PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
Sasa tutakwenda kutengeneza html form kwa ajili ya ku post. Uurasa huu utauwa na sehemu ya ku upload picha. Pa sehemu ya kuchaguwa tarehe.
Uurasa huu tutatuita post.php. l upata maeleezo zad juu ya kutengeneza kurasa hizi rudi kwenye mafunzo yatu ya PHP. Pa tutatuma Cedtor plugin kwa ajili ya kuweka uwanja wa kuandika.
1. wanza tutatengeneza faili la css kwa ajili ya kuboresha muonekano wa ukurasa wetu.
Code hizo hapo chini
* {
box-sizing: border-box;
}
label {
padding: 12px 12px 12px 0;
display: inline-block;
}
input[type=text], select, textarea {
width: 100%;
padding: 12px;
border: 1px solid #ccc;
border-radius: 4px;
resize: vertical;
}
input[type=submit] {
background-color: #424ef5;
color: white;
padding: 12px 20px;
border: none;
border-radius: 4px;
cursor: pointer;
float: left;
}
input[type=submit]:hover {
background-color: #45a049;
}
@media screen and (max-width: 600px) {
.col-25, .col-75, input[type=submit] {
width: 100%;
margin-top: 0;
}
}
2. Kisha tutatengeneza faili sasa la html form kwa ajili ya kuandika post
Copy code hizo hapo chini
<html>
<head>
<title>create your post</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<script src="https://cdn.ckeditor.com/4.16.2/standard/ckeditor.js"></script>
<script src="ckeditor.js"></script>
<link rel="stylesheet" href="style.css">
</head>
<body>
<form action="post_script.php" method="post" enctype="multipart/form-data">
...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 ai web app 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function
Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...PHP somo la 54: class constant kwenye php
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link
Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.
Soma Zaidi...PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database
hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php
Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php
Soma Zaidi...PHP somo la 102: Cron job
atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic
Soma Zaidi...