Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
Sasa tutakwenda kutengeneza html form kwa ajili ya ku post. Uurasa huu utauwa na sehemu ya ku upload picha. Pa sehemu ya kuchaguwa tarehe.
Uurasa huu tutatuita post.php. l upata maeleezo zad juu ya kutengeneza kurasa hizi rudi kwenye mafunzo yatu ya PHP. Pa tutatuma Cedtor plugin kwa ajili ya kuweka uwanja wa kuandika.
1. wanza tutatengeneza faili la css kwa ajili ya kuboresha muonekano wa ukurasa wetu.
Code hizo hapo chini
* {
box-sizing: border-box;
}
label {
padding: 12px 12px 12px 0;
display: inline-block;
}
input[type=text], select, textarea {
width: 100%;
padding: 12px;
border: 1px solid #ccc;
border-radius: 4px;
resize: vertical;
}
input[type=submit] {
background-color: #424ef5;
color: white;
padding: 12px 20px;
border: none;
border-radius: 4px;
cursor: pointer;
float: left;
}
input[type=submit]:hover {
background-color: #45a049;
}
@media screen and (max-width: 600px) {
.col-25, .col-75, input[type=submit] {
width: 100%;
margin-top: 0;
}
}
2. Kisha tutatengeneza faili sasa la html form kwa ajili ya kuandika post
Copy code hizo hapo chini
<html>
<head>
<title>create your post</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<script src="https://cdn.ckeditor.com/4.16.2/standard/ckeditor.js"></script>
<script src="ckeditor.js"></script>
<link rel="stylesheet" href="style.css">
</head>
<body>
<form action="post_script.php" meth">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
Soma Zaidi...