Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema.
1. Kwanza kabisa tunajua kuwa uke huwa na bakteria wake ambao usaidia kulinda uke kwa hiyo kutokana na matumizi mbalimbali yasiyofaa bakteria hao wanaweza kufa na kusababisha kuwepo kwa fangasi basi tunapaswa kujua vitu vinavyosababisha kuondoa hao bakteria na kuzuia kuwepo kwa fangasi na fangasi wakiwa wengi usababisha matatizo yafuatayo.
2. Usababisha Maambukizi kwenye via vya uzazi.
Kwa kawaida via vya uzazi vikishambuliwa usababisha matatizo makubwa kwa mfano Maambukizi kwenye ovay, maambukizi kwenye mirija ya vizazi na Maambukizi kwenye ovay kwa hiyo ni lazima kutibu mapema ili kuepuka matatizo hayo yote.
3. Fangasi usababisha ugumba.
Kama tulivyoona hapo mwanzoni ikiwa via vya uzazi vimeshambuliwa ni rahisi kupata ugumba kwa sababu mirija ya uzazi inakuwa imeshambulia na kuzuia mayai yasiweze kutoka kwenye ovary na kurutubishwa.
4. Pia mashambulizi ya fangasi yakiwa mengi bila kutibiwa na kwa mda mrefu uweza kusababisha pia magonjwa ya kansa kwa hiyo ni vizuri kutibu mapema na pia kama kuna fangasi nyingi zinaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana, kwa hiyo ni vizuri kutumia kinga.
5. Kwa hiyo ni vizuri kutibu fangasi kwa wakati kwa sababu zinaleta madhara mengi ambayo ni pamoja na ugumba, maambukizi kwenye via vya uzazi na pia kuweza kusambaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine au kutoka kwa mwingine wakati wa kujamiiana.
6. Kwa hiyo kwa wale wanaojamiiana wanapaswa kutumia kinga ili kuweza kupunguza Maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuepuka hatari kama vile ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya maradhi haya ya ukimwi, dalili zake, tiba na kinga zake na mengineyo zaidi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Njia za kufanya Ili kupunguza maumivu ya tatizo la uti wa mgongo, ni njia unazopaswa kufanya pale unapokuwa na tatizo la uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...Haya ni maradhi ambayo husambazwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu kwa kupitia mbu.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kula kupindukia ni ugonjwa mbaya wa ulaji ambapo mara kwa mara unatumia kiasi kikubwa cha chakula na kuhisi huwezi kuacha kula.
Soma Zaidi...Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu na kwa kitaalamu huitwa retention of urine.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuรขยโ
Soma Zaidi...Posti hii inahusu dalili za figo.figo husawazisha maji mwilini pamoja na kuchuja mkojo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu kiungulia kwa wanawake wajawazito na tiba yake, ni ugonjwa au hali inayowapata wajawazito walio wengi kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...