CSS - somo la 4: Aina za css selecto
Katika somo hili uatkwenda kujifunza aina za css selectors
Aina za selector
Katika css selectors unaweza kuzigawa katika makundi ma nne abayo ni kama:-
- Element selectors
- Class selectors
- Id selectors
- Group selectos
- Universal selector
1. Element selectors
Hizi ni zile selector ambazo zinatarget element za html, kama vile heading kwa <h1>, paragraph kwa <p>, bolding kwa <b> na kuendelea.
b{color: red;
font-family: "Times New Roman";
text-align: center;
}
Hii imetagget b
2. Class selectors
Hizi hutumika wakati ambapo unataka ku target element zaidi ya moja. Unapotumia class selector internal css na external css hazitaweza kufanya kazi katika element husika tu na sio kwa parent element ya hiyo child element. Hii ni nzuri sana kwa kuwa haiwezi kuathiri element nyinginezo kwani haifanyi kazi mpaka iitwe.
Uandishi wa class
Kwanza utaweka nukta yaani period (.) ama doti ilifuatiwa na jina la class likifuatiwa na mabano{} ambapo ndani ya mabano hayo ndipo utaweka code za css. Mfano tunatengeneza claaa tutakayoiita muhimu hii itakuwa na style hizi: rangi nyekundu, font 200%, font-family arial
No.muhimu{
font-size: 200%;
font-family: Arial;
color: red;
}
Ili kuweza kuitumia class hiyo kwenye element unayo target utaiitwa kwa kuanza kuandika neno class likifuatiwa na alama ya = likufuatiwa na alama za kunukuu, ndani yake weka jina la class.
<p class="muhimu">Karibu bongoclass</p>
Class hiyo unaweza kuitumia katika element yeyote ile unayohitaji iwe na style hiyo. Na hakuna kikomo juu ya matumiazi yake. Jambo la kuzingatia ni kuwa class itaathiriwa na parent style. Kwa mfano kwenye <body> tuliweka text background colo iwe red, sasa hiyo background color itaendelea kwenye class yetu lamda na sisi kwenye class tu set background ntingine.
Pia zingatia kuwa jina la class halitakiwi kuanza na namba ama space (empty space)
3. ID selectors
Hizi hutumika pale unapo target element moja tu. Element inaweza kuwa na class zaidi ya Moja, lak...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 ai web app 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
CSS - SOMO LA 25: CSS Shorthand Properties
Katika somo hili tutajifunza kwa kina kuhusu CSS Shorthand Properties — ni nini, jinsi zinavyofanya kazi, faida zake, na mifano mbalimbali ya kutumia shorthand kuandika CSS kwa njia fupi na bora zaidi.
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 19: Pseudo-classes na Pseudo-elements
Katika somo hili, utajifunza kuhusu pseudo-classes kama :hover, :first-child, na :last-child, pamoja na pseudo-elements kama ::before, ::after, na ::selection. Hizi husaidia kubadili au kuongeza mitindo maalum kulingana na hali ya elementi au sehemu maalum ya elementi.
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 14: Position Property
Katika somo hili utajifunza kuhusu property ya position katika CSS, ambayo hutumika kuamua jinsi element inavyowekwa ndani ya ukurasa. Tutajifunza aina tano kuu za position: static, relative, absolute, fixed, na sticky.
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 8: Upambaji wa Maandishi (Text Styling)
Katika somo hili, utajifunza mbinu mbalimbali za kubadilisha muonekano wa maandishi kwa kutumia CSS, kama vile kupamba maandishi kwa mistari, kivuli, nafasi kati ya herufi, na mpangilio wa maneno.
Soma Zaidi...CSS - somo la 5: Njia tano zinazotumika kuweka rangi kwenye css
Katika somo hili utajifunza aina tano za kuweka rangi kw akutumia css
Soma Zaidi...CSS - SOMO LA 27: Kutumia @import Katika CSS
Katika somo hili, tutajifunza kuhusu @import — amri inayotumika kuingiza faili moja la CSS ndani ya jingine. Tutaona namna ya kuitumia, faida zake, hasara zake, na tofauti kati yake na njia mbadala ya <link> ndani ya HTML.
Soma Zaidi...