katika somo hili utajifunza jinsi ya ku install css kwenye ukurasa wa html
Utangulizi
Css ni kifupisho cha maneno cascading style sheet. Hii ni moja katika lugha za kompyuta ambazo hutumika katika kuboresha mtindo kwenye ukurasa wa wavuti. Hutumika kwenye HTML na XML. css ni style sheet angauage, hata hivyo haipo pekee kwenye kundi hili. Lugha nyingine za style ni kama:
Css ilianzishwa miaka ya 1990 na kuendelea. Historia a css imeanza punde tu baada ya tovuti ya kwnza kuchapishwa na watu wakaanza kutengeneza tovuti mbalimbali. Hivyo ikaonekana kunahitajika kuwepo na ubireshwaji wa muonekano.
Mwaka 1994 ndipo css ilianzishwa rasmi na Håkon Wium Lie na Bert Bos. Kutokea hapo css iliweza kukuw kwa kasi. Na kuanza kupata u maarufu. Mpaka sasa tupo toleo la 4 la css.
Kama nilivyotangulua kusema kuwa css hutumiaka kwenye HTML na xml katika course hii tutakwenda kujifunza kutumia css kwenye html. Tutajifunza kutumia style sheet kwneye xml kwenye course ya xml.
JINSI YA KU INSTALL CSS
Hakuna uhitaji wa ku install css ili uweze kuitumia kama zilivyo lugha nyingne. Unachotakiwa kufanya ni kuitumia moja kwa moja kwenye ukurasa wako wa wavuti kwenye html. Kuna njia kadhaa ambazo hutumika katika kutumia css kwenye faili la HTML. Njia hizo ni kama:-
Katika course hii tutakwenda kutumia njia hizo tatu za kwanza. Njia ya nne tutatjifunza kwenye course ya javascript level 1 na level 2.
In line css
Njia hii utakuwa na uzoefu nayo kwani tumesha itumia mara kadhaa kwenye course yetu ya html level 1 na level 2. Njia hii ni ile ya kutumia tag za css kwenye fali la html. Tag yenye we ni ile ya <style>. Kwa kutumia tag hii ndani ya html itakuwezesha kuweza kuandika code za css na zikaweza kufanya kazi.
Katika inline css tutaandika css ndani ya tag ya html kw akuanza na neno style likifatiwa na attribute zake. Tutakwenda kutumia code hizi kwenye mfano huu:-
<html>
<head>
<title>Bongoclass</title>
</head>
<body>
<p>Karibu bongoclass</p>
</body>
</html>
Mfano 1:
Tunataka kubadili nano karibu bongoclass kuwa na rangi ya buluu. Tutafanya hivi kwa kutumia in line css. Unachotakiwa kufanya ni kuweka style ndani ya tag ya <p>, ikifuatiwa na alama ya = kisha utaweka hizo attribute za css kwenye alama za kunukuu (“).
Uandishi wa attribute utakuwa hivi, kwanza utaweka jina la property likifuatiliwa na nukta pacha (:) ama colon, Kisha utaandika value. Mfano ikitaka rangi iwe ya buluu utaweka style="color:blue" katika mfano huo hapo neno color ndio property na neno blue ndio value.
Hivyo tag ya html <p>itasomeka hivi <p style ="color:blue">Karibu bongoclass</p>
Pia unaweza kuweka style zaidi ya Moja kwenye inline css. Kufanya hivyo utatenganisha style Moja na nyingine kwa kutumia alama ya semicolon yaani (;).
Mfano 2:
Katika mfano wetu huu tunataka kufanya maadhishi yawe makubwa kwa asilimia 200%. Kufanya hivi tutatumia property ya font-size kwa kuwa tunayo property ya color basi tutatenganisha kwa semicolon
">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili tutajifunza kuhusu CSS frameworks mbalimbali zinazosaidia kuharakisha uundaji wa mitindo kwenye tovuti. Tutazungumzia frameworks maarufu kama W3.CSS, Bootstrap, Google Fonts, na nyinginezo, faida, matumizi, na tofauti zao.
Soma Zaidi...Katika somo hili, utajifunza misingi ya CSS Grid Layout, mfumo wenye nguvu wa kupanga vipengele katika safu (rows) na nguzo (columns). Tutachambua display: grid, pamoja na grid-template-columns, grid-template-rows, gap, grid-column, na grid-row.
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza kuhusu @import — amri inayotumika kuingiza faili moja la CSS ndani ya jingine. Tutaona namna ya kuitumia, faida zake, hasara zake, na tofauti kati yake na njia mbadala ya <link> ndani ya HTML.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu property muhimu ya CSS inayoitwa display, ambayo huamua jinsi element inavyoonyeshwa kwenye ukurasa. Tutachambua aina kuu za display: block, inline, inline-block, na none.
Soma Zaidi...Simulizi hii inaelezea maisha ya nyuki dume, zinazojulikana kama drone. Inafafanua majukumu yao, maisha yao ya kila siku ndani ya kiwanda cha nyuki, na hatima yao baada ya kufanikisha kuzaliana na kifalme cha nyuki. Simulizi pia inaangazia tofauti zao na nyuki wa kike, na umuhimu wao katika uzazi wa kifalme.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandish wa css yaani syntax za css
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kudhibiti mwonekano wa maandishi kwa kutumia fonti kwenye CSS. Utajifunza jinsi ya kubadilisha aina ya fonti, ukubwa, mtindo, unene, na mpangilio wa maandishi ili yaweze kuonekana kwa mvuto na usomaji bora.
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza kipengele kipya kinachoitwa if() function ndani ya CSS, kilichoanza kupatikana kwenye toleo la Chrome 137. Kipengele hiki kinaturuhusu kuandika mantiki ya masharti moja kwa moja kwenye property ya CSS, bila kutumia JavaScript wala media query zilizotawanyika. Tutajifunza pia aina za queries: media(), supports(), na style() pamoja na matumizi yao ya kivitendo kwenye tovuti. Mwisho, tutaeleza kwa kina kuhusu pointer na any-pointer.
Soma Zaidi...Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kutumia media queries kwa ajili ya kutengeneza tovuti zinazojibadilisha kulingana na ukubwa wa skrini. Tutazungumzia @media rules, breakpoints, na dhana ya mobile-first design.
Soma Zaidi...Katika somo hili, utajifunza kuhusu pseudo-classes kama :hover, :first-child, na :last-child, pamoja na pseudo-elements kama ::before, ::after, na ::selection. Hizi husaidia kubadili au kuongeza mitindo maalum kulingana na hali ya elementi au sehemu maalum ya elementi.
Soma Zaidi...