picha

SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Malengo ya Somo:

  1. Kuelewa maana ya Stored Procedure katika MySQL.

  2. Kujifunza jinsi ya kuunda na kutumia Stored Procedures.

  3. Kufahamu tofauti kati ya Stored Procedures na Functions.

 


 

1. Stored Procedure ni nini?

Stored Procedure ni seti ya taarifa za SQL ambazo zimehifadhiwa katika database na zinaweza kuitwa ili kutekeleza kazi maalum. Inasaidia kupunguza kurudia rudia kwa misemo (query) ya SQL na kuimarisha utendaji wa database.

 

Faida za Stored Procedure:

 


 

2. Jinsi ya Kuunda Stored Procedure

Muundo wa Msingi:

DELIMITER //

CREATE PROCEDURE procedure_name (IN param1 DATATYPE, OUT param2 DATATYPE)

BEGIN

    -- Maagizo ya SQL

    SELECT column_name INTO param2 FROM table_name WHERE column_name = param1;

END //

DELIMITER ;

 

Mfano:

Tuseme tunataka kuunda Stored Procedure inayorejesha jumla ya mishahara kutoka kwenye jedwali la employees.

DELIMITER //

CREATE PROCEDURE GetTotalSalary(OUT total_salary DECIMAL(10, 2))

BEGIN

    SELECT SUM(salary) INTO total_salary FROM employees;

END //

DELIMITER ;

 

Kuitumia Stored Procedure:

CALL GetTotalSalary(@salary);

SELECT @salary;

 

 


 

3. Function katika MySQL

Function ni kipengele cha MySQL ambacho hufanya kazi maalum na mara nyingi hurudisha thamani moja.

Muundo wa Msingi wa Function:

CREATE FUNCTION function_name (param1 DATATYPE)

RETURNS DATATYPE

DETERMINISTIC

BEGIN

    -- Maagizo ya SQL

    RETURN (value);

END;

 

Mfano:

CREATE FUNCTION GetDiscount(price DECIMAL(10, 2))

RETURNS DECIMAL(10, 2)

DETERMINISTIC

BEGIN

    RETURN price * 0.1;

END;

 

Kutumia Function:

SELECT GetDiscount(500);

 

 


 

 

 

 


 

5. Mifano zaidi

Tunakwend akutengeneza table yenye jina la employee na field kama id, na, salary.

CREATE TABLE employees (

    id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

    name VARCHAR(100) NOT NULL,

    salary DECIMAL(10, 2) NOT NULL

);

 

Kisha run code hizo hapo chini ili kuingiza data

INSERT INTO employees (name, salary) VALUES

('John Doe', 5000.00),

('Jane Smith', 6200.00),

('Michael Johnson', 4500.00),

('Emily Davis', 7300.00),

('David Wilson', 5400.00),

('Sarah Brown', 4800.00),

('Chris Miller', 6500.00),

('Anna Garcia', 5500.00),

('James Anderson', 5800.00),

('Laura Taylor', 7100.00);

 

 

Baada ya hapo sasa tutatengeneza procedure yetu kisha run code. Kwa k...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-15 10:36:21 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 979

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 web hosting     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 ai web app     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja

Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Soma Zaidi...