image

PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Sasa tutakwenda kutengeneza html form kwa ajili ya ku post. Uurasa huu utauwa na sehemu ya ku upload picha. Pa sehemu ya kuchaguwa tarehe.

 

Uurasa huu tutatuita post.php. l upata maeleezo zad juu ya kutengeneza kurasa hizi rudi kwenye mafunzo yatu ya PHP. Pa tutatuma Cedtor plugin kwa ajili ya kuweka uwanja wa kuandika.

 

1. wanza tutatengeneza faili la css kwa ajili ya kuboresha muonekano wa ukurasa wetu.

Code hizo hapo chini

* {
box-sizing: border-box;
}
label {
padding: 12px 12px 12px 0;
display: inline-block;
}
input[type=text], select, textarea {
width: 100%;
padding: 12px;
border: 1px solid #ccc;
border-radius: 4px;
resize: vertical;
}
input[type=submit] {
background-color: #424ef5;
color: white;
padding: 12px 20px;
border: none;
border-radius: 4px;
cursor: pointer;
float: left;
}
input[type=submit]:hover {
background-color: #45a049;
}
@media screen and (max-width: 600px) {
.col-25, .col-75, input[type=submit] {
width: 100%;
margin-top: 0;
}
}

 

2. Kisha tutatengeneza faili sasa la html form kwa ajili ya kuandika post

Copy code hizo hapo chini 

<html>
<head>
<title>create your post</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<script src="https://cdn.ckeditor.com/4.16.2/standard/ckeditor.js"></script>
<script src="ckeditor.js"></script>
<link rel="stylesheet" href="style.css">
</head>
<body>
<form action="post_script.php" method=&q">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 204


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection. Soma Zaidi...

Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP
Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email() Soma Zaidi...

PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable. Soma Zaidi...

PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form. Soma Zaidi...

PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class. Soma Zaidi...

PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP. Soma Zaidi...

PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf Soma Zaidi...

PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html
Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako Soma Zaidi...

PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia
Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako Soma Zaidi...

PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blo post kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost
Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse Soma Zaidi...