Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
tengeneza faili jingine liite post_script.php faili hili litakuwa na kazi ya kupokea data kutoka kwenye faili la post.php kisha kuziingiza data hizo kwenye database. ksha tengeneza folda liite upload tutatumia folda hili kuhifadhi picha zetu
1. kwanza tutaanza na kuinclude fail la confg.php kwa ajlli ya kuunanisha na database.
2. kisha tutatumia $_POST[''] kwa ajili ya kupokea data kutoka kwenye html form
3. baada ya hapo tutatumia $_FILE kwa ajili ya kupokea data za faili la picha
4. baada ya kukusanya taarifa zote muhimu tutaelekea kwenye kuingiza data kwenye database
5. mwisho tuta upload faili kwenye folda la upload.
CODE ZOTE HIZO HAPO CHINI
include "config.php";
if (isset($_POST['submit'])) {
//start code
// form variables
$title = $_POST['title'];
$summary = $_POST['summary'];
$content = $_POST['content'];...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()
Soma Zaidi...