Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
tengeneza faili jingine liite post_script.php faili hili litakuwa na kazi ya kupokea data kutoka kwenye faili la post.php kisha kuziingiza data hizo kwenye database. ksha tengeneza folda liite upload tutatumia folda hili kuhifadhi picha zetu
1. kwanza tutaanza na kuinclude fail la confg.php kwa ajlli ya kuunanisha na database.
2. kisha tutatumia $_POST[''] kwa ajili ya kupokea data kutoka kwenye html form
3. baada ya hapo tutatumia $_FILE kwa ajili ya kupokea data za faili la picha
4. baada ya kukusanya taarifa zote muhimu tutaelekea kwenye kuingiza data kwenye database
5. mwisho tuta upload faili kwenye folda la upload.
CODE ZOTE HIZO HAPO CHINI
include "config.php";
if (isset($_POST['submit'])) {
//start code
// form variables
$title = $_POST['title'];
$summary = $_POST['summary'];
$content = $_POST['content'];
$publisher = $_POST['pu">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Project File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 514
Sponsored links
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
kitabu cha Simulizi
PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog
Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu Soma Zaidi...
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia
Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako Soma Zaidi...
PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP
Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake. Soma Zaidi...
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO
Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete. Soma Zaidi...
PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto Soma Zaidi...
PHP somo la 73: Maana ya http header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header. Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog
HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog Soma Zaidi...
PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html
Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables Soma Zaidi...
PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php
Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php Soma Zaidi...