Madhara ya fangasi.


image


Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema.


Madhara ya fangasi za ukeni.

1. Kwanza kabisa tunajua kuwa uke huwa na bakteria wake ambao usaidia kulinda uke kwa hiyo kutokana na matumizi mbalimbali yasiyofaa bakteria hao wanaweza kufa na kusababisha kuwepo kwa fangasi basi tunapaswa kujua vitu vinavyosababisha kuondoa hao bakteria na kuzuia kuwepo kwa fangasi na fangasi wakiwa wengi usababisha matatizo yafuatayo.

 

2. Usababisha Maambukizi kwenye via vya uzazi.

Kwa kawaida via vya uzazi vikishambuliwa usababisha matatizo makubwa kwa mfano Maambukizi kwenye ovay, maambukizi kwenye mirija ya vizazi na Maambukizi kwenye ovay kwa hiyo ni lazima kutibu mapema ili kuepuka matatizo hayo yote.

 

3. Fangasi usababisha ugumba.

Kama tulivyoona hapo mwanzoni ikiwa via vya uzazi vimeshambuliwa ni rahisi kupata ugumba kwa sababu mirija ya uzazi inakuwa imeshambulia na kuzuia mayai yasiweze kutoka kwenye ovary na kurutubishwa.

 

4.  Pia mashambulizi ya fangasi yakiwa mengi bila kutibiwa na kwa mda mrefu uweza kusababisha pia magonjwa ya kansa kwa hiyo ni vizuri kutibu mapema na pia kama kuna fangasi nyingi zinaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana, kwa hiyo ni vizuri kutumia kinga.

 

5. Kwa hiyo ni vizuri kutibu fangasi kwa wakati kwa sababu zinaleta madhara mengi ambayo ni pamoja na ugumba, maambukizi kwenye via vya uzazi na pia kuweza kusambaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine au kutoka kwa mwingine wakati wa kujamiiana.

 

6. Kwa hiyo kwa wale wanaojamiiana wanapaswa kutumia kinga ili kuweza kupunguza Maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuepuka hatari kama vile ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Chini ya Tumbo langu Kuna uchungu lakini si sana shinda ni ni?
Nini kinasababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu? Soma Zaidi...

image Dalili za za kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu
Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu. Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia ugonjwa wa kisonono
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo utumiwa Ili kuweza kuzuia kuwepo ugonjwa wa kisonono, kwa kufuata njia hizi ugonjwa huu wa kisonono unaweza kupungua kwa kiasi au kuisha kabisa. Soma Zaidi...

image Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno
Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume. Soma Zaidi...

image je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo?
Dalili za minyoo zipo nyingi kama kuumwa na tumbo, tumbo kujaa gesi, uchovu, kukosa hamu ya kula, kupata choo chenye uteute na kupunguwa uzito. je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo? Soma Zaidi...

image Mambo yanayoweza kudhoofisha kinga ya mwili
Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili? Soma Zaidi...

image Matibabu ya vidonda vya tumbo
Makala hii inakwenda kukufundisha kuhusu matibabu ya vidonda vyatumbo. Pia utajifunza kwa nini kunakuwa na vidonda vya tumbo sugu. Soma Zaidi...

image Njia za jumla za kujikinga na magonjwa mbalimbali
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kujikinga na magonjwa, kwa kawaida tunajua wazi kuwa magonjwa yapo na yanasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na mengine hayasambai yanaweza kumpata mtu mmoja akapona au magonjwa mengine si ya kupona kabisa Bali tunaishi nayo na kufuata mashart ya kupunguza makali ya ugonjwa. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema. Soma Zaidi...

image Hatua za kupambana na ugonjwa wa UTI
Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu. Soma Zaidi...