picha

SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Malengo ya Somo:

  1. Kuelewa maana ya Stored Procedure katika MySQL.

  2. Kujifunza jinsi ya kuunda na kutumia Stored Procedures.

  3. Kufahamu tofauti kati ya Stored Procedures na Functions.

 


 

1. Stored Procedure ni nini?

Stored Procedure ni seti ya taarifa za SQL ambazo zimehifadhiwa katika database na zinaweza kuitwa ili kutekeleza kazi maalum. Inasaidia kupunguza kurudia rudia kwa misemo (query) ya SQL na kuimarisha utendaji wa database.

 

Faida za Stored Procedure:

 


 

2. Jinsi ya Kuunda Stored Procedure

Muundo wa Msingi:

DELIMITER //

CREATE PROCEDURE procedure_name (IN param1 DATATYPE, OUT param2 DATATYPE)

BEGIN

    -- Maagizo ya SQL

    SELECT column_name INTO param2 FROM table_name WHERE column_name = param1;

END //

DELIMITER ;

 

Mfano:

Tuseme tunataka kuunda Stored Procedure inayorejesha jumla ya mishahara kutoka kwenye jedwali la employees.

DELIMITER //

CREATE PROCEDURE GetTotalSalary(OUT total_salary DECIMAL(10, 2))

BEGIN

    SELECT SUM(salary) INTO total_salary FROM employees;

END //

DELIMITER ;

 

Kuitumia Stored Procedure:

CALL GetTotalSalary(@salary);

SELECT @salary;

 

 


 

3. Function katika MySQL

Function ni kipengele cha MySQL ambacho hufanya kazi maalum na mara nyingi hurudisha thamani moja.

Muundo wa Msingi wa Function:

CREATE FUNCTION function_name (param1 DATATYPE)

RETURNS DATATYPE

DETERMINISTIC

BEGIN

    -- Maagizo ya SQL

    RETURN (value);

END;

 

Mfano:

CREATE FUNCTION GetDiscount(price DECIMAL(10, 2))

RETURNS DECIMAL(10, 2)

DETERMINISTIC

BEGIN

    RETURN price * 0.1;

END;

 

Kutumia Function:

SELECT GetDiscount(500);

 

 


 

 

 

 


 

5. Mifano zaidi

Tunakwend akutengeneza table yenye jina la employee na field kama id, na, salary.

CREATE TABLE employees (

    id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

    name VARCHAR(100) NOT NULL,

    salary DECIMAL(10, 2) NOT NULL

);

 

Kisha run code hizo hapo chini ili kuingiza data

INSERT INTO employees (name, salary) VALUES

('John Doe', 5000.00),

('Jane Smith', 6200.00),

('Michael Johnson', 4500.00),

('Emily Davis', 7300.00),

('David Wilson', 5400.00),

('Sarah Brown', 4800.00),

('Chris Miller', 6500.00),

('Anna Garcia', 5500.00),

('James Anderson', 5800.00),

('Laura Taylor', 7100.00);

 

 

Baada ya hapo sasa tutatengeneza procedure yetu kisha run code. Kwa k...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-15 10:36:21 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 877

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 web hosting     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Database somo la 24: Transaction kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface

Soma Zaidi...
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias

Soma Zaidi...