Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key
Katika MySQL, Primary Key na Foreign Key ni mihimili muhimu ya kuboresha usimamizi wa data na kuwezesha uhusiano kati ya jedwali tofauti. Mihimili hii inahakikisha kuwa data inabakia thabiti, safi, na inayohusiana kwa usahihi katika mfumo wa database.
Primary Key ni kitambulisho cha kipekee cha kila rekodi kwenye jedwali. Kila jedwali linaweza kuwa na Primary Key moja tu, na thamani za Primary Key haziwezi kujirudia wala kuwa na thamani tupu (NULL).
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa VARCHAR(10)
);
Hapa, mwanafunzi_id
ni Primary Key inayotambulisha kila mwanafunzi kipekee.
Foreign Key ni sehemu ya jedwali moja inayohusiana na Primary Key ya jedwali lingine. Inaonyesha uhusiano kati ya rekodi za jedwali tofauti.
CREATE TABLE Madarasa (
darasa_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina_la_darasa VARCHAR(20)
);
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa_id INT,
FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
);
Hapa, darasa_id
kwenye jedwali la Wanafunzi
ni Foreign Key inayohusiana na Primary Key ya Madarasa
.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database
Soma Zaidi...katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
Soma Zaidi...