HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog
Tengeneza faili lingine liite view.php kisha pest code hizo hapo chini. Tutatumia get method ili kuweza kupokea id ya post kutoka kwenye database. kisha tutatumia hiyo id ku fetch post husika
<?php
$id = $_GET['id'];
include "config.php";
$Soma = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM posts where id =$id");
while ($post = mysqli_fetch_array($Soma)){?>
<html lang="swa">
<head>
<title><?php echo $post['title']?></title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<style>
p{
margin: 0 auto;
">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance
Soma Zaidi...