Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
tengeneza faili jingine liite post_script.php faili hili litakuwa na kazi ya kupokea data kutoka kwenye faili la post.php kisha kuziingiza data hizo kwenye database. ksha tengeneza folda liite upload tutatumia folda hili kuhifadhi picha zetu
1. kwanza tutaanza na kuinclude fail la confg.php kwa ajlli ya kuunanisha na database.
2. kisha tutatumia $_POST[''] kwa ajili ya kupokea data kutoka kwenye html form
3. baada ya hapo tutatumia $_FILE kwa ajili ya kupokea data za faili la picha
4. baada ya kukusanya taarifa zote muhimu tutaelekea kwenye kuingiza data kwenye database
5. mwisho tuta upload faili kwenye folda la upload.
CODE ZOTE HIZO HAPO CHINI
include "config.php";
if (isset($_POST['submit'])) {
//start code
// form variables
$title = $_POST['title'];
$summary = $_POST['summary'];
$content = $_POST['content'];...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP
Soma Zaidi...Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
Soma Zaidi...