Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.
View ni mtazamo wa kimantiki unaotokana na data ya moja au zaidi ya jedwali katika database. Ni kama jedwali lililojengwa kwa kutumia command (query), lakini halihifadhi data yenyewe. Badala yake, view huonyesha data moja kwa moja kutoka kwa jedwali/jedwali za chanzo kila wakati inapotumiwa.
View hutumika kwa madhumuni mbalimbali, kama:
Unapounda view, unatumia CREATE VIEW ikifuatana na swali linalochagua data inayohitajika.
Hapa tunaunda view inayoonyesha wanafunzi na madarasa yao:
CREATE VIEW Wanafunzi_Darasa AS
SELECT Wanafunzi.mwanafunzi_id, Wanafunzi.jina, Madarasa.jina_la_darasa
FROM Wanafunzi
JOIN Madarasa ON Wanafunzi.darasa_id = Madarasa.darasa_id;
Hii ni view inayoonyesha wanafunzi wa darasa maalum:
CREATE VIEW Wanafunzi_Darasa_A AS
SELECT mwanafunzi_id, jina
FROM Wanafunzi
WHERE darasa_id = 1;
Baada ya kuunda view, unaweza kuitumia kama unavyotumia jedwali la kawaida.
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.
Soma Zaidi...katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.
Soma Zaidi...Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.
Soma Zaidi...