Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.
View ni mtazamo wa kimantiki unaotokana na data ya moja au zaidi ya jedwali katika database. Ni kama jedwali lililojengwa kwa kutumia command (query), lakini halihifadhi data yenyewe. Badala yake, view huonyesha data moja kwa moja kutoka kwa jedwali/jedwali za chanzo kila wakati inapotumiwa.
View hutumika kwa madhumuni mbalimbali, kama:
Unapounda view, unatumia CREATE VIEW ikifuatana na swali linalochagua data inayohitajika.
Hapa tunaunda view inayoonyesha wanafunzi na madarasa yao:
CREATE VIEW Wanafunzi_Darasa AS
SELECT Wanafunzi.mwanafunzi_id, Wanafunzi.jina, Madarasa.jina_la_darasa
FROM Wanafunzi
JOIN Madarasa ON Wanafunzi.darasa_id = Madarasa.darasa_id;
Hii ni view inayoonyesha wanafunzi wa darasa maalum:
CREATE VIEW Wanafunzi_Darasa_A AS
SELECT mwanafunzi_id, jina
FROM Wanafunzi
WHERE darasa_id = 1;
Baada ya kuunda view, unaweza kuitumia kama unavyotumia jedwali la kawaida.
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.
Soma Zaidi...katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
Soma Zaidi...