Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Ili kuweza kuelewa vyema post hii tafadhali rejea mafunzo yetu ya php level 3 somo la 21 na 22 [1] utajifunza kwa urefu zaidi kuhusu sql injection na jinsi inavyofanya kazi. Kisha ndipo utajifunza jinsi ya kuzuia kwa kutumia prepared statement.
Pia ejea mafunzo haya kwa njia ya video kwenye channel yeu inayopatikana kwa jina la tehama-tz kwa link hii https://youtube.com/@tehama-tz
Hapa chini nitakuletea mafaili yaliyobadilishwa baada ya kyfanyiwa njia hii:
post.php
<html>
<head>
<title>create your post</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<script src="https://cdn.ckeditor.com/4.16.2/standard/ckeditor.js"></script>
<script src="ckeditor.js"></script>
<link rel="stylesheet" href="style.css">
</head>
<body>
<form action="" method="post" enctype="multipart/form-data">
<label for="title">Title</label><br>
<input type="text" name="title" placeholder="write your post title" id="title"><br>
<label for="summary">Summary</label><br>
<input type="text" name="summary" placeholder="write your post summary" id="summary"><br>
<label for="content">content</label><br>
<textarea name="content" id="content" placeholder="wrte your post content"></textarea>
<script>CKEDITOR.replace( 'content' );
</script>
<label for="publisher">publisher</label><br>
<input type="text" name="publisher" placeholder="write your post publisher" id="publisher"><br>
<label for="date">Date</label><br>
<input type="date" name="date" placeholder="write your post date" id="date"><br><br>
<label for="image">upload your image</label>
<input type="file" name="file" accept="image/*" id="image"><br><br>
<input type="submit" name="submit" value="submit">
</form>
<br><br>
</body>
</html>
<?php
include "config.php";
if (isset($_POST['submit'])) {
//start code
// form variables
$title = filter_var($_POST['title'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$summary = filter_var($_POST['summary'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$content = $_POST['content'];
$publisher = filter_var($_POST['publisher'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$date = filter_var($_POST['date'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$image = filter_var($_FILES['file']['name'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$folder = "upload/";
$location = $_FILES['file']['tmp_name'];
$size = $_FILES['file']['size']; //1024 = 1kb, 1024 kb = 1mb, 1024 = 1 gb 5*1024*1024 = 5242880">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php
Soma Zaidi...