Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandishi wa json
Kabla ya kuanza kuandika JSON, ni muhimu kuelewa sheria zake. Sheria hizi zitakusaidia kuandika data sahihi na kuepuka makosa.
Kila jozi ya data ina key na value.
Key ni jina la data na value ni thamani ya data hiyo.
Kati ya key na value, tumia alama ya nukta mbili (:).
Mfano:
"jina": "John Doe"
Key zote lazima ziwe ndani ya alama za funga semi mbili.
Thamani (value) ya aina ya maandishi (string) pia huwekwa ndani ya alama za semi mbili.
Mfano:
"jina": "John Doe",
"mji": "Mpanda"
Data yote ya JSON lazima ianze na kifungua bano kubwa { na kumalizika na kifunga bano kubwa }.
Mfano:
{
"jina": "John",
"umri": 30
}
Aina za data zinazokubalika kwenye JSON ni:
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKuelewa aina mbalimbali za database zinazotumia au kufuata mtindo wa JSON kwa uhifadhi wa data, faida zake, na mifano ya matumizi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz aku encode na ku decode data za json katika baadhi ya language
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza baadhi ya matumizi ya Json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya json, umuhimu wake na kazi zake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza namna ambavyo json inaweza kuhifadiwa kwenye database
Soma Zaidi...atika somo hili utakwenda kujifunza ainza za data zinazotumika kwenye Json
Soma Zaidi...