Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database
Transaction ni seti ya shughuli zinazofanyika kwenye database ambazo zinapaswa kutekelezwa kama kitengo kimoja cha kazi. Hii inamaanisha kuwa shughuli zote ndani ya transaction zinapaswa kufanyika kikamilifu au kutofanyika kabisa ili kuhakikisha data inabaki katika hali thabiti.
Mfano wa transaction:
Transactions hufuata kanuni za ACID, ambazo zinahakikisha uadilifu wa data:
Transaction kawaida hufuata hatua zifuatazo:
BEGIN TRANSACTION
.INSERT
, UPDATE
, na DELETE
yanafanyika.COMMIT
, ambayo huhifadhi mabadiliko kwenye database.ROLLBACK
.Hutangaza mwanzo wa transaction.
BEGIN TRANSACTION;
Huhifadhi mabadiliko yote yaliyofanyika ndani ya transaction.
COMMIT;
Hutengua mabadiliko yote yaliyofanyika ndani ya transaction ikiwa kuna hitilafu.
ROLLBACK;
Kuongeza pesa kwenye akaunti ya mtumiaji mmoja na kutoa pesa kwa mwingine:
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database
Soma Zaidi...Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface
Soma Zaidi...