Navigation Menu



image

SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Malengo ya Somo:

  1. Kuelewa maana ya Stored Procedure katika MySQL.

  2. Kujifunza jinsi ya kuunda na kutumia Stored Procedures.

  3. Kufahamu tofauti kati ya Stored Procedures na Functions.

 


 

1. Stored Procedure ni nini?

Stored Procedure ni seti ya taarifa za SQL ambazo zimehifadhiwa katika database na zinaweza kuitwa ili kutekeleza kazi maalum. Inasaidia kupunguza kurudia rudia kwa misemo (query) ya SQL na kuimarisha utendaji wa database.

 

Faida za Stored Procedure:

 


 

2. Jinsi ya Kuunda Stored Procedure

Muundo wa Msingi:

DELIMITER //

CREATE PROCEDURE procedure_name (IN param1 DATATYPE, OUT param2 DATATYPE)

BEGIN

    -- Maagizo ya SQL

    SELECT column_name INTO param2 FROM table_name WHERE column_name = param1;

END //

DELIMITER ;

 

Mfano:

Tuseme tunataka kuunda Stored Procedure inayorejesha jumla ya mishahara kutoka kwenye jedwali la employees.

DELIMITER //

CREATE PROCEDURE GetTotalSalary(OUT total_salary DECIMAL(10, 2))

BEGIN

    SELECT SUM(salary) INTO total_salary FROM employees;

END //

DELIMITER ;

 

Kuitumia Stored Procedure:

CALL GetTotalSalary(@salary);

SELECT @salary;

 

 


 

3. Function katika MySQL

Function ni kipengele cha MySQL ambacho hufanya kazi maalum na mara nyingi hurudisha thamani moja.

Muundo wa Msingi wa Function:

CREATE FUNCTION function_name (param1 DATATYPE)

RETURNS DATATYPE

DETERMINISTIC

BEGIN

    -- Maagizo ya SQL

    RETURN (value);

END;

 

Mfano:

CREATE FUNCTION GetDiscount(price DECIMAL(10, 2))

RETURNS DECIMAL(10, 2)

DETERMINISTIC

BEGIN

    RETURN price * 0.1;

END;

 

Kutumia Function:

SELECT GetDiscount(500);

 

 


 

 

 

 


 

5. Mifano zaidi

Tunakwend akutengeneza table yenye jina la employee na field kama id, na, salary.

CREATE TABLE employees (

    id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

    name VARCHAR(100) NOT NULL,

    salary DECIMAL(10, 2) NOT NULL

);

 

Kisha run code hizo hapo chini ili kuingiza data

INSERT INTO employees (name, salary) VALUES

('John Doe', 5000.00),

('Jane Smith', 6200.00),

('Michael Johnson', 4500.00),

('Emily Davis', 7300.00),

('David Wilson', 5400.00),

('Sarah Brown', 4800.00),

('Chris Miller', 6500.00),

('Anna Garcia', 5500.00),

('James Anderson', 5800.00),

('Laura Taylor', 7100.00);

 

...



Nicheki WhatsApp kwa maswali





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-12-15 10:36:21 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 109


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface Soma Zaidi...

Database somo la 23: View kwenye Database
Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view. Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake. Soma Zaidi...

SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database
Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code. Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database. Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge Soma Zaidi...

Database seomo la 21: Constraints kwenye Database
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database Soma Zaidi...

SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql
Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia. Soma Zaidi...

SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql Soma Zaidi...

SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function Soma Zaidi...