Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database
Transaction ni seti ya shughuli zinazofanyika kwenye database ambazo zinapaswa kutekelezwa kama kitengo kimoja cha kazi. Hii inamaanisha kuwa shughuli zote ndani ya transaction zinapaswa kufanyika kikamilifu au kutofanyika kabisa ili kuhakikisha data inabaki katika hali thabiti.
Mfano wa transaction:
Transactions hufuata kanuni za ACID, ambazo zinahakikisha uadilifu wa data:
Transaction kawaida hufuata hatua zifuatazo:
BEGIN TRANSACTION.INSERT, UPDATE, na DELETE yanafanyika.COMMIT, ambayo huhifadhi mabadiliko kwenye database.ROLLBACK.Hutangaza mwanzo wa transaction.
BEGIN TRANSACTION;
Huhifadhi mabadiliko yote yaliyofanyika ndani ya transaction.
COMMIT;
Hutengua mabadiliko yote yaliyofanyika ndani ya transaction ikiwa kuna hitilafu.
ROLLBACK;
Kuongeza pesa kwenye akaunti ya mtumiaji mmoja na kutoa pesa kwa mwingine:
BEGIN TRANSACTION;
-- Toa pesa kutoka akaunti ya A
UPDATE Akaunti
SET salio = salio - 1000
WHERE akaunti_id = 1;
-- Ongeza pesa kwenye akaunti ya B
UPDATE Akaunti
SET salio = salio + 1000
WHERE akaunti_id = 2;
-- Hifadhi ma...Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.
Soma Zaidi...katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...