi

11. Kutokwa na akili

 

Pia mambo yafuatayo kuna kutokukubaliana kwa maulamaa kuhusu kutokwa na udhu. Wengine wanakubali lakini wengine wanakataa. Mambo hayo ni kama:-

1. Kumgusa mwanamke ambaye ni halali kumuoa ama mkeo

2. Kumbusu

3. Kugusa sehemu za siri

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 4599

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana: