picha

Json somo la 2: Sheria za uandishi wa Json

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandishi wa json

Sheria za Kuandika JSON

Kabla ya kuanza kuandika JSON, ni muhimu kuelewa sheria zake. Sheria hizi zitakusaidia kuandika data sahihi na kuepuka makosa.

 


 

1. JSON Huandikwa kwa Jozi za Key na Value

Mfano:

"jina": "John Doe"

 

 


 

2. Key Lazima Ziwe Ndani ya Alama za Semi Mbili ("")

Mfano:

"jina": "John Doe",

"mji": "Mpanda"

 

 


 

3. JSON Huandikwa Ndani ya Mabano Makubwa ({})

Mfano:

 

{

  "jina": "John",

  "umri": 30

}

 

 


 

4. Value Zinaweza Kuwa Aina Mbalimbali za Data

Mfano:

{

  "jina": "John D...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-07 10:23:35 Topic: JSON Main: Masomo File: Download PDF Views 759

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 ai web app     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Json somo la 6: Jinsi json inavyohifadhiwa kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza namna ambavyo json inaweza kuhifadiwa kwenye database

Soma Zaidi...
Json somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye json

atika somo hili utakwenda kujifunza ainza za data zinazotumika kwenye Json

Soma Zaidi...
Json somo la 4: Jinsi ya ku encode na ku decode data za json

Katika somo hili utakwend akujifunz aku encode na ku decode data za json katika baadhi ya language

Soma Zaidi...
Json somo la 3: Matumizi ya Json

Katika somo hili utakwend akujifunza baadhi ya matumizi ya Json

Soma Zaidi...
JSON somo la 1: Maana ya json

Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya json, umuhimu wake na kazi zake.

Soma Zaidi...
Json somo la 7: Aina za database ambazo zinafuata mtindo wa json

Kuelewa aina mbalimbali za database zinazotumia au kufuata mtindo wa JSON kwa uhifadhi wa data, faida zake, na mifano ya matumizi.

Soma Zaidi...