MADHARA YA UGONJWA WA UKIMWI KWENYE JAMII.


image


Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa Ugonjwa huu wa ukimwi ukishasmbaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuleta madhara makubwa kama ifuatavyo.


Madhara ya ugonjwa wa ukimwi kwa jamii.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kwamba Ukimwi ni Ugonjwa ambao hauna dawa na umeweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuleta madhara katika jamii kwa hiyo tunapaswa kujiadhari na ugonjwa huu kwa sababu hauna dawa na unasababisha kifo kwa kuwepo kwa Ugonjwa huu kuna madhara au matokeo hasi yaliyotokana na Ugonjwa huu kama ifuatavyo.

 

 

 

 

2. Kushuka kwa uchumi wa nchi.

Kwa sababu selikali inatumia hela kubwa kununua vidonge vya kupunguza nguvu za virusi na kutumia pesa kwa kulipa mishahara wafanyakazi wanaohusika na kutoa dawa, na pia kutoa semina mbalimbali kutoka sehemu moja kwenda nyingine ili kuhamasisha watu wapime na kujua afya zao, kwa kufanya hivyo uchumi unashuka badala ya pesa hizo zingetumika kujenga barabara na shughuli nyingine za kimaendeleo, kwa hiyo kuwepo kwa gonjwa hili kumesababisha kushuka kwa uchumi.

 

 

 

 

3. Pia kuwepo kwa Ugonjwa huu kumesababisha vifo vya wapendwa wetu,ambapo kumesababisha kuwepo kwa watoto wengi wa mitaani na yatima kila kona kwa sababu ya kutokuwepo mtu wa kuwatunza na kuwapatia mahitaji yao, hali ambayo Usababisha kuongezeka kwa vituo vya watoto yatima na watoto wa mitaani.

 

 

 

 

 

4. Vile vie kuwepo kwa Ugonjwa huu kumesababisha kuongezeka kwa Magonjwa mengine kwa sababu kinga ya mwili inaposhuka tu na Magonjwa nyemelezi yanaongezeka kwa hiyo kuna Magonjwa yaliyosababishwa na kushusha kwa immunity kama vile kifua kikuu, kuharisha na magonjwa mengine kama hayo.

 

 

 

 

 

5.Kuwepo kwa Ugonjwa huu kumesababisha kuongezeka kwa kiasi cha wagane na wajane kwenye jamii na pia vijana kushambuliwa na Ugonjwa huu na hivyo kupunguza nguvu kazi ya nchi.

 

 

 

6.Kwa hiyo jamii inapaswa kujua Ugonjwa huu na kujiwekea mikakati ili tuweze kupunguza idadi ya Maambukizi kwenye jamii zetu kwa sababu Tanzania bila Ukimwi inawezekana.

 

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    4 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    5 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    6 Magonjwa na afya    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Yaani minasumbuliwa na mgongo kuuma pia kuchoka mgongo na homa zisizo isha
Maumivu ya mgongo yanaweza kuwa ni dalili inayoonyesha tatizo fulani la kiafya ikiwemo magonjwa au majeraha. Soma Zaidi...

image Matokeo ya maumivu makali.
Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu makali. Soma Zaidi...

image Dalili na ishara za jeraha kwenye ngozi
Posti hii inaonyesha dalili,sababu na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyepata jeraha kwenye ngozi kwa kuingiliwa na kitu Kama mwiba,Pini,sindano n.k Soma Zaidi...

image Dalili za minyoo mviringo (ascariasis)
Ascariasis ni aina ya maambukizi ya minyoo mviringo. Minyoo hii ni vimelea wanaotumia mwili wako kama mwenyeji kukomaa kutoka kwa mabuu au mayai hadi minyoo wakubwa. Minyoo ya watu wazima, ambayo huzaa, inaweza kuwa zaidi ya futi (sentimita 30) kwa Soma Zaidi...

image Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.
Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe. Soma Zaidi...

image Dalili za presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za presha ya kushuka Soma Zaidi...

image Njia za kujilinda na kujikinga na UTI
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI Soma Zaidi...

image Ambao hawapaswi kupata chanjo
Posti hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kupewa chanjo, hawa ni wale ambao wana hali tofauti na ikitokea wakapata chanjo wanaweza kupata madhara badala ya kuwasaidia. Soma Zaidi...

image Sababu na dalili za ugonjwa wa Njia ya mkojo.
Ujue ugonjwa wa Njia ya mkojo unaoitwa urethra stricture. Ambapo kwenye hii posti inaonyesha dalili na Sababu zinazopelekea Njia ya mkojo kuwa ngumu,nyembamba,na kovu. Soma Zaidi...

image Ndugu mke Wang viungo vina mlegea miguu inamuaka moto nn tatozo
Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii. Soma Zaidi...