Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key
Katika MySQL, Primary Key na Foreign Key ni mihimili muhimu ya kuboresha usimamizi wa data na kuwezesha uhusiano kati ya jedwali tofauti. Mihimili hii inahakikisha kuwa data inabakia thabiti, safi, na inayohusiana kwa usahihi katika mfumo wa database.
Primary Key ni kitambulisho cha kipekee cha kila rekodi kwenye jedwali. Kila jedwali linaweza kuwa na Primary Key moja tu, na thamani za Primary Key haziwezi kujirudia wala kuwa na thamani tupu (NULL).
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa VARCHAR(10)
);
Hapa, mwanafunzi_id
ni Primary Key inayotambulisha kila mwanafunzi kipekee.
Foreign Key ni sehemu ya jedwali moja inayohusiana na Primary Key ya jedwali lingine. Inaonyesha uhusiano kati ya rekodi za jedwali tofauti.
CREATE TABLE Madarasa (
darasa_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina_la_darasa VARCHAR(20)
);
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa_id INT,
FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
);
Hapa, darasa_id
kwenye jedwali la Wanafunzi
ni Foreign Key inayohusiana na Primary Key ya Madarasa
.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database
Soma Zaidi...Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.
Soma Zaidi...