MADHARA YA FANGASI.


image


Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema.


Madhara ya fangasi za ukeni.

1. Kwanza kabisa tunajua kuwa uke huwa na bakteria wake ambao usaidia kulinda uke kwa hiyo kutokana na matumizi mbalimbali yasiyofaa bakteria hao wanaweza kufa na kusababisha kuwepo kwa fangasi basi tunapaswa kujua vitu vinavyosababisha kuondoa hao bakteria na kuzuia kuwepo kwa fangasi na fangasi wakiwa wengi usababisha matatizo yafuatayo.

 

2. Usababisha Maambukizi kwenye via vya uzazi.

Kwa kawaida via vya uzazi vikishambuliwa usababisha matatizo makubwa kwa mfano Maambukizi kwenye ovay, maambukizi kwenye mirija ya vizazi na Maambukizi kwenye ovay kwa hiyo ni lazima kutibu mapema ili kuepuka matatizo hayo yote.

 

3. Fangasi usababisha ugumba.

Kama tulivyoona hapo mwanzoni ikiwa via vya uzazi vimeshambuliwa ni rahisi kupata ugumba kwa sababu mirija ya uzazi inakuwa imeshambulia na kuzuia mayai yasiweze kutoka kwenye ovary na kurutubishwa.

 

4.  Pia mashambulizi ya fangasi yakiwa mengi bila kutibiwa na kwa mda mrefu uweza kusababisha pia magonjwa ya kansa kwa hiyo ni vizuri kutibu mapema na pia kama kuna fangasi nyingi zinaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana, kwa hiyo ni vizuri kutumia kinga.

 

5. Kwa hiyo ni vizuri kutibu fangasi kwa wakati kwa sababu zinaleta madhara mengi ambayo ni pamoja na ugumba, maambukizi kwenye via vya uzazi na pia kuweza kusambaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine au kutoka kwa mwingine wakati wa kujamiiana.

 

6. Kwa hiyo kwa wale wanaojamiiana wanapaswa kutumia kinga ili kuweza kupunguza Maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuepuka hatari kama vile ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    2 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    3 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Magonjwa na afya    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Vidonda vya tumbo chanzo chake na dalili zake
Katika post hii utajifunz akuhusu vidonda vya tumbo na jinsi vinavyotokea. Utajifunza pia tahadhari anazopasa mtu achukuwe na vyakula salama anavyopaswa kula. Soma Zaidi...

image Njia za kushusha presha
Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda. Soma Zaidi...

image Dalili za saratani ya ini
Posti hii inahusu zaidi dalili za saratani ya ini, ni baadhi ya Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na kuona kwamba mtu fulani ana saratani ya ini. Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa ,kwa kawaida Ugonjwa huu utokea kuanzia kwenye wiki ya pili mpaka mwaka mmoja na hapo Ugonjwa unakuwa bado haujaonesha Dalili na Dalili zikishaonekana ni vigumu kutibika. Soma Zaidi...

image Sababu ya maumivu ya magoti.
Posti hii inahusu zaidi sababu za maumivu ambayo yanasikika kwenye magoti, huu ni ugonjwa ambao umewapata walio wengi na bado ni kilio kwa walio wengi kwa vijana na kwa wazee, Kuna wataalamu mbalimbali ambao wameweza kugundua sababu za maumivu kwenye magoti kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Nna swali mimi nimefanya Romance na mtu ambaye sijampima kbsa sasa naogopa anaeza kuwa mgonjwa na mm nkaupata
Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa? Soma Zaidi...

image Heti kama mtu kafany mapenzi na mtu mwe ukimwi siku hihiyo akenda hospitali kapewa dawa kweli hataweza kuwabukizwa
Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza. Soma Zaidi...

image je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo?
Dalili za minyoo zipo nyingi kama kuumwa na tumbo, tumbo kujaa gesi, uchovu, kukosa hamu ya kula, kupata choo chenye uteute na kupunguwa uzito. je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo? Soma Zaidi...

image Njia za kuondokana na fangasi
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuweza kupambana na fangasi za ukeni ili kuweza kujiepusha na madhara mbalimbali kwenye maisha ambayo ni pamoja na ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi. Soma Zaidi...

image Sababu za kuwepo fangasi ukeni
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi. Soma Zaidi...