Menu



CSS - somo la 3: syntax za css yaani sheria za uandishi wa css

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandish wa css yaani syntax za css

Sheria za uandishi wa css yaani syntax za css.

Css ni moja katika lugha za ki kompyuta (computer language) ambayo ina sheria zilizo rahisi sana na ni chache. Ukishazijuwa hizo basi mabo yote yatakuwa sawa. 

 

Sheria za kuandka css zimezama kwenye mambo makuu mawili tu ambayo ni selector na declaration. Yaani code zote za css unaweza kuzigawa kwenye sehemu kuu hizi mbili ambazo ni selector na declaration.

 

Selectors: hii ni sehemu ambayo yenyewe inahusisha element za html. Yaani hapa ndipo tunakwenda kujuwa je hizo code za css zinahud element gani. Mfano ukisema

haloo

katika code hizi selector ni

ambapo inaonesha kuwa tuna target paragraph.

 

Declaration: hii ni sehemu ambayo inakwenda kuweka code za css. Declaration yenyewe imegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni property  na value. Kwa mfano katika mfano niliotoa hapo juu declaration ni color:yellow ambapo tunapata color ni property na yellow ni value.

 

Kwa ufupi selector ina kuwa na tag husika ya html na declaration inakuwa na protery pamoja na value. Declaration inakuwa kwenye mabano ya {}  kama utatumia internal css ama external css.

credit: w3schools

 

Selector inaweza kuwa zaidi ya moja na declaration pia inawezakuwa zaidi ya moja. Jambo la kuzingatia nikiwa unapotumia selector zaidi ya Moja utatakiwa kuzitenganisha kwa alama ya koma (,). Na unapotumia declation zaidi ya Moja utatenganisha kwa kutumia semicolon (;). Angalia mfano hapo chini

p, h1, u, i, b{

   color:blue;

   font-size:200%;

   background: red;

}

Katika code hizi selectors ni p, h1, u, i na b hizi zinatarget tag za html. Tag hizo ni <p>, <h1>, <u>, <i> na <b>. Kwa pamoja element hizo zote zitafuata style hiyo popote zitakapotumiwa.

 

Pia ha">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: CSS Main: Masomo File: Download PDF Views 440

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

CSS - somo la 2: Jinsi ya ku weka code za css kwenye HTML

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku install css kwenye ukurasa wa html

Soma Zaidi...
CSS - somo la 5: Njia tano zinazotumika kuweka rangi kwenye css

Katika somo hili utajifunza aina tano za kuweka rangi kw akutumia css

Soma Zaidi...
CSS - somo la 4: Aina za css selecto

Katika somo hili uatkwenda kujifunza aina za css selectors

Soma Zaidi...
CSS - somo la 1: Maana ya CSS, kazi zake na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya CSS, pia nitakujulisha kazi zake. Mwisho utatambuwa historia ya CSS toka kuanzishwa.

Soma Zaidi...