Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.
View ni mtazamo wa kimantiki unaotokana na data ya moja au zaidi ya jedwali katika database. Ni kama jedwali lililojengwa kwa kutumia command (query), lakini halihifadhi data yenyewe. Badala yake, view huonyesha data moja kwa moja kutoka kwa jedwali/jedwali za chanzo kila wakati inapotumiwa.
View hutumika kwa madhumuni mbalimbali, kama:
Unapounda view, unatumia CREATE VIEW ikifuatana na swali linalochagua data inayohitajika.
Hapa tunaunda view inayoonyesha wanafunzi na madarasa yao:
CREATE VIEW Wanafunzi_Darasa AS
SELECT Wanafunzi.mwanafunzi_id, Wanafunzi.jina, Madarasa.jina_la_darasa
FROM Wanafunzi
JOIN Madarasa ON Wanafunzi.darasa_id = Madarasa.darasa_id;
Hii ni view inayoonyesha wanafunzi wa darasa maalum:
CREATE VIEW Wanafunzi_Darasa_A AS
SELECT mwanafunzi_id, jina
FROM Wanafunzi
WHERE darasa_id = 1;
Baada ya kuunda view, unaweza kuitumia kama unavyotumia jedwali la kawaida.
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database
Soma Zaidi...