Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database
Transaction ni seti ya shughuli zinazofanyika kwenye database ambazo zinapaswa kutekelezwa kama kitengo kimoja cha kazi. Hii inamaanisha kuwa shughuli zote ndani ya transaction zinapaswa kufanyika kikamilifu au kutofanyika kabisa ili kuhakikisha data inabaki katika hali thabiti.
Mfano wa transaction:
Transactions hufuata kanuni za ACID, ambazo zinahakikisha uadilifu wa data:
Transaction kawaida hufuata hatua zifuatazo:
BEGIN TRANSACTION.INSERT, UPDATE, na DELETE yanafanyika.COMMIT, ambayo huhifadhi mabadiliko kwenye database.ROLLBACK.Hutangaza mwanzo wa transaction.
BEGIN TRANSACTION;
Huhifadhi mabadiliko yote yaliyofanyika ndani ya transaction.
COMMIT;
Hutengua mabadiliko yote yaliyofanyika ndani ya transaction ikiwa kuna hitilafu.
ROLLBACK;
Kuongeza pesa kwenye akaunti ya mtumiaji mmoja na kutoa pesa kwa mwingine:
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database
Soma Zaidi...katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake
Soma Zaidi...