CSS - somo la 4: Aina za css selecto

Katika somo hili uatkwenda kujifunza aina za css selectors

Aina za selector

Katika css selectors unaweza kuzigawa katika makundi ma nne abayo ni kama:-

  1. Element selectors
  2. Class selectors
  3. Id selectors
  4. Group selectos
  5. Universal selector


 

1. Element selectors

Hizi ni zile selector ambazo zinatarget element za html, kama vile heading kwa <h1>, paragraph kwa <p>, bolding kwa <b> na kuendelea.

b{color: red;

 font-family: "Times New Roman";

 text-align: center;

}

Hii imetagget b

 

2. Class selectors

 

Hizi hutumika wakati ambapo unataka ku target element zaidi ya moja. Unapotumia class selector internal css na external css hazitaweza kufanya kazi katika element husika tu na sio kwa parent element ya hiyo child element. Hii ni nzuri sana kwa kuwa haiwezi kuathiri element nyinginezo kwani haifanyi kazi mpaka iitwe.

 

Uandishi wa class

Kwanza utaweka nukta yaani period (.) ama doti ilifuatiwa na jina la class likifuatiwa na mabano{} ambapo ndani ya mabano hayo ndipo utaweka code za css. Mfano tunatengeneza claaa tutakayoiita muhimu hii itakuwa na style hizi: rangi nyekundu, font 200%, font-family arial

No.muhimu{

   font-size: 200%;

   font-family: Arial;

   color: red;

}

 

Ili kuweza kuitumia class hiyo kwenye element unayo target utaiitwa kwa kuanza kuandika neno class likifuatiwa na alama ya = likufuatiwa na alama za kunukuu, ndani yake weka jina la class. 

<p class="muhimu">Karibu bongoclass</p>

Class hiyo unaweza kuitumia katika element yeyote ile unayohitaji iwe na style hiyo. Na hakuna kikomo juu ya matumiazi yake. Jambo la kuzingatia ni kuwa class itaathiriwa na parent style. Kwa mfano kwenye <body> tuliweka text background colo iwe red, sasa hiyo background color itaendelea kwenye class yetu lamda na sisi kwenye class tu set background ntingine.

 

Pia zingatia kuwa jina la class halitakiwi kuanza na namba ama space (empty space)

 

3. ID selectors

Hizi hutumika pale unapo target element moja tu. Element inaweza kuwa na class zaidi ya Moja, lakini haiwezi kuwa na Id zaidi ya Moja.

 

Pia id huzingatiwa mwanzo kuliko class wakati ukurasa wa wavuti unapofunguliwa kwenye browser.

Aw

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: CSS Main: ICT File: Download PDF Views 702

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 web hosting    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

CSS - SOMO LA 29: CSS z-index na Stacking Context

Katika somo hili tutajifunza kuhusu z-index, ambayo hutumika kudhibiti ni elementi ipi ionekane juu au chini wakati kuna elementi nyingi zinazofunika sehemu moja. Pia tutajifunza kuhusu stacking context, yaani jinsi vivinjari vinavyopanga

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 19: Pseudo-classes na Pseudo-elements

Katika somo hili, utajifunza kuhusu pseudo-classes kama :hover, :first-child, na :last-child, pamoja na pseudo-elements kama ::before, ::after, na ::selection. Hizi husaidia kubadili au kuongeza mitindo maalum kulingana na hali ya elementi au sehemu maalum ya elementi.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 8: Upambaji wa Maandishi (Text Styling)

Katika somo hili, utajifunza mbinu mbalimbali za kubadilisha muonekano wa maandishi kwa kutumia CSS, kama vile kupamba maandishi kwa mistari, kivuli, nafasi kati ya herufi, na mpangilio wa maneno.

Soma Zaidi...
CSS - somo la 3: syntax za css yaani sheria za uandishi wa css

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandish wa css yaani syntax za css

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 28: CSS Timing Functions

Katika somo hili tutajifunza kuhusu CSS Timing Functions, ambazo hutumika kudhibiti kasi na mtiririko wa transition na animation. Utaelewa tofauti kati ya ease, linear, ease-in, ease-out, ease-in-out, pamoja na jinsi ya kutumia cubic-bezier() kwa kudhibiti mwendo wa mabadiliko kwenye elementi.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 9: Margin na Padding

Katika somo hili utajifunza tofauti kati ya margin na padding, kazi ya kila moja, jinsi ya kuzipima, na jinsi zinavyotumika kudhibiti nafasi ndani na nje ya elementi kwenye ukurasa wa HTML.

Soma Zaidi...
CSS - somo la 2: Jinsi ya ku weka code za css kwenye HTML

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku install css kwenye ukurasa wa html

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 27: Kutumia @import Katika CSS

Katika somo hili, tutajifunza kuhusu @import — amri inayotumika kuingiza faili moja la CSS ndani ya jingine. Tutaona namna ya kuitumia, faida zake, hasara zake, na tofauti kati yake na njia mbadala ya <link> ndani ya HTML.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 32: Custom Fonts na @font-face

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia fonts za kipekee (custom fonts) katika tovuti kwa kutumia njia mbili kuu: Google Fonts na @font-face. Tutajifunza pia sababu za kutumia fonts maalum, faida zake, na jinsi ya kuzidhibiti kwenye CSS.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 15: Float na Clear katika CSS

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia float ili kupanga elementi upande wa kushoto (left) au kulia (right). Pia utajifunza jinsi ya kutumia clear kuondoa athari za float na kuhakikisha layout yako inabaki thabiti.

Soma Zaidi...