SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Malengo ya Somo:

  1. Kuelewa maana ya Stored Procedure katika MySQL.

  2. Kujifunza jinsi ya kuunda na kutumia Stored Procedures.

  3. Kufahamu tofauti kati ya Stored Procedures na Functions.

 


 

1. Stored Procedure ni nini?

Stored Procedure ni seti ya taarifa za SQL ambazo zimehifadhiwa katika database na zinaweza kuitwa ili kutekeleza kazi maalum. Inasaidia kupunguza kurudia rudia kwa misemo (query) ya SQL na kuimarisha utendaji wa database.

 

Faida za Stored Procedure:

 


 

2. Jinsi ya Kuunda Stored Procedure

Muundo wa Msingi:

DELIMITER //

CREATE PROCEDURE procedure_name (IN param1 DATATYPE, OUT param2 DATATYPE)

BEGIN

    -- Maagizo ya SQL

    SELECT column_name INTO param2 FROM table_name WHERE column_name = param1;

END //

DELIMITER ;

 

Mfano:

Tuseme tunataka kuunda Stored Procedure inayorejesha jumla ya mishahara kutoka kwenye jedwali la employees.

DELIMITER //

CREATE PROCEDURE GetTotalSalary(OUT total_salary DECIMAL(10, 2))

BEGIN

    SELECT SUM(salary) INTO total_salary FROM employees;

END //

DELIMITER ;

 

Kuitumia Stored Procedure:

CALL GetTotalSalary(@salary);

SELECT @salary;

 

 


 

3. Function katika MySQL

Function ni kipengele cha MySQL ambacho hufanya kazi maalum na mara nyingi hurudisha thamani moja.

Muundo wa Msingi wa Function:

CREATE FUNCTION function_name (param1 DATATYPE)

RETURNS DATATYPE

DETERMINISTIC

BEGIN

    -- Maagizo ya SQL

    RETURN (value);

END;

 

Mfano:

CREATE FUNCTION GetDiscount(price DECIMAL(10, 2))

RETURNS DECIMAL(10, 2)

DETERMINISTIC

BEGIN

    RETURN price * 0.1;

END;

 

Kutumia Function:

SELECT GetDiscount(500);

 

 


 

 

 

 


 

5. Mifano zaidi

Tunakwend akutengeneza table yenye jina la employee na field kama id, na, salary.

CREATE TABLE employees (

    id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

    name VARCHAR(100) NOT NULL,

    salary DECIMAL(10, 2) NOT NULL

);

 

Kisha run code hizo hapo chini ili kuingiza data

INSERT INTO employees (name, salary) VALUES

('John Doe', 5000.00),

('Jane Smith', 6200.00),

('Michael Johnson', 4500.00),

('Emily Davis', 7300.00),

('David Wilson', 5400.00),

('Sarah Brown', 4800.00),

('Chris Miller', 6500.00),

('Anna Garcia', 5500.00),

('James Anderson', 5800.00),

('Laura Taylor', 7100.00);

 

...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 258

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake

Soma Zaidi...
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.
SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

Soma Zaidi...
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database
Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Soma Zaidi...