 
                    Vijana wanaendelea kutimiza ahadi ya kusaidia wengine.
 
                    Baada ya Lemi na Silo kumaliza masomo yao kwenye chumba cha vioo sasa wanaamrishwa kurudi
 
                    Hatimaye kijana Jasiri ametimiza jukumu lake la kuleta maji kwneye kijiji chake, na kuleta umoja na mshikamano
 
                    HHatimaye maji yanawasili kijijini baada ya matukio mengi yaliotokea.
 
                    Kijana anathibitisha matumaini mapya mbele ya kijiji na wanakijiji
 
                    Hatimaye baada ya safari ndefu jasiri anafika kisimani, lakini je ataweza kuondoka na maji?
 
                    Jasiri anakalibia kuvuna matunda ya safari yake, ila bado kuna changamoto mbeleni
 
                    Nini kimefichwa ndani ya huo mlango wa siri
 
                    Kadiri safari inavyo endelea ndivyo maajabu zaidi yanatokea
 
                    Jasiri anazidi kufichuwa siri za mambo mengi katika safari yake.
 
                    Katika lango la giza kwenye mlima wa mbali Jasiri anakutana na vitisho vipya
 
                    Darasa la ajabu lnye mfanano na Nyoka aliyejikuna, hiki ni kituo kingine atakachopambana kijana Jasiri
 
                    Hatuwa inayofuata ni uwanja wa mawingu, wacha tuone kitakachotokea
 
                    Naam sasa kijana wetu Jasiri amewasili katika mji wa Giza, nini kitatokea, wacha tuendelee.
 
                    Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
 
                    Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
 
                    Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
 
                    Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
 
                    Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Mmoja katika wadau ameuliza kutoka whatsapp
 
                    Ndani ya Msitu Jasiri aliendelea kupata mafunzo
 
        
Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.