CSS - somo la 4: Aina za css selecto

Katika somo hili uatkwenda kujifunza aina za css selectors

Aina za selector

Katika css selectors unaweza kuzigawa katika makundi ma nne abayo ni kama:-

  1. Element selectors
  2. Class selectors
  3. Id selectors
  4. Group selectos
  5. Universal selector


 

1. Element selectors

Hizi ni zile selector ambazo zinatarget element za html, kama vile heading kwa <h1>, paragraph kwa <p>, bolding kwa <b> na kuendelea.

b{color: red;

 font-family: "Times New Roman";

 text-align: center;

}

Hii imetagget b

 

2. Class selectors

 

Hizi hutumika wakati ambapo unataka ku target element zaidi ya moja. Unapotumia class selector internal css na external css hazitaweza kufanya kazi katika element husika tu na sio kwa parent element ya hiyo child element. Hii ni nzuri sana kwa kuwa haiwezi kuathiri element nyinginezo kwani haifanyi kazi mpaka iitwe.

 

Uandishi wa class

Kwanza utaweka nukta yaani period (.) ama doti ilifuatiwa na jina la class likifuatiwa na mabano{} ambapo ndani ya mabano hayo ndipo utaweka code za css. Mfano tunatengeneza claaa tutakayoiita muhimu hii itakuwa na style hizi: rangi nyekundu, font 200%, font-family arial

No.muhimu{

   font-size: 200%;

   font-family: Arial;

   color: red;

}

 

Ili kuweza kuitumia class hiyo kwenye element unayo target utaiitwa kwa kuanza kuandika neno class likifuatiwa na alama ya = likufuatiwa na alama za kunukuu, ndani yake weka jina la class. 

<p class="muhimu">Karibu bongoclass</p>

Class hiyo unaweza kuitumia katika element yeyote ile unayohitaji iwe na style hiyo. Na hakuna kikomo juu ya matumiazi yake. Jambo la kuzingatia ni kuwa class itaathiriwa na parent style. Kwa mfano kwenye <body> tuliweka text background colo iwe red, sasa hiyo background color itaendelea kwenye class yetu lamda na sisi kwenye class tu set background ntingine.

 

Pia zingatia kuwa jina la class halitakiwi kuanza na namba ama space (empty space)

 

3. ID selectors

Hizi hutumika pale unapo target element moja tu. Element inaweza kuwa na class zaidi ya Moja, lakini haiwezi kuwa na Id zaidi ya Moja.

 

Pia id huzingatiwa mwanzo kuliko class wakati ukurasa wa wavuti unapofunguliwa kwenye browser.

Aw

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: CSS Main: ICT File: Download PDF Views 603

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 web hosting    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

CSS - somo la 3: syntax za css yaani sheria za uandishi wa css

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandish wa css yaani syntax za css

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 31: CSS Filters (blur, brightness, contrast.)

Katika somo hili tutajifunza kuhusu CSS Filters — mitindo inayotumika kuhariri mwonekano wa picha, video, au elementi nyingine kwa kuongeza athari kama blur, brightness, contrast, grayscale, na nyinginezo. Hii huifanya tovuti kuwa ya kisasa, ya kuvutia, na yenye mwingiliano mzuri.

Soma Zaidi...
CSS - somo la 2: Jinsi ya ku weka code za css kwenye HTML

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku install css kwenye ukurasa wa html

Soma Zaidi...
CSS - somo la 1: Maana ya CSS, kazi zake na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya CSS, pia nitakujulisha kazi zake. Mwisho utatambuwa historia ya CSS toka kuanzishwa.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 13: Display Property

Katika somo hili utajifunza kuhusu property muhimu ya CSS inayoitwa display, ambayo huamua jinsi element inavyoonyeshwa kwenye ukurasa. Tutachambua aina kuu za display: block, inline, inline-block, na none.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 22: CSS Transition na Animation

Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuleta miondoko na harakati kwenye tovuti kwa kutumia CSS Transitions na Animations. Hii itasaidia kuboresha muonekano na matumizi ya tovuti.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 7: Kutumia Fonti (Fonts) kwenye CSS

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kudhibiti mwonekano wa maandishi kwa kutumia fonti kwenye CSS. Utajifunza jinsi ya kubadilisha aina ya fonti, ukubwa, mtindo, unene, na mpangilio wa maandishi ili yaweze kuonekana kwa mvuto na usomaji bora.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 30: CSS Functions – calc(), clamp(), var(), min(), max() na Custom Functions

Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS functions muhimu zinazotumika kufanya mahesabu, kuweka vipimo vya kisasa vinavyobadilika kulingana na hali ya kifaa, na kutumia variables. Tutazingatia functions kama: calc(), clamp(), var(), min(), max(), na mwishoni tutajifunza jinsi ya kutengeneza custom function kwa kutumia variables.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 26: CSS Specificity (Kipaumbele cha Styles)

Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS Specificity — yaani mfumo wa kipaumbele unaotumiwa na kivinjari kuchagua ni mtindo (style) upi utumike iwapo kuna migongano kati ya selectors mbalimbali. Utaelewa jinsi ya kupanga selectors zako vizuri ili kuzuia matatizo ya mitindo kutofanya kazi kama ulivyotarajia.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 10: Box Model katika CSS

Katika somo hili utajifunza muundo wa boksi (Box Model) katika CSS. Box model ni mfumo wa msingi wa kupanga vipengele katika ukurasa wa HTML, ukiwa na sehemu kuu nne: content, padding, border, na margin.

Soma Zaidi...