Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.
View ni mtazamo wa kimantiki unaotokana na data ya moja au zaidi ya jedwali katika database. Ni kama jedwali lililojengwa kwa kutumia command (query), lakini halihifadhi data yenyewe. Badala yake, view huonyesha data moja kwa moja kutoka kwa jedwali/jedwali za chanzo kila wakati inapotumiwa.
View hutumika kwa madhumuni mbalimbali, kama:
Unapounda view, unatumia CREATE VIEW ikifuatana na swali linalochagua data inayohitajika.
Hapa tunaunda view inayoonyesha wanafunzi na madarasa yao:
CREATE VIEW Wanafunzi_Darasa AS
SELECT Wanafunzi.mwanafunzi_id, Wanafunzi.jina, Madarasa.jina_la_darasa
FROM Wanafunzi
JOIN Madarasa ON Wanafunzi.darasa_id = Madarasa.darasa_id;
Hii ni view inayoonyesha wanafunzi wa darasa maalum:
CREATE VIEW Wanafunzi_Darasa_A AS
SELECT mwanafunzi_id, jina
FROM Wanafunzi
WHERE darasa_id = 1;
Baada ya kuunda view, unaweza kuitumia kama unavyotumia jedwali la kawaida.
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.
Soma Zaidi...Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database
Soma Zaidi...