katika somo hili utajifunza jinsi ya ku install css kwenye ukurasa wa html
Utangulizi
Css ni kifupisho cha maneno cascading style sheet. Hii ni moja katika lugha za kompyuta ambazo hutumika katika kuboresha mtindo kwenye ukurasa wa wavuti. Hutumika kwenye HTML na XML. css ni style sheet angauage, hata hivyo haipo pekee kwenye kundi hili. Lugha nyingine za style ni kama:
Css ilianzishwa miaka ya 1990 na kuendelea. Historia a css imeanza punde tu baada ya tovuti ya kwnza kuchapishwa na watu wakaanza kutengeneza tovuti mbalimbali. Hivyo ikaonekana kunahitajika kuwepo na ubireshwaji wa muonekano.
Mwaka 1994 ndipo css ilianzishwa rasmi na Håkon Wium Lie na Bert Bos. Kutokea hapo css iliweza kukuw kwa kasi. Na kuanza kupata u maarufu. Mpaka sasa tupo toleo la 4 la css.
Kama nilivyotangulua kusema kuwa css hutumiaka kwenye HTML na xml katika course hii tutakwenda kujifunza kutumia css kwenye html. Tutajifunza kutumia style sheet kwneye xml kwenye course ya xml.
JINSI YA KU INSTALL CSS
Hakuna uhitaji wa ku install css ili uweze kuitumia kama zilivyo lugha nyingne. Unachotakiwa kufanya ni kuitumia moja kwa moja kwenye ukurasa wako wa wavuti kwenye html. Kuna njia kadhaa ambazo hutumika katika kutumia css kwenye faili la HTML. Njia hizo ni kama:-
Katika course hii tutakwenda kutumia njia hizo tatu za kwanza. Njia ya nne tutatjifunza kwenye course ya javascript level 1 na level 2.
In line css
Njia hii utakuwa na uzoefu nayo kwani tumesha itumia mara kadhaa kwenye course yetu ya html level 1 na level 2. Njia hii ni ile ya kutumia tag za css kwenye fali la html. Tag yenye we ni ile ya <style>. Kwa kutumia tag hii ndani ya html itakuwezesha kuweza kuandika code za css na zikaweza kufanya kazi.
Katika inline css tutaandika css ndani ya tag ya html kw akuanza na neno style likifatiwa na attribute zake. Tutakwenda kutumia code hizi kwenye mfano huu:-
<html>
<head>
<title>Bongoclass</title>
</head>
<body>
<p>Karibu bongoclass</p>
</body>
</html>
Mfano 1:
Tunataka kubadili nano karibu bongoclass kuwa na rangi ya buluu. Tutafanya hivi kwa kutumia in line css. Unachotakiwa kufanya ni kuweka style ndani ya tag ya <p>, ikifuatiwa na alama ya = kisha utaweka hizo attribute za css kwenye alama za kunukuu (“).
Uandishi wa attribute utakuwa hivi, kwanza utaweka jina la property likifuatiliwa na nukta pacha (:) ama colon, Kisha utaandika value. Mfano ikitaka rangi iwe ya buluu utaweka style="color:blue" katika mfano huo hapo neno color ndio property na neno blue ndio value.
Hivyo tag ya html <p>itasomeka hivi <p style ="color:blue">Karibu bongoclass</p>
Pia unaweza kuweka style zaidi ya Moja kwenye inline css. Kufanya hivyo utatenganisha style Moja na nyingine kwa kutumia alama ya semicolon yaani (;).
Mfano 2:
Katika mfano wetu huu tunataka kufanya maadhishi yawe makubwa kwa asilimia 200%. Kufanya hivi tutatumia property ya font-size kwa kuwa tunayo property ya color basi tutatenganisha kwa semicolon
">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kutumia media queries kwa ajili ya kutengeneza tovuti zinazojibadilisha kulingana na ukubwa wa skrini. Tutazungumzia @media rules, breakpoints, na dhana ya mobile-first design.
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS Specificity — yaani mfumo wa kipaumbele unaotumiwa na kivinjari kuchagua ni mtindo (style) upi utumike iwapo kuna migongano kati ya selectors mbalimbali. Utaelewa jinsi ya kupanga selectors zako vizuri ili kuzuia matatizo ya mitindo kutofanya kazi kama ulivyotarajia.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu z-index, ambayo hutumika kudhibiti ni elementi ipi ionekane juu au chini wakati kuna elementi nyingi zinazofunika sehemu moja. Pia tutajifunza kuhusu stacking context, yaani jinsi vivinjari vinavyopanga
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia fonts za kipekee (custom fonts) katika tovuti kwa kutumia njia mbili kuu: Google Fonts na @font-face. Tutajifunza pia sababu za kutumia fonts maalum, faida zake, na jinsi ya kuzidhibiti kwenye CSS.
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS Variables, au Custom Properties. Utajifunza jinsi ya kuunda, kuitumia, na faida za kutumia variables katika CSS ili kuweka msimamizi mzuri wa rangi, ukubwa, na mitindo mingine ya kurudia-rudia.
Soma Zaidi...Simulizi hii inaelezea maisha ya nyuki dume, zinazojulikana kama drone. Inafafanua majukumu yao, maisha yao ya kila siku ndani ya kiwanda cha nyuki, na hatima yao baada ya kufanikisha kuzaliana na kifalme cha nyuki. Simulizi pia inaangazia tofauti zao na nyuki wa kike, na umuhimu wao katika uzazi wa kifalme.
Soma Zaidi...Katika somo hili, utajifunza kuhusu pseudo-classes kama :hover, :first-child, na :last-child, pamoja na pseudo-elements kama ::before, ::after, na ::selection. Hizi husaidia kubadili au kuongeza mitindo maalum kulingana na hali ya elementi au sehemu maalum ya elementi.
Soma Zaidi...Katika somo hili, utajifunza vipengele vya juu zaidi vya Flexbox: flex-wrap, flex-grow, flex-shrink, na flex-basis. Pia tutajifunza jinsi ya kujenga muundo wa safu (rows) na nguzo (columns) kwa kutumia Flexbox layout.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kwa kina kuhusu CSS Shorthand Properties — ni nini, jinsi zinavyofanya kazi, faida zake, na mifano mbalimbali ya kutumia shorthand kuandika CSS kwa njia fupi na bora zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti mipaka (borders) ya vipengele kwa kutumia CSS. Tutajifunza namna ya kuweka unene wa border, rangi, aina ya mstari, na pia jinsi ya kutumia border kwa upande mmoja tu.
Soma Zaidi...